J C
JF-Expert Member
- Dec 12, 2013
- 3,061
- 2,541
Amen.Jesus is Lord [emoji1783]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen.Jesus is Lord [emoji1783]
👹Shetani naye sometimes poyoyo tuu
FIRST IN + LAST OUT/2 = PROBLEM SOLVEDWaganga na wapandisha mashetani na majini wengi wana uwezo tu wa kukwambia kilichokwisha kukutokea lakini si kijacho ama suluhu yake..
Na hicho kilichokwiahatokea kiroho tunaita ni tendo mfu lilishakamilika na linajulikana hivyo halina madhara tena
Hawa matatibu wanachofanya sio kutibu mzizi wa tatizo bali ni kutafuta tu kukupa unafuu ama kubahatisha
Tiba halisi za kichawi ni kutumia formula ileile iliyotumika kukuroga ili upate codes na tracking mpaka tatizo lilipoanzia. Tofauti na hapo ni story tuu..
Kama kucha ama nywele zako zilifungwa na kufukiwa mahali ni mpaka mtaalam avipate hivyo vitu avifukue avifubaze .. Akishindwa kufanya hivyo hakuna tiba hapo
Shida inayowakumba wengi ni kupata ile formula na mahali kitu kilipowekwa.. Kwakuwa kama kuna kitu kiko complicated kwenye ushirikina ni njia iliyotumika kukuroga
Aisee mbona kwa apo sijaacha ata kimoja[emoji33][emoji378]Ni nyingi kuorodhesha inakuwa ngumu maana Kuna za ulinzi, kuzuia kukataliwa, kuvuta mafanikio yaani ukienda nazo kinyume asili inakuadhibu hata uogee chumvi unaona mambo yanazidi kuwa mabaya tumuombe mshana akipata muda atuandikie hizo kanuni, Mimi nakupa chache tu ukizitumia hata hizo zinakupa kusaidiwa na asili bila kwenda kwa mganga, ya kwanza usiimbe chooni au bafuni wakati wa kuoga na usipende kuongea sehemu hizo wewe fanya yako toka kimya ongea baada ya kutoka huko labda kwa dharula ikitokea, hapo unazuia kukataliwa na watu au mambo yako kukataliwa, ya pili usipooze maji ya baridi kwa kutumia maji ya moto Bali pooza maji ya moto kwa kutumia maji ya baridi hasa ya kuoga pia inaondoa hasi, ya tatu usifanye mapenzi chooni au bafuni pia inaondoa nguvu za ulinzi wa asili.
Ndio mkuu, wale wa visomo. Wapo wengi sehemu za uswahilini, kama hujui hilo ujue ndio ufahamu leoEti mganga manzese ?? Hahahahah lazima upigwe tu
Nimezunguka sana mkuu, sikufanikiwa kupata ambaye ananionyesha kama kioo wala maji. Hayo mambk huwa naona tu kwenye tv, nikajua maigizo tuWapo ila ni wachache mkuu wapo unaona live kama tv siyo stori tu
Kwa nini watu mnaamini uchawi, na ugsnga hivi?! Hata kwa mpenzi!Huko ni uhuni tu. Me nilipewa dawa ya mpenzi nikaambiwa demu mwenyewe atanitafuta tena walikuwa mademu wawili.
Wiki ya tatu hii bado nasikilizia ila sioni dalili.
Nahesabu nimepigwa
Waganga ni matapeli na wahuni wote nina ushahidi.Miaka ya nyuma kidogo nikiwa mgeni jiji la Makamba kuna mama yangu (kwenye ukoo wa mama) alikuja Mjini akiwa na mwanaye wa kidato cha tatu, jamaa alikuwa karudia sana kidato nadhani kwa mwaka ule angekuwa form 6 au firsf year chuo.
Sasa yule mama akaja mjini kusalimia akaja na huyo mwanaye, hapa mjini kulikuwa na sister yetu wa ukoo pia mi nilikuwa napenda sana kwenda kwake palikuwa panapikwa vitu amazing sana mara kwa mara[emoji23][emoji23]
Siku hiyo nimeenda kwa sister namkuta mama na mwanaye, baada ya kula sister kanambia tuwasindikize wageni wanaenda Kipawa kuna mtaalamu akamsaidie huyu ndugu yako (yule mtoto wa mama).
