V.A.R inawezekana Tanzania bila gharama wanazozitaja wao

Kama uwezo hamna tuachane na mambo ya VAR, tupeleke nguvu kwenye kuboresha viwanja kwani havifai kabisa kuchezewa mpira.

Waliopora viwanja vya wananchi wameshindwa kuviweka kwenye hali inayofaa kukubalika kuchezewa mchezo wa kabumbu na wao wanachoangalia ni kujiingiza tu pesa.

Swala la viwanja ni muhimu kuliko hiyo VAR kwani hiyo VAR ninavyoiona sio 100% foolproof bado tu ina mapungufu kwani hakuna mfumo unaoweza kuwa wa uhakika kwa asilimia mia moja.
 
Hapo Ndio Biashara Na Sheria Ya Haki Miliki Inashika Hatamu Yake.
 
Uko vizuri! mpira una utaratibu wake,na unaongozwa na sheria zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…