Uzuri wa nyimbo ni "bridges" kitu ambacho wasanii wengi wa hapa nyumbani kimewashinda!

Uzuri wa nyimbo ni "bridges" kitu ambacho wasanii wengi wa hapa nyumbani kimewashinda!

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
Nikiwa kama mdau mkubwa wa muziki wa bongo fleva huwa naona kuna kitu kabisa kinamiss! Hawa wasanii wetu wa kuimba ambao tumekuwa tukiwaita wabana pua namna yao ya uimbaji huwa haishawishi kabisa!

Katika uimbaji kuna kitu kinaitwa "bridges" wasanii wengi huwa hawakizingatii kabisa, hata wewe leo ukiulizwa "brigdes" gani zimebaki kwenye memory yako utapata tabu kuzikumbuka.

Mara kazi ya bridge ni kuvuta tension kwa msikilizaji, sasa wasanii wetu unakuta anaimba flat mwanzo mwisho, kwenye wimbo anachojua ni kuweka verse na chorus basi!
 
Nikiwa kama mdau mkubwa wa muziki wa bongo fleva huwa naona kuna kitu kabisa kinamiss! Hawa wasanii wetu wa kuimba ambao tumekuwa tukiwaita wabana pua namna yao ya uimbaji huwa haishawishi kabisa!

Katika uimbaji kuna kitu kinaitwa "bridges" wasanii wengi huwa hawakizingatii kabisa, hata wewe leo ukiulizwa "brigdes" gani zimebaki kwenye memory yako utapata tabu kuzikumbuka. Wasanii wachache mmoja wapo Alikiba huwa anazingatia hili, yeye huwa anaita silaha zake! Kweli ni silaha maana kazi ya bridge ni kuvuta tension kwa msikilizaji, sasa wasanii wetu unakuta anaimba flat mwanzo mwisho, kwenye wimbo anachojua ni kuweka verse na chorus basi!
Tunga yako mkuu
 
Nikiwa kama mdau mkubwa wa muziki wa bongo fleva huwa naona kuna kitu kabisa kinamiss! Hawa wasanii wetu wa kuimba ambao tumekuwa tukiwaita wabana pua namna yao ya uimbaji huwa haishawishi kabisa!

Katika uimbaji kuna kitu kinaitwa "bridges" wasanii wengi huwa hawakizingatii kabisa, hata wewe leo ukiulizwa "brigdes" gani zimebaki kwenye memory yako utapata tabu kuzikumbuka.

Wasanii wachache mmoja wapo Alikiba huwa anazingatia hili, yeye huwa anaita silaha zake! Kweli ni silaha maana kazi ya bridge ni kuvuta tension kwa msikilizaji, sasa wasanii wetu unakuta anaimba flat mwanzo mwisho, kwenye wimbo anachojua ni kuweka verse na chorus basi!
Mkuu kumbe ile sauti ya kike kwenye huu wimbo mwamba alimshirikisha Mariah Carey? Nasikia mwamba BF licha ya kipaji cha mziki kausomea hasa na ndie alimnoa Tony Braxton.

View: https://www.youtube.com/watch?v=GbrSO81KhBY&pp=ygUZZXZlcnl0aW1lIGkgY2xvc2UgbXkgZXllcw%3D%3D
 
Mkuu mbona hata neno bridge katika nyimbo hujalifafanua?

Kama mdau mwingine alivyosema hapo, bridge huwa inaconnect verse na chorus, mara nyingi ni maneno yanayokuwa na key tofauti na wengi huwa inakuwa ya juu kidogo ila haipotezi maana ya wimbo, bridges ndizo zinatumika kuimbisha mashabiki majukwaani, ukipata wasaa wa kumsikiliza Taylor swift kwenye ngoma kama Cruel Summer au Getaway Car utaelewa vizuri maana ya bridges
 
Back
Top Bottom