Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti kundi kubwa la watu litahamia Arusha sasa

Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti kundi kubwa la watu litahamia Arusha sasa

Labda ni habari mbaya kwa wachawi na wakuu wa Giza ! Lakini kwa watanzania kwa sasa makonda yupo ndani ya mioyo ya watu ! Ni nabii wa kizazi kijacho asiyebadilika hata iweje! Huyu sio mtu wa kawaida ,kiroho mtu wa aina hii tunamtaja kama mtu mwenye kibali maalumu .

Pengine ni wachawi tu na wakuu wa Giza watatamani kuufunga mlango huu wa Paulo makonda walakini hawataweza ,kwa shoka kwa msumeno au kwa panga hii ni silaha imeachiliwa kutoka juu ..hakuna mwenye uwezo wa kuipoteza kabisa ! Ni yeye makonda miaka michache ijayo atakuwa rais wa nchi hii ! Au mnataka au hamtaki !

Lakini itakuwa ngumu sana kuizima nyota ya huyu mtu! Mtukaneni kama mnaweza lakini msisahau kuweka akiba ya maneno ! Huyu ni kijana Bado mbichi lakini jina lake linanguvu kuliko mwanasiasa yoyote kwa sasa iwe ccm au upinzani !

Ndiye anayetazamwa zaidi kuliko wote ! Angalia Leo wameapishwa wengi lakini mjadala ni makonda,,angalia uteuzi uliopita waliteuliwa wengi lakini mjadala ni makonda, alikuwa mwenezi kwa muda mchache lakini kaitikisa nchi nzima !

Wananchi walikuwa wanalia kutaka angalau kumuona tu! Mpaka sasa Kuna wananchi ukiwaambia makonda sio mwenezi Tena hivyo ile kazi nzuri aliyokuwa anaifanya imeishia hapo wataangua kilio. Ndivyo huwa inakuwa kwa mtu aliyebeba ukombozi wa watu mara zote huishia Kutukanwa sana ! Narudia kuseme msiache kuweka akiba ya maneno !

Huyu makonda hata Leo akiamua kujiunga na chama chochote upinzani basi ujue mgombea yoyote atakaesimama nae ataisoma namba ! Wengi wanasema ni mbabe ,,lakini ukweli ni kwamba ubabe ni Moja ya sifa za kiongozi Bora
 
Watu wa Arusha popote mlipo chuma hiki hapa wakuu. Wakati wenu kupata maendeleo ndio huu.
View attachment 2953691
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Kiukweli Arusha inakwenda kuwa maarufu kuliko Dar es Salaam.

Mitandao yote itafulika likes, na comments. Sio instagram, Facebook, X, Threads, na hapa jamii forum ndio kabisa.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Bwana Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Mwenzetu wewe viroba unapata wapi maana vilipigwa marufuku kitambo sana lakini wewe bado unalanduka tu.
 
Watu wa Arusha popote mlipo chuma hiki hapa wakuu. Wakati wenu kupata maendeleo ndio huu.
View attachment 2953691
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Kiukweli Arusha inakwenda kuwa maarufu kuliko Dar es Salaam.

Mitandao yote itafulika likes, na comments. Sio instagram, Facebook, X, Threads, na hapa jamii forum ndio kabisa.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Bwana Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Machawa mmeamua kujitengenezea ka-mungu kenu ka kukaabudu.
Huyo kiazi mwenzenu kila wanapompeleka anapwaya, hilo hamtaki kabisa kuliona badala yake mnatafsiri mtakavyo.
 
Duh ila makonda kazi kusema kweli kazi anapiga mnyonge mnyongeni ila haki mpe shida analewa madaraka na kujisahau ila kazi anapiga.
 
Duh ila makonda kazi kusema kweli kazi anapiga mnyonge mnyongeni ila haki mpe shida analewa madaraka na kujisahau ila kazi anapiga.
Makonda anapiga kazi sana. Wana Arusha safari wana bahati sana. Walio zoea kuiba pesa za halmashauri Arusha. Wafanyakazi wazembe kukiona chamoto.
 
Machawa mmeamua kujitengenezea ka-mungu kenu ka kukaabudu.
Huyo kiazi mwenzenu kila wanapompeleka anapwaya, hilo hamtaki kabisa kuliona badala yake mnatafsiri mtakavyo.
Makonda anastahili haya yote mkuu. Haya ndio malipo yake. Ni kiongozi jasiri na shupavu ndio kimbilio la wanyonge.
 
