Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo niwe wako ya maunda zoro ni kali sana, kuna ngoma ya TID-asha nayo ni kali sana.Yah naye huwa anapita nazo vizuri, hata Maunda Zorro kwenye Niwe Wako kapiga bridge moja matata sana mule!
Aisee, ni leo tu nimetoka kuzungumzia hicho kitu mahali flani, sababu kubwa inayonifanya nipende kusikiliza nyimbo za Joe Thomas ni hiyo, jamaa kwenye bridge hakuna anayemfikia,labda kidogo Usher Raymond alijaribu jaribu, hivi singeli inafaa kuwekwa bridge?
mnooAsha kali sana!
Ile bridge ya Asha ni phenomenal, the best part of the Song mzee.Hiyo niwe wako ya maunda zoro ni kali sana, kuna ngoma ya TID-asha nayo ni kali sana.
"Najua ni ngumu kazi mi kukuelezea,Yah naye huwa anapita nazo vizuri, hata Maunda Zorro kwenye Niwe Wako kapiga bridge moja matata sana mule!
Haa ha ile bridge ilibidi niirudie mara mbili mbili kusikia anachoimba, aliua sana!"Najua ni ngumu kazi mpenzi wangu kukwambia,
Lakini inabidi mpenzi wangu kukwambia, vile ninavyohisiiiiii...."
Mehn yule manzi alijua kunimaliza na hii track.
Huwa sichoki kuisikiliza, mziki wa zamani unavutia sana kuusikiliza tofauti na huu wa kizazi cha sasa.Ile bridge ya Asha ni phenomenal, the best part of the Song mzee.
"Your my heart... my queen... my love...my star...my only one!"
Your my angel...your my angel! X2
Ile kitu Lamar aliipika mzee.
Sahizi tumebakia na entertainers hamna creativity tena ya kisanii.Haa ha ile bridge ilibidi niirudie mara mbili mbili kusikia anachoimba, aliua sana!
Sahizi tumebakia na entertainers hamna creativity tenaHaa ha ile bridge ilibidi niirudie mara mbili mbili kusikia anachoimba, aliua sana!
Yeah Lamar fundi sana wa beats. Hajawahi kuniangusha hasa kwenye hizi Zouk beats.Huwa sichoki kuisikiliza, mziki wa zamani unavutia sana kuusikiliza tofauti na huu wa kizazi cha sasa.
Lamar alikuwa producer mkali sana kipindi hicho.
Tz weng hawaimbii hufungua midomo tu hv kweli mtu anaimba kuku kapanda baiskeli sijui so hua hazina adhar yyte hebu wamsikilize chamillion wa Uganda anavoimba riyality kuna vibao kama one sweet day ya Boyz 2men sijui Michael Jackson in we are the world dah ila watu wanatulia huku sijui nakupenda wewee wivu wivu ujinga ujinga àt least zuchu ile siend hile ina reality lakin sio zote ile kibuno hamna kituNaomba uniimbie bridge ya kasongo yeeyee
Tz weng hawaimbii hufungua midomo tu hv kweli mtu anaimba kuku kapanda baiskeli sijui so hua hazina adhar yyte hebu wamsikilize chamillion wa Uganda anavoimba riyality kuna vibao kama one sweet day ya Boyz 2men sijui Michael Jackson in we are the world dah ila watu wanatulia huku sijui nakupenda wewee wivu wivu ujinga ujinga àt least zuchu ile siend hile ina reality lakin sio zote ile kibuno hamna kitu
kuna ngoma ya Kassim mganga-I love you humo ndani lamar kapita vizuri mno. Jamaa anajua sanaSahizi tumebakia na entertainers hamna creativity tena
Yeah Lamar fundi sana wa beats. Hajawahi kuniangusha hasa kwenye hizi Zouk beats.
Eeh sema now amegeuka mpishi na car washer. Maisha ya bongo nyosokuna ngoma ya Kassim mganga-I love you humo ndani lamar kapita vizuri mno. Jamaa anajua sana
Anasimamia au ndio kawa kibarua?Eeh sema now amegeuka mpishi na car washer. Maisha ya bongo nyoso
Ni yake so anakuwa full time mgahawani. Nadhan dogo mpemba yule.Anasimamia au ndio kawa kibarua?
Itakuwa kaona inamlipa zaidi kuliko muziki, kama ni mpemba inawezekana pia familia imechangia kuachana na muziki wa kidunia. Kuna jamaa nae mpemba kipaji anacho ila kwao hawataki ajihusishe na mambo ya muziki wa kidunia kwahiyo kaamua aachane na muziki asijetengwa na familia.Ni yake so anakuwa full time mgahawani. Nadhan dogo mpemba yule.
😁😁😁😁😁😁Hawataki mambo ya mzee yuswufuItakuwa kaona inamlipa zaidi kuliko muziki, kama ni mpemba inawezekana pia familia imechangia kuachana na muziki wa kidunia. Kuna jamaa nae mpemba kipaji anacho ila kwao hawataki ajihusishe na mambo ya muziki wa kidunia kwahiyo kaamua aachane na muziki asijetengwa na familia.
Hawa ndugu zake zuchu huwa hawayapendi hayo mambo ila wanapenda sana mambo ya bichwa komwe 😂😁😁😁😁😁😁Hawataki mambo ya mzee yuswufu