Vanessa Mdee alikuwa kipanga wa hatari shuleni. Ni kundi moja na Jokate

Vanessa Mdee alikuwa kipanga wa hatari shuleni. Ni kundi moja na Jokate

Neno kipanga limekosa heshima katika huu uzi.....2 ya 19 anaitwa kipanga kweli UVCCM hamna akili hata huyo jokate ukifatilia utakuta alipata one za 16 au 17 huko.
Jokate Mwegelo ni I.11 pale St Anthony Mbagala. Jitahidi uwe unafurahia mafanikio ya wengine.
CIV-B HIS-B GEO-C KIS-B ENG-A FRE-B PHY-B CHE-A BIO-A BAS-D
 
Wakuu natumaini mko poa. Nawasalimu katika jina la CCM.

Mimi nikiwa kama mdau wa elimu nimefurahishwa sana na nilichokiona leo mtandaoni. Nimeona matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ya Mwanamuziki mkubwa nchini komredi Vanessa Mdee. Kahitimu mwaka 2003 ambao pia ni mwaka ambao Komredi Jokate Mwegelo alihitimua.

Hawa mabinti wadogo wawili walifanya vizuri sana kwenye mitihani yao. Inajulikana Jokate alipasua division one kali sana pale St Anthony Mbagala ila kwa Vanesa imekuwa haisemwi sana kuhusu elimu yake. Ukiangalia matokeo ya Vanesa form IV utaona alipiga Division II.19 (Tamka Two ya 19)
CIV-D HIS-C GEO-C KIS-C ENG-B FRE-C PHY-C CHE-C BIO-B BAS-D
huku akiwa pia kafanya vizuri masomo ya sayansi kama ilivyokuwa kwa Jokate.

Sijui zaidi kuhusu nini kiliendelea baada ya matokeo hayo ya form IV ila itoshe kusema kuwa Vanessa alikuwa kipanga shuleni. Hii nimeandika makusudi ili mabinti walio shuleni wajue shule ni muhimu kuliko kukimbilia umaarufu huku kichwani ukiwa mtupu. Vanessa na Jokate ni mifano hai ya kuigwa na wasichana wote Tanzania.
Mkuu, kwa matokeo haya, Vee siyo kipanga kama unavyotaka iwe, japo siyo kilaza.

Ova
 
Kwahiyo ni kilaza? Acha chuki za kifala wewe.

Wewe endelea kusifia tu, si ndio kazi mliyoizoea makada wa CCM...

Hizo C na D unaona grades za maana wakati hizo ni scores 60 kwenda chini huko...mtu ana D ambayo ni 40 kwenda lihamba huko, bado umekaza fuvu unasifia ufaulu...
 
Jokate Mwegelo ni I.11 pale St Anthony Mbagala. Jitahidi uwe unafurahia mafanikio ya wengine.
CIV-B HIS-B GEO-C KIS-B ENG-A FRE-B PHY-B CHE-A BIO-A BAS-D

Matokeo haya hayaendani na uhalisia wa physics na hesabu.

Ni jambo la ajabu mtu kupata hesabu D halafu physics ukapata B. Maana hesabu ni rahisi kuliko physics. Na bila kujua hesabu huwezi kupata B ya physics na A ya chemistry. Labda kama physics na chemistry alipiga chabo
 
Matokeo haya hayaendani na uhalisia wa physics na hesabu.

Ni jambo la ajabu mtu kupata hesabu D halafu physics ukapata B. Maana hesabu ni rahisi kuliko physics. Na bila kujua hesabu huwezi kupata B ya physics na A ya chemistry. Labda kama physics na chemistry alipiga chabo
Unaonaje wakati mwingine ukakaa kimya tu badala ya kuongea utumbo?
 
Wakuu natumaini mko poa. Nawasalimu katika jina la CCM.

Mimi nikiwa kama mdau wa elimu nimefurahishwa sana na nilichokiona leo mtandaoni. Nimeona matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ya Mwanamuziki mkubwa nchini komredi Vanessa Mdee. Kahitimu mwaka 2003 ambao pia ni mwaka ambao Komredi Jokate Mwegelo alihitimua.

Hawa mabinti wadogo wawili walifanya vizuri sana kwenye mitihani yao. Inajulikana Jokate alipasua division one kali sana pale St Anthony Mbagala ila kwa Vanesa imekuwa haisemwi sana kuhusu elimu yake. Ukiangalia matokeo ya Vanesa form IV utaona alipiga Division II.19 (Tamka Two ya 19)
CIV-D HIS-C GEO-C KIS-C ENG-B FRE-C PHY-C CHE-C BIO-B BAS-D
huku akiwa pia kafanya vizuri masomo ya sayansi kama ilivyokuwa kwa Jokate.

Sijui zaidi kuhusu nini kiliendelea baada ya matokeo hayo ya form IV ila itoshe kusema kuwa Vanessa alikuwa kipanga shuleni. Hii nimeandika makusudi ili mabinti walio shuleni wajue shule ni muhimu kuliko kukimbilia umaarufu huku kichwani ukiwa mtupu. Vanessa na Jokate ni mifano hai ya kuigwa na wasichana wote Tanzania.



2 ya 19? Kipanga? Kweli dunia ngumu hii
 
Wewe endelea kusifia tu, si ndio kazi mliyoizoea makada wa CCM...

Hizo C na D unaona grades za maana wakati hizo ni scores 60 kwenda chini huko...mtu ana D ambayo ni 40 kwenda lihamba huko, bado umekaza fuvu unasifia ufaulu...
Ulitaka nimsifu mama yako?
 
Wakuu natumaini mko poa. Nawasalimu katika jina la CCM.

Mimi nikiwa kama mdau wa elimu nimefurahishwa sana na nilichokiona leo mtandaoni. Nimeona matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ya Mwanamuziki mkubwa nchini komredi Vanessa Mdee. Kahitimu mwaka 2003 ambao pia ni mwaka ambao Komredi Jokate Mwegelo alihitimua.

Hawa mabinti wadogo wawili walifanya vizuri sana kwenye mitihani yao. Inajulikana Jokate alipasua division one kali sana pale St Anthony Mbagala ila kwa Vanesa imekuwa haisemwi sana kuhusu elimu yake. Ukiangalia matokeo ya Vanesa form IV utaona alipiga Division II.19 (Tamka Two ya 19)
CIV-D HIS-C GEO-C KIS-C ENG-B FRE-C PHY-C CHE-C BIO-B BAS-D
huku akiwa pia kafanya vizuri masomo ya sayansi kama ilivyokuwa kwa Jokate.

Sijui zaidi kuhusu nini kiliendelea baada ya matokeo hayo ya form IV ila itoshe kusema kuwa Vanessa alikuwa kipanga shuleni. Hii nimeandika makusudi ili mabinti walio shuleni wajue shule ni muhimu kuliko kukimbilia umaarufu huku kichwani ukiwa mtupu. Vanessa na Jokate ni mifano hai ya kuigwa na wasichana wote Tanzania.
Vipi nae zuchu alikuwa kipanga maana naye kwa sasa ni mfano wa kuigwa
 
Back
Top Bottom