Watu wa Arusha popote mlipo chuma hiki hapa wakuu. Wakati wenu kupata maendeleo ndio huu.
View attachment 2953691
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Kiukweli Arusha inakwenda kuwa maarufu kuliko Dar es Salaam.

Mitandao yote itafulika likes, na comments. Sio instagram, Facebook, X, Threads, na hapa jamii forum ndio kabisa.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Bwana Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Ukweli usemwe. Kuna watu huwa hawataki kusikia ukweli kama huu. Muda, ni msema kweli.
 
Ukweli usemwe. Kuna watu huwa hawataki kusikia ukweli kama huu. Muda, ni msema kweli.
Kabisa watu hawataki kufanya kazi hawataki kuwajibika alafu wanaanza kuleta chuki binafsi kwa Makonda. Kama huwezi kuwajibika utahojiwa tu.
 
Watu wa Arusha popote mlipo chuma hiki hapa wakuu. Wakati wenu kupata maendeleo ndio huu.
View attachment 2953691
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Kiukweli Arusha inakwenda kuwa maarufu kuliko Dar es Salaam.

Mitandao yote itafulika likes, na comments. Sio instagram, Facebook, X, Threads, na hapa jamii forum ndio kabisa.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Bwana Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Namhurumia huyo mwanamke aliyekuzaa ulivyo jinga. Dsm ali-achieve nini zaidi ya kuuvuruga mji na kuja na matamko ya kipuuzi kila mara? Arusha atajizika mwenyewe akili ya Bashite ni ndogo sana km mbegu ya haradali. Ukiashaona mwanaume ana tako kubwa kuna akili hapo
 
Watu wa Arusha popote mlipo chuma hiki hapa wakuu. Wakati wenu kupata maendeleo ndio huu.
View attachment 2953691
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Kiukweli Arusha inakwenda kuwa maarufu kuliko Dar es Salaam.

Mitandao yote itafulika likes, na comments. Sio instagram, Facebook, X, Threads, na hapa jamii forum ndio kabisa.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Bwana Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Makonda ataibadilisha Arusha! Kuna kanidhamu katabia ya kuhodhi jiji la Arusha kwa watu wachache kwanamna yoyote jiji lile haliwezi kuendana na miundo mbinu ya kiutalii! Jiji halina hata hamasa ya kitalii kabisa! Makonda kapambane na vichwa vilivyolala maofisini huko hawana ubunifu wowote kuliweka jiji kuwa kivutio cha utalii!
Uhalifu nao tatizo!
 
Watu wa Arusha popote mlipo chuma hiki hapa wakuu. Wakati wenu kupata maendeleo ndio huu.
View attachment 2953691
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Kiukweli Arusha inakwenda kuwa maarufu kuliko Dar es Salaam.

Mitandao yote itafulika likes, na comments. Sio instagram, Facebook, X, Threads, na hapa jamii forum ndio kabisa.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Bwana Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
We hujui hata maana ya mamlaka, huyo wako alikuwa mfitini, alikuwa anawafitini mawaziri na watendaji serikali kwa Rais. Yeye km yeye lilikuwa liboya tu lisilo na meno, kazi yake ilikuwa kubwabwaja tu hakuna alichoaccomplish. Sasa ndio amemalizwa bwege lenu hilo
 
Makonda ataibadilisha Arusha! Kuna kanidhamu katabia ya kuhodhi jiji la Arusha kwa watu wachache kwanamna yoyote jiji lile haliwezi kuendana na miundo mbinu ya kiutalii! Jiji halina hata hamasa ya kitalii kabisa! Makonda kapambane na vichwa vilivyolala maofisini huko hawana ubunifu wowote kuliweka jiji kuwa kivutio cha utalii!
Uhalifu nao tatizo!
Wabadhilifu wa fedha wapo humu wamezoea kufanya kazi kwa mazoea miradi ya haikamiliki kwa wakati ndio wanaleta chuki kwa Makonda. Sisi tunahitaji matokeo yaani hata kama una cheo kikubwa kama huwezi kuleta matokeo mazuri na huwezi kuwajibika wananchi hawawezi kukupenda.
 
Usipokuwa makini kwenye kuangalia ni rahisi sana kukosea na kuuona Upumbavu wa mtu kuwa ni ujasiri.
Asilimia 90 ya watanzani wanamuunga mkono Makonda. Kama huamini tufanye online survey kula iwe ni ndio na hapana. Uone kitakachotokea.
 
Back
Top Bottom