Mi sikuwa na mishe alaf sister nilikuwa namkubali sana ikabidi nitii niongozane nao.
Tumefika kwa mganga anaanza kuchora chora kaubao anafuta, anachora anafuta alikuwa anatumia chaki ni maandishi flan kama kiarabu.
Baada ya muda akaanza kuongea, anasema mama hapo kijana wako ana matatizo, pale mnapoishi kuna shamba huyu kijana alichukua kitu pale shambani.
Hapo nikaanza kuona upuuzi wa mganga, maana kwa mama ni sehemu ambayo ni town sana na hakuna shamba wala nini.
Picha limeenda kimauza uza ivo mpaka muda ukaisha tukaondoka.
Tumefika kwa sister mi nikashindwa kuvumilia nikawambia mbona kama mganga muongo. Aisee mama alinimaindi sana walinishambulia sana na sister finally niliondoka pale ilikuwa saa 1 jioni bila maelewano watu wote wananiambia mimi najitia ujuaji.
Maisha yameenda, miaka imeenda wakaja kugundua dogo (yule mtoto wa mama) alikuwa anavuta bangi sana ndio maana alikuwa haeleweki sio kwamba alikuwa amerogwa na mtu wala nini.
As we speak dogo ni mwalimu wa primary shule moja Mkoa wa Pwani, anavuta bangi na kulewa ile mbaya.
Kuna wakati walitaka kumfuta kazi sijui issue baba yake aliimaliza vipi ila mi mganga yule niliona chenga sana
Hebu jichunguze kama siyo mtu wa kukataliwa au kutosikilizwa jambo lako na hapo ndo tunasema nature inakuadhibu kwa kutenda kinyume na nature na ndo watu wanaanza kuhangaika kwa waganga wakati dawa ni matendo yetu wenyewe.Aisee mbona kwa apo sijaacha ata kimoja[emoji33][emoji378]
Hebu jichunguze kama siyo mtu wa kukataliwa au kutosikilizwa jambo lako na hapo ndo tunasema nature inakuadhibu kwa kutenda kinyume na nature na ndo watu wanaanza kuhangaika kwa waganga wakati dawa ni matendo yetu wenyewe.
Haahaa hii kweli ni uthibitisho tosha kuwa waganga ni matapeliWaganga ni matapeli na wahuni wote nina ushahidi.
Niliwahi kupata matatizo ya pesa, tulikua tunafanya kazi na ndugu yangu, sasa biashara tunayofanya tulikua tunakopesha sana ili kumaliza mzigo fasta alafu ndo tunadai, sasa baadae kuna jamaa tulikua tunampaga mzigo hadi wa 7milion alafu baada ya wiki akiuza analeta pesa., jamaa alikua muaminifu sana baadae akaja akazingua akakimbia tukaanza kudaiwa maana na sisi tulikua tunachukua tu mzigo tunauza alafu tunapeleka hela.
boss wetu alikua mtu wa waganga sana, sasa tukaanza kumpanga hawaleti hela mwisho wa siku akachoka ikabidi tumdaganye pesa zimepotea kimazingira hata sisi hatuelewi tunaomba tuandikishane tuwe tunalipa kidogo kidogo, yule boss muelewa sana ila hakuamini akampigia sim mganga wake akamuelezea aangalie imekuwaje mpaka tupoteze pesa..yule mganga baada ya kupiga ramli zake chonganishi akasema hivi nanuku "kuna mama mmoja pale ofsin kwetu ana mtoto wake ndo aliingia ofsini akazichukua hela"
Ukweli ni kwamba zile pesa tulizurumiwa na sio hicho anachosema mganga
Mkuu upande wa message sikupati na shida na weweKaribu bila shaka
Hata huko vijijini wamejaa matapeli piaWaganga wakweli konki hawapo mjini..waliopo mjini ni matapeli..
#MaendeleoHayanaChama