Tatizo sio kuitwa VAR, bali ni utumiaji wa hizo replay kutambuliwa na FIFA, kama chombo cha kumsaidia mwamuzi, ni lazima FIFA, waitambue, tofauti na hapo haiwezekani.kwani kila mtu atataka kutumia teknoljia yake, inayoweza kumsaidia ikawa vulugu tupu.
Cha kusema labda fifa wairuhusu, na haina gharama ki vile.