MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Neno kipanga limekosa heshima katika huu uzi.....2 ya 19 anaitwa kipanga kweli UVCCM hamna akili hata huyo jokate ukifatilia utakuta alipata one za 16 au 17 huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisaDv 2 mwaka 2003 sio mchezo wewe
Jokate Mwegelo ni I.11 pale St Anthony Mbagala. Jitahidi uwe unafurahia mafanikio ya wengine.Neno kipanga limekosa heshima katika huu uzi.....2 ya 19 anaitwa kipanga kweli UVCCM hamna akili hata huyo jokate ukifatilia utakuta alipata one za 16 au 17 huko.
Mkuu, kwa matokeo haya, Vee siyo kipanga kama unavyotaka iwe, japo siyo kilaza.Wakuu natumaini mko poa. Nawasalimu katika jina la CCM.
Mimi nikiwa kama mdau wa elimu nimefurahishwa sana na nilichokiona leo mtandaoni. Nimeona matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ya Mwanamuziki mkubwa nchini komredi Vanessa Mdee. Kahitimu mwaka 2003 ambao pia ni mwaka ambao Komredi Jokate Mwegelo alihitimua.
Hawa mabinti wadogo wawili walifanya vizuri sana kwenye mitihani yao. Inajulikana Jokate alipasua division one kali sana pale St Anthony Mbagala ila kwa Vanesa imekuwa haisemwi sana kuhusu elimu yake. Ukiangalia matokeo ya Vanesa form IV utaona alipiga Division II.19 (Tamka Two ya 19)
CIV-D HIS-C GEO-C KIS-C ENG-B FRE-C PHY-C CHE-C BIO-B BAS-D
huku akiwa pia kafanya vizuri masomo ya sayansi kama ilivyokuwa kwa Jokate.
Sijui zaidi kuhusu nini kiliendelea baada ya matokeo hayo ya form IV ila itoshe kusema kuwa Vanessa alikuwa kipanga shuleni. Hii nimeandika makusudi ili mabinti walio shuleni wajue shule ni muhimu kuliko kukimbilia umaarufu huku kichwani ukiwa mtupu. Vanessa na Jokate ni mifano hai ya kuigwa na wasichana wote Tanzania.
Au atasema bado ana bikra2003 form 4 halafu sasa hivi 2023 utaisikia anakuambia ana miaka 28
Mhhhh kama ndio hivyo mimi si kilaza kabisa b…?Mkuu, kwa matokeo haya, Vee siyo kipanga kama unavyotaka iwe, japo siyo kilaza.
Ova
Kwahiyo ni kilaza? Acha chuki za kifala wewe.
Jokate Mwegelo ni I.11 pale St Anthony Mbagala. Jitahidi uwe unafurahia mafanikio ya wengine.
CIV-B HIS-B GEO-C KIS-B ENG-A FRE-B PHY-B CHE-A BIO-A BAS-D
Jokate Mwegelo ni I.11 pale St Anthony Mbagala. Jitahidi uwe unafurahia mafanikio ya wengine.
CIV-B HIS-B GEO-C KIS-B ENG-A FRE-B PHY-B CHE-A BIO-A BAS-D
Acheni utani.Dv 2 mwaka 2003 sio mchezo wewe
Amejilinganisha naye.Mkuu, kwa matokeo haya, Vee siyo kipanga kama unavyotaka iwe, japo siyo kilaza.
Ova
Unaonaje wakati mwingine ukakaa kimya tu badala ya kuongea utumbo?Matokeo haya hayaendani na uhalisia wa physics na hesabu.
Ni jambo la ajabu mtu kupata hesabu D halafu physics ukapata B. Maana hesabu ni rahisi kuliko physics. Na bila kujua hesabu huwezi kupata B ya physics na A ya chemistry. Labda kama physics na chemistry alipiga chabo
Wakuu natumaini mko poa. Nawasalimu katika jina la CCM.
Mimi nikiwa kama mdau wa elimu nimefurahishwa sana na nilichokiona leo mtandaoni. Nimeona matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ya Mwanamuziki mkubwa nchini komredi Vanessa Mdee. Kahitimu mwaka 2003 ambao pia ni mwaka ambao Komredi Jokate Mwegelo alihitimua.
Hawa mabinti wadogo wawili walifanya vizuri sana kwenye mitihani yao. Inajulikana Jokate alipasua division one kali sana pale St Anthony Mbagala ila kwa Vanesa imekuwa haisemwi sana kuhusu elimu yake. Ukiangalia matokeo ya Vanesa form IV utaona alipiga Division II.19 (Tamka Two ya 19)
CIV-D HIS-C GEO-C KIS-C ENG-B FRE-C PHY-C CHE-C BIO-B BAS-D
huku akiwa pia kafanya vizuri masomo ya sayansi kama ilivyokuwa kwa Jokate.
Sijui zaidi kuhusu nini kiliendelea baada ya matokeo hayo ya form IV ila itoshe kusema kuwa Vanessa alikuwa kipanga shuleni. Hii nimeandika makusudi ili mabinti walio shuleni wajue shule ni muhimu kuliko kukimbilia umaarufu huku kichwani ukiwa mtupu. Vanessa na Jokate ni mifano hai ya kuigwa na wasichana wote Tanzania.
Ulitaka nimsifu mama yako?Wewe endelea kusifia tu, si ndio kazi mliyoizoea makada wa CCM...
Hizo C na D unaona grades za maana wakati hizo ni scores 60 kwenda chini huko...mtu ana D ambayo ni 40 kwenda lihamba huko, bado umekaza fuvu unasifia ufaulu...
Tatizo nyie mnapenda kudanganywa. Kwa mfano CHADEMA wengi humsifu msanii wao Roma Mkatoliki kuwa ni kipanga wa hesabu wakati matokeo yake ya form IV na VI hata div II hana.Kipanga ya Konyo!
Kwani NAPE alipataga ngapi
Kuna sehemu nimeandika napungukiwa mkuu? au unaleta makasiriko yasiyo na maana.Kwani akikuambia hivo unapungukiwa Nini?
Vipi nae zuchu alikuwa kipanga maana naye kwa sasa ni mfano wa kuigwaWakuu natumaini mko poa. Nawasalimu katika jina la CCM.
Mimi nikiwa kama mdau wa elimu nimefurahishwa sana na nilichokiona leo mtandaoni. Nimeona matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ya Mwanamuziki mkubwa nchini komredi Vanessa Mdee. Kahitimu mwaka 2003 ambao pia ni mwaka ambao Komredi Jokate Mwegelo alihitimua.
Hawa mabinti wadogo wawili walifanya vizuri sana kwenye mitihani yao. Inajulikana Jokate alipasua division one kali sana pale St Anthony Mbagala ila kwa Vanesa imekuwa haisemwi sana kuhusu elimu yake. Ukiangalia matokeo ya Vanesa form IV utaona alipiga Division II.19 (Tamka Two ya 19)
CIV-D HIS-C GEO-C KIS-C ENG-B FRE-C PHY-C CHE-C BIO-B BAS-D
huku akiwa pia kafanya vizuri masomo ya sayansi kama ilivyokuwa kwa Jokate.
Sijui zaidi kuhusu nini kiliendelea baada ya matokeo hayo ya form IV ila itoshe kusema kuwa Vanessa alikuwa kipanga shuleni. Hii nimeandika makusudi ili mabinti walio shuleni wajue shule ni muhimu kuliko kukimbilia umaarufu huku kichwani ukiwa mtupu. Vanessa na Jokate ni mifano hai ya kuigwa na wasichana wote Tanzania.