V.A.R inawezekana Tanzania bila gharama wanazozitaja wao

V.A.R inawezekana Tanzania bila gharama wanazozitaja wao

Kama uwezo hamna tuachane na mambo ya VAR, tupeleke nguvu kwenye kuboresha viwanja kwani havifai kabisa kuchezewa mpira.

Waliopora viwanja vya wananchi wameshindwa kuviweka kwenye hali inayofaa kukubalika kuchezewa mchezo wa kabumbu na wao wanachoangalia ni kujiingiza tu pesa.

Swala la viwanja ni muhimu kuliko hiyo VAR kwani hiyo VAR ninavyoiona sio 100% foolproof bado tu ina mapungufu kwani hakuna mfumo unaoweza kuwa wa uhakika kwa asilimia mia moja.
 
Je wenye mpira wao FIFA, wanairuhusu teknolojia hii?!!kwani huwezi ukaanzisha bila wao kuipitisha, na ndio maana hata VAR, ni kampuni moja tu ndio yenye haki ya kufunga mfumo huo!!utumiaji wa replay uwanjani ili utambulike, lazima kanuni za fifa ziruhusu!!!
Hapo Ndio Biashara Na Sheria Ya Haki Miliki Inashika Hatamu Yake.
 
Tatizo sio kuitwa VAR, bali ni utumiaji wa hizo replay kutambuliwa na FIFA, kama chombo cha kumsaidia mwamuzi, ni lazima FIFA, waitambue, tofauti na hapo haiwezekani.kwani kila mtu atataka kutumia teknoljia yake, inayoweza kumsaidia ikawa vulugu tupu.
Cha kusema labda fifa wairuhusu, na haina gharama ki vile.
Uko vizuri! mpira una utaratibu wake,na unaongozwa na sheria zake
 
Back
Top Bottom