Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti kundi kubwa la watu litahamia Arusha sasa

Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti kundi kubwa la watu litahamia Arusha sasa

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Watu wa Arusha popote mlipo chuma hiki hapa wakuu. Wakati wenu kupata maendeleo ndio huu.

Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Kiukweli Arusha inakwenda kuwa maarufu kuliko Dar es Salaam.

Mitandao yote itafulika likes, na comments. Sio instagram, Facebook, X, Threads, na hapa jamii forum ndio kabisa.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Bwana Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
 
Watu wa dini wanasema "ana kibali".

Hii Huwa inatokea tu kwa baadhi ya watu kukubalika hata wakifanya mabaya. Mfano kwenye music tuna Nyandu Toz na Juma nature.

Kwangu Mimi,Makonda ni kiongozi wa hovyo.Jamaa ana mdomo mchafu kama Manara.
 
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Nchi haina Idea zingine ni full uchawa kujikomha, kujipndekeza. katika post 10 jamii forum basi post 6 ni za kujikomba
 
Makonda ni mtu mwenye siha ya uongozi bila nongwa anajua kusimamia hasa katika kile anachokiamini kama kina maslahi kwa watu wake...hayumbishwi
 
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Danganyaneni tu,halafu baadae kidogo mnaanza kumcheka🤔
 
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Like tena khaaa!
 
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Mambo hayo sijayasikia ktk siasa za Zanzibar kuabudiwa mtu. Ndio muengereza akaitawala kiurahisi Tanganyika watu wenyewe kama nyiny
 
Hakika watanzania ni watu wenye chuki sana kwa watu wanaojituma watu wazalendo kwa taifa Lao. Naomba Mungu watanzania waendelee kutawaliwa tu na watu wenye akili.

Makonda anatatizo gani mtu anajituma kwa moyo wote.
 
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Akijifunza mipaka yake na wapi pa kuongea nini basi atakuwa mzuri. Lakinakiendelea na hiyo rebel style hata huko nako waamtoa
 
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
the gentleman is real flexible, and fit to work at any environment and capacity 🐒
 
CCM wanaenda kuvuna mateja yote ya Arusha, maana kule hawatumii nguvu sana,ni kuwapa pikipiki tu.
 
Nakumbuka Primary tulikuwa na jamaa moja lina miguvu akili kidogo - yaani popote kwenye shida ukilituma kinajitosa. Kuna siku tulilichangia maandazi wakati wa kituo cha saa nne tukalituma likamtwage Mwalimu wa Hisabati - likamtwanga kisha likapotea..Shule ikawa mwisho..likaibukia kwenye u kondakta wa mabasi.
 
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Sawa chawa wa Makonda. Ila punguza unafiki
 
Back
Top Bottom