Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
😂 sijapigwa tukio ila ni valentine ipi hiyoInonekana tukio ulilopigwa sio la nchi hii 😂 😂 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 sijapigwa tukio ila ni valentine ipi hiyoInonekana tukio ulilopigwa sio la nchi hii 😂 😂 😂
Hahahahaha..mie huwa sijibu wala ku quote wajinga wajinga kama hao wenye msongo wa mawazoHuyo kichaa mwingine nimeshamzoea ndio maana wala hujaona nahangaika nae, huyu kanishangaza kushadadia. Anyways, asante rafiki yangu.
Ilikua kama Siku zingine tuWana MMU, na waumini wote wa mapenzi mpo salama?
Valentine yako iliendaje? Matarajio yalifikiwa? Ulipata ulichokuwa unafikiria ungepata? Valentine wako allitokomea? Au ulipata surprise ya mwaka iliyoongeza tabasamu siku hiyo na kufanya iwe Valentine ya kukumbukwa?
Let's go😀😀
Kuna watu nilishawaweka kwenye kundi la vichaa, hutokaa uone nawa quote. Ila huyo ambaye huwa namuona timamu kanishangaza mno.Hahahahaha..mie huwa sijibu wala ku quote wajinga wajinga kama hao wenye msongo wa mawazo
Hahahahaha huyo ni timamu ?Kuna watu nilishawaweka kwenye kundi la vichaa, hutokaa uone nawa quote. Ila huyo ambaye huwa namuona timamu kanishangaza mno.
Umenichekeshaaaa. LolsHahahahaha huyo ni timamu ?
Hahahahahaha..nakuaminia sana..usiniangushe wendawazimu tangu lini wakawa timamu..Umenichekeshaaaa. Lols
Baada ya hapa nimegundua sikuwa sahihi.
Kwahiyo alitokomea ukala kiepe pekeyako..Nilikula kiepe
Sina wa kunitokomeleaKwahiyo alitokomea ukala kiepe pekeyako..
Niliteleza ndugu yangu, nimejifunza.Hahahahahaha..nakuaminia sana..usiniangushe wendawazimu tangu lini wakawa timamu..
acha tumfariji babe si kakuona mbaya amalizie mbaya sana ili afurahiKulikoni? Nimewahi kukukosea kwani?
Teh
HongeraKwangu Mimi,,niliinjoi Bangi,, 🍷 Wine na kitimoto kilo 2!!
🤣 🤣🤣Sina wa kunitokomelea
Nashukuru Su Mamii!!Hongera