Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti kundi kubwa la watu litahamia Arusha sasa

Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti kundi kubwa la watu litahamia Arusha sasa

Watu wa Arusha popote mlipo chuma hiki hapa wakuu. Wakati wenu kupata maendeleo ndio huu.
View attachment 2953691
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Kiukweli Arusha inakwenda kuwa maarufu kuliko Dar es Salaam.

Mitandao yote itafulika likes, na comments. Sio instagram, Facebook, X, Threads, na hapa jamii forum ndio kabisa.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Bwana Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Raisi mtarajiwa huyu
 
Watu wa Arusha popote mlipo chuma hiki hapa wakuu. Wakati wenu kupata maendeleo ndio huu.
View attachment 2953691
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Kiukweli Arusha inakwenda kuwa maarufu kuliko Dar es Salaam.

Mitandao yote itafulika likes, na comments. Sio instagram, Facebook, X, Threads, na hapa jamii forum ndio kabisa.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Bwana Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.

Tatizo la vijana mnapenda kelele. Hakuna cha maana Makonda kafanya zaidi ya kuwa mpiga kelele na mtafuta sifa mzuri. Hata jamii yetu siku hizi wenye mdomo mkubwa wa kupiga kelele aka machawa ndiyo wanasikika. Imefika wakati Uchawa ni kazi!! Lakini uchawa hausaidii lolote kimaendeleo. Jiulize haya

1. Kuna mawazo yeyote ya ajira kutoka kwa Makonda?
2. Anasema nini kuhusu katiba mpya
3. Kuna kitu gani cha mfumo anataka au ana wazo la kubadilisha

Ukiangalia hotuba zake hakuna hata mmoja
 
Watu wa Arusha popote mlipo chuma hiki hapa wakuu. Wakati wenu kupata maendeleo ndio huu.
View attachment 2953691
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Kiukweli Arusha inakwenda kuwa maarufu kuliko Dar es Salaam.

Mitandao yote itafulika likes, na comments. Sio instagram, Facebook, X, Threads, na hapa jamii forum ndio kabisa.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Bwana Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Alikufit wewe? Jinga sana
 
Vipi hapa "mpakwa mafuta" alikuwa anafuata "wauza unga" studio ya Radio na Tv saa 4:46 usiku?? View attachment 2953438
Bahati mbaya wewe sio "most informed person wa mambo ya idara"

Tetesi ya hii taasisi kuwabebesha vijana unga toka nchini kwenda majuu zimewahi sikika!!

System inajua mengi ambayo wewe na mimi hatujui ndio maana Kuna mambo hutokea bila sisi kujua kabisa!!

Tumheshimu like alichoenda kufanya.pale Kwa jina la jamhuri ya muungano was Tanzania!!!

Kwenye system Kuna watu wa Kila aina majambazi Hadi matapeli plus hasta wauza unga yote kwa ajili ya usalama.wetu!
 
Tatizo la vijana mnapenda kelele. Hakuna cha maana Makonda kafanya zaidi ya kuwa mpiga kelele na mtafuta sifa mzuri. Hata jamii yetu siku hizi wenye mdomo mkubwa wa kupiga kelele aka machawa ndiyo wanasikika. Imefika wakati Uchawa ni kazi!! Lakini uchawa hausaidii lolote kimaendeleo. Jiulize haya

1. Kuna mawazo yeyote ya ajira kutoka kwa Makonda?
2. Anasema nini kuhusu katiba mpya
3. Kuna kitu gani cha mfumo anataka au ana wazo la kubadilisha

Ukiangalia hotuba zake hakuna hata mmoja
Rais Samia mwenyewe amesema Makonda umekichemsha chama wewe ni nani unayepinga una wadhifa gani huko serikalini?
 
Bahati mbaya wewe sio "most informed person wa mambo ya idara"

Tetesi ya hii taasisi kuwabebesha vijana unga toka nchini kwenda majuu zimewahi sikika!!

System inajua mengi ambayo wewe na mimi hatujui ndio maana Kuna mambo hutokea bila sisi kujua kabisa!!

