PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Usichanganye asilimia 90 ya watamzania na 90% ya machawaAsilimia 90 ya watanzani wanamuunga mkono Makonda. Kama huamini tufanye online survey kula iwe ni ndio na hapana. Uone kitakachotokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usichanganye asilimia 90 ya watamzania na 90% ya machawaAsilimia 90 ya watanzani wanamuunga mkono Makonda. Kama huamini tufanye online survey kula iwe ni ndio na hapana. Uone kitakachotokea.
Kabisa chief.....Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.
Raisi mtarajiwa huyuWatu wa Arusha popote mlipo chuma hiki hapa wakuu. Wakati wenu kupata maendeleo ndio huu.
View attachment 2953691
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.
Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.
Anajua kucheza na nafasi yake.
Kiukweli Arusha inakwenda kuwa maarufu kuliko Dar es Salaam.
Mitandao yote itafulika likes, na comments. Sio instagram, Facebook, X, Threads, na hapa jamii forum ndio kabisa.
Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Bwana Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Watu wa Arusha popote mlipo chuma hiki hapa wakuu. Wakati wenu kupata maendeleo ndio huu.
View attachment 2953691
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.
Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.
Anajua kucheza na nafasi yake.
Kiukweli Arusha inakwenda kuwa maarufu kuliko Dar es Salaam.
Mitandao yote itafulika likes, na comments. Sio instagram, Facebook, X, Threads, na hapa jamii forum ndio kabisa.
Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Bwana Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Alikufit wewe? Jinga sanaWatu wa Arusha popote mlipo chuma hiki hapa wakuu. Wakati wenu kupata maendeleo ndio huu.
View attachment 2953691
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.
Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.
Anajua kucheza na nafasi yake.
Kiukweli Arusha inakwenda kuwa maarufu kuliko Dar es Salaam.
Mitandao yote itafulika likes, na comments. Sio instagram, Facebook, X, Threads, na hapa jamii forum ndio kabisa.
Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Bwana Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.
Bahati mbaya wewe sio "most informed person wa mambo ya idara"Vipi hapa "mpakwa mafuta" alikuwa anafuata "wauza unga" studio ya Radio na Tv saa 4:46 usiku?? View attachment 2953438
Rais Samia mwenyewe amesema Makonda umekichemsha chama wewe ni nani unayepinga una wadhifa gani huko serikalini?Tatizo la vijana mnapenda kelele. Hakuna cha maana Makonda kafanya zaidi ya kuwa mpiga kelele na mtafuta sifa mzuri. Hata jamii yetu siku hizi wenye mdomo mkubwa wa kupiga kelele aka machawa ndiyo wanasikika. Imefika wakati Uchawa ni kazi!! Lakini uchawa hausaidii lolote kimaendeleo. Jiulize haya
1. Kuna mawazo yeyote ya ajira kutoka kwa Makonda?
2. Anasema nini kuhusu katiba mpya
3. Kuna kitu gani cha mfumo anataka au ana wazo la kubadilisha
Ukiangalia hotuba zake hakuna hata mmoja
The winner sijaona like yako kwa Makonda the Great. Kiongozi mchapa kazi, mzalendo mtu wawatu. Kiongozi mwenye hofu ya Mungu.Makonda anajitahidi akiboresha baadhi ya mambo machache atafika mbali.
Ndio ulivyodanganywa hivyo?Bahati mbaya wewe sio "most informed person wa mambo ya idara"
Tetesi ya hii taasisi kuwabebesha vijana unga toka nchini kwenda majuu zimewahi sikika!!
System inajua mengi ambayo wewe na mimi hatujui ndio maana Kuna mambo hutokea bila sisi kujua kabisa!!
Tumheshimu like alichoenda kufanya.pale Kwa jina la jamhuri ya muungano was Tanzania!!!
Kwenye system Kuna watu wa Kila aina majambazi Hadi matapeli plus hasta wauza unga yote kwa ajili ya usalama.wetu!
Ndio , Rais wa Vilaza Tanzania. Kumbuka anatumia cheti Cha mtu.Raisi mtarajiwa huyu
Sawa Makonda tumekusikia.Uko Sasa uyu makonda ndo ameenda kuutengeneza mkoa vizuri
Stupid comment from a fool.Naunga mkono hoja, ila naomba nikurekebishe kidogo, sio kweli kuwa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti, ukweli ni kuwa Paul Makonda hana mamlaka yoyote, kwasababu mamlaka ya kweli ni kutoka juu!, Paul Makonda ni mpakwa mafuta, hivyo ana kitu kinachoitwa "kibali", mbele ya macho ya mamlaka ya kweli, ni kutokana na kibali hicho, kinamuwezesha kukubalika popote!, Lema na Gambo wote wawili watashika adabu zao!, na wale machalii wa Arusha, watanyooka!. Arusha itakuwa kama pepo fulani, itachanua, itang'aa kutokana na kibali cha Makonda!.
Paul Makonda ni mpakwa mafuta wa Bwana mwenye kibali machoni pake.
Wanabodi, kwenye bandiko hili Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... nilishauri
Hata baada ya kuteuliwa kuwa RC wa Arusha, Paul Makonda bado anapigwa vita na wasiomtakia mema, wasioitakia mema CCM na wasio itakia mema Tanzania.
Hongera sana Mkuu mpya wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda, kuiheshimisha Arusha, endelea kunyoosha kama JPM.
Kiukweli ninamkubali sana Paul Makonda!, Tangu nilipoanza kumkubali Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
He has never let me down!. Tena niliwahi kushauri Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... ushauri huu still stands, kwasababu miaka hii 4 ya Mama ni kumalizia awamu ya Magufuli, awamu ya baada ya Magufuli inaanza 2025, ila Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke hivyo you never know with politics, everything is possible!.
Paul Makonda kanyaga mwendo, chapa kazi hapo RChuga, panyooshe, machalii wa Arusha wanyooshe!, kazi iendelee!.
Paskali.