karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,802
- 3,253
Nimekosa sana mademu kwa sababu iyo [emoji23] hadi nimtongoze binti hunichukua zaidi hata ya miezi 5 na huwa wanakuwa wengiiiiiii nachuja mmoja mmoja siku nikishusha mali watu ehhhh
Na ninajicho la kuona mbali naweza nikaona demu watu wakasema wa kawaida then baada ya miezi 7 au 8 kila mtu anakuja Oya ni kweli mwanangu demu mkalii kinyama [emoji23]
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Na ninajicho la kuona mbali naweza nikaona demu watu wakasema wa kawaida then baada ya miezi 7 au 8 kila mtu anakuja Oya ni kweli mwanangu demu mkalii kinyama [emoji23]
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app