Tumheshimu like alichoenda kufanya.pale Kwa jina la jamhuri ya muungano was Tanzania!!!

Kwenye system Kuna watu wa Kila aina majambazi Hadi matapeli plus hasta wauza unga yote kwa ajili ya usalama.wetu!
Ndio ulivyodanganywa hivyo?

Hiyo system inakuwa wapi ku-curb madudu ya ripoti za CAG?

Nani amewajibishwa kwa upotevu wa fedha za walipa kodi?

System this , system that..mtu alikuja akakopa benki 5 na akatimkia majuu 2022 na hakufanywa lolote rais huyo aliyekuwa most informed akaja kulalamika kwenye upokeaji ripoti tu.


Pengine wewe pia labda humu ni mgeni ila mimi nipo humu muda sana na 2008 hadi 2013 watanzania waliofungwa magereza ya China walimuandikia Kikwete barua japo hawakutaja kwa majina ila kwa mtu mwenye akili alijua wauza unga hasa ni kina nani.
2013-08-13inmate-letter05.jpg
2013-08-13inmate-letter04.jpg
 
Naunga mkono hoja, ila naomba nikurekebishe kidogo, sio kweli kuwa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti, ukweli ni kuwa Paul Makonda hana mamlaka yoyote, kwasababu mamlaka ya kweli ni kutoka juu!, Paul Makonda ni mpakwa mafuta, hivyo ana kitu kinachoitwa "kibali", mbele ya macho ya mamlaka ya kweli, ni kutokana na kibali hicho, kinamuwezesha kukubalika popote!, Lema na Gambo wote wawili watashika adabu zao!, na wale machalii wa Arusha, watanyooka!. Arusha itakuwa kama pepo fulani, itachanua, itang'aa kutokana na kibali cha Makonda!.

Paul Makonda ni mpakwa mafuta wa Bwana mwenye kibali machoni pake.


Wanabodi, kwenye bandiko hili Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... nilishauri

Hata baada ya kuteuliwa kuwa RC wa Arusha, Paul Makonda bado anapigwa vita na wasiomtakia mema, wasioitakia mema CCM na wasio itakia mema Tanzania.

Hongera sana Mkuu mpya wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda, kuiheshimisha Arusha, endelea kunyoosha kama JPM.

Kiukweli ninamkubali sana Paul Makonda!, Tangu nilipoanza kumkubali Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
He has never let me down!. Tena niliwahi kushauri Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... ushauri huu still stands, kwasababu miaka hii 4 ya Mama ni kumalizia awamu ya Magufuli, awamu ya baada ya Magufuli inaanza 2025, ila Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke hivyo you never know with politics, everything is possible!.

Paul Makonda kanyaga mwendo, chapa kazi hapo RChuga, panyooshe, machalii wa Arusha wanyooshe!, kazi iendelee!.
Paskali.
Stupid comment from a fool.
 
Naona mtoa mada amekimbia baada ya kukosa like.
 
Kesho tarehe 8au9 tutamsikia akiunguruma arusha na akikabiziwa ofisi
 
ARUSHA - : MAKONDA KARIBU KAMA MTUMISHI WA SERIKALI, ILI TUKUPATIE USHIRIKIANO


View: https://m.youtube.com/watch?v=8x4wuLp0pYs

Mambo muhimu ya kipaumbele ni kurejesha soko la Tanzanite Arusha, soko la Mererani la Tanzanite limeshindwa kuiletea mapato mengi serikali kama lilivyokuwa hapa Arusha, wakaazi wasema takwimu hazidanganyi hivyo alishughulikie suala hili mapema.

Eneo jingine mbali na madini ni kilimo na utalii ndiyo injini ya uchumi wa Arusha.

Pia kuelekea chaguzi za serikali za vijiji na mitaa 2024 na uchaguzi 2025 wakaazi wamwambia mkuu wa mkoa awe makini kutoa haki na akifanikiwa hayo yaani madini, kilimo, utalii na uchaguzi wa haki basi Paul Makonda atapata ushirikiano mzuri ila kinyume na vipaumbele hivyo hawatasita kumueleweshe kwa kumuambia ukweli.....
 
Back
Top Bottom