Burungutu lebba
Senior Member
- Jul 31, 2012
- 168
- 168
Wadau habari zenu,
Nimekua nikifatilia mijadala hasa inayohusisha waamuzi wa soka na maamuzi yao tata either kuwanyima au kuwapendelea baadhi ya vilabu vya mpira wa miguu hapa Tz nakupelekea mijadalla hii kifika mbali hadi serikali kutaka kuweka var ili kuepusha mapungufu hayo ya waamuzi.
Nitaanzia kwenye mapungufu ya waamuzi, mpira wa Tanzania umebadilika sana na umekua sana mifumo na mbinu za kiuchezaji zimebadilika lakini tumebaki na waamuzi wengi wale wale ambao wanaamini mtu akiwa peke yake ameotea au kwa uharaka wa tukio muamuzi hakuona usahihi wa tukio na kuamua kinyume chake...ni tatizo binafsi la waamuzi kwa sababu hata hawa wanaochwzesha Caf ccl hawatumii var lakini hawana makosa ya ajabu ajabu...Likaja swala la var.
ikasemekana ni bilioni 14 kwa uwanja mmoja nadhani lakini sisi mashabiki na wachambuzi pia tumeona mapungufu either ya offside au rafu kwa reply za azam tv..inamaana kuna mahala waamuzi pia tunawaonea. sasa basi kama kamera za azam tv zimefungwa vizuri tukaona kwa rply kuwa ni offside au wawa kamkanyaga nchimbi kwanini isiwekwe kamera uwanja pale na muamuzi wa ziasa kummtaarifu muamuzi wakati kurudia baadhi ya matukio kwa kwa kamera za azam zikiwa zimefungwa pale uwanja tena kwa hd.
Itasaidia kupunguza baadhi ya matukio mengi sana japo sio yote lakini itasaidia saaana kwwnye matukio ya ajabuajabu na mtaokoa hizo bilioni 14 zikawwkwa kwenye kuboresha pitch..zio lazima tuww na var zao mimi binafsi kamera za azam naona zinaamua maamuzi mengi tu ya kutosha kuziamini.. japo hazipo katika angle zote lakini tunawwza kuamua yale yanayo amulika yenye utata tunamuachia refa
Nimekua nikifatilia mijadala hasa inayohusisha waamuzi wa soka na maamuzi yao tata either kuwanyima au kuwapendelea baadhi ya vilabu vya mpira wa miguu hapa Tz nakupelekea mijadalla hii kifika mbali hadi serikali kutaka kuweka var ili kuepusha mapungufu hayo ya waamuzi.
Nitaanzia kwenye mapungufu ya waamuzi, mpira wa Tanzania umebadilika sana na umekua sana mifumo na mbinu za kiuchezaji zimebadilika lakini tumebaki na waamuzi wengi wale wale ambao wanaamini mtu akiwa peke yake ameotea au kwa uharaka wa tukio muamuzi hakuona usahihi wa tukio na kuamua kinyume chake...ni tatizo binafsi la waamuzi kwa sababu hata hawa wanaochwzesha Caf ccl hawatumii var lakini hawana makosa ya ajabu ajabu...Likaja swala la var.
ikasemekana ni bilioni 14 kwa uwanja mmoja nadhani lakini sisi mashabiki na wachambuzi pia tumeona mapungufu either ya offside au rafu kwa reply za azam tv..inamaana kuna mahala waamuzi pia tunawaonea. sasa basi kama kamera za azam tv zimefungwa vizuri tukaona kwa rply kuwa ni offside au wawa kamkanyaga nchimbi kwanini isiwekwe kamera uwanja pale na muamuzi wa ziasa kummtaarifu muamuzi wakati kurudia baadhi ya matukio kwa kwa kamera za azam zikiwa zimefungwa pale uwanja tena kwa hd.
Itasaidia kupunguza baadhi ya matukio mengi sana japo sio yote lakini itasaidia saaana kwwnye matukio ya ajabuajabu na mtaokoa hizo bilioni 14 zikawwkwa kwenye kuboresha pitch..zio lazima tuww na var zao mimi binafsi kamera za azam naona zinaamua maamuzi mengi tu ya kutosha kuziamini.. japo hazipo katika angle zote lakini tunawwza kuamua yale yanayo amulika yenye utata tunamuachia refa