Valentine inakaribia ila sina hata wa kuniletea ua

Dada angu Nakadori ebu nna kijiswali kidg (but don't take it too personal)[emoji4]

Uyo anko wako Ni mchawi au sio mchawi?[emoji4]

Ukinijibu ndio au hapana, afu ntakwambia kwann nmeuliza[emoji4]
Pond himself again
Mkuu unavizia loose ball
Kiufupi anko ni mkuu wa kilinge shauri yako

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
mapenzi (ndoa) huwa sio kitu cha siriaz na ukiweka usiriaz unaumia, ngoja ntafute hela nije nichague wakunichana tu
maana wote wachunaji, na wapendaji huwa wanaishia kuchezea za uso tu
 
mapenzi (ndoa) huwa sio kitu cha siriaz na ukiweka usiriaz unaumia, ngoja ntafute hela nije nichague wakunichana tu
maana wote wachunaji, na wapendaji huwa wanaishia kuchezea za uso tu
Huo ndo ukweliii
Ukiujua hupati tabu
 

Sasa kelele za nini ikiwa umeridhika na huyo babu yako!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…