Valentine's day

Valentine's day

Ngoja waje

Mimi binafsi siwajawahi kutenda hiyo dhambi [emoji16]
 
apa mepita mahali mekuta kibao kinaonesha ..... kumejaaa ...hakuna chumba.
 
Starehe kichocho ni mbaya ndugu zangu; chukueni tahadhari kama mnavyomwogopa mdudu wa Kovidi. Shauri zenu!??? Tuchapeni kazi kwa bidii na weledi, tumtangulize Mola.
 
Sijatajwa.haki itabidi leo nikalale katikati ya Bahari nitoe nuksi
 
Back
Top Bottom