Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
😳 Serious?Dv 2 mwaka 2003 sio mchezo wewe
Kumbe watu tulikuwa vipanga sema tulikuwa hatujulikani!
🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😳 Serious?Dv 2 mwaka 2003 sio mchezo wewe
🤣🤣🤣 KwakweliNeno kipanga limekosa heshima katika huu uzi.....2 ya 19 anaitwa kipanga kweli UVCCM hamna akili hata huyo jokate ukifatilia utakuta alipata one za 16 au 17 huko.
Zuchu sijajua ila kuna uwezekano pia kuwa alikuwa kipanga. Lakini yule binti akili imo kwasababu mara kadhaa nilishawahi ona comments zake mtandaoni kwenye ishu nyeti tena kwa lugha ya kiingereza.Vipi nae zuchu alikuwa kipanga maana naye kwa sasa ni mfano wa kuigwa
Kipanga ni kipanga. Iwe St au Govt. Hakuna kisingizio.Hii dhima ya ukipanga wengi wenu huwa mnaichukulia kienyenyeji sana yaani.
Mtu usome st nani nani spoon feeder utoke na divII halafu uje ujilinganishe na aliyekula msoto st kayumba akaibuka na divII.
Kiuhalisia mtahiniwa aliepia one ya 7 toka st kayumba ndo pure kipanga na haitakiwi kumuweka zizi moja na hawa wa st francis.
Results za six huwaumbua sana hawa vijana walipiga one kali toka st kunani wakija govt schools.
Mkuu kupata 2 ya 19, 2003 haikuwa jambo dogo kabisa, consider kwa mazingira ya wakati uleNeno kipanga limekosa heshima katika huu uzi.....2 ya 19 anaitwa kipanga kweli UVCCM hamna akili hata huyo jokate ukifatilia utakuta alipata one za 16 au 17 huko.
B... umeanza mambo yako. SIna maoni kwa sasa kwenye hilo swali.Mhhhh kama ndio hivyo mimi si kilaza kabisa b…?
Dah huyu atakua anakimbilia 40 aisee2003 form 4 halafu sasa hivi 2023 utaisikia anakuambia ana miaka 28
Jokate lihitimu mwaka 2004,mkuu ila alikuwa ni anaakili za wastani tuu ,nahisi alipsta div one ya 15Wakuu natumaini mko poa. Nawasalimu katika jina la CCM.
Mimi nikiwa kama mdau wa elimu nimefurahishwa sana na nilichokiona leo mtandaoni. Nimeona matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ya Mwanamuziki mkubwa nchini komredi Vanessa Mdee. Kahitimu mwaka 2003 ambao pia ni mwaka ambao Komredi Jokate Mwegelo alihitimua.
Hawa mabinti wadogo wawili walifanya vizuri sana kwenye mitihani yao. Inajulikana Jokate alipasua division one kali sana pale St Anthony Mbagala ila kwa Vanesa imekuwa haisemwi sana kuhusu elimu yake. Ukiangalia matokeo ya Vanesa form IV utaona alipiga Division II.19 (Tamka Two ya 19)
CIV-D HIS-C GEO-C KIS-C ENG-B FRE-C PHY-C CHE-C BIO-B BAS-D
huku akiwa pia kafanya vizuri masomo ya sayansi kama ilivyokuwa kwa Jokate.
Sijui zaidi kuhusu nini kiliendelea baada ya matokeo hayo ya form IV ila itoshe kusema kuwa Vanessa alikuwa kipanga shuleni. Hii nimeandika makusudi ili mabinti walio shuleni wajue shule ni muhimu kuliko kukimbilia umaarufu huku kichwani ukiwa mtupu. Vanessa na Jokate ni mifano hai ya kuigwa na wasichana wote Tanzania.
Mtu anashindwa kufikisha alama 41 kwenye hisabati za o level mnamuita kipanga????Jokate Mwegelo ni I.11 pale St Anthony Mbagala. Jitahidi uwe unafurahia mafanikio ya wengine.
CIV-B HIS-B GEO-C KIS-B ENG-A FRE-B PHY-B CHE-A BIO-A BAS-D
div 2 kipanga? acha utaniWakuu natumaini mko poa. Nawasalimu katika jina la CCM.
Mimi nikiwa kama mdau wa elimu nimefurahishwa sana na nilichokiona leo mtandaoni. Nimeona matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ya Mwanamuziki mkubwa nchini komredi Vanessa Mdee. Kahitimu mwaka 2003 ambao pia ni mwaka ambao Komredi Jokate Mwegelo alihitimua.
Hawa mabinti wadogo wawili walifanya vizuri sana kwenye mitihani yao. Inajulikana Jokate alipasua division one kali sana pale St Anthony Mbagala ila kwa Vanesa imekuwa haisemwi sana kuhusu elimu yake. Ukiangalia matokeo ya Vanesa form IV utaona alipiga Division II.19 (Tamka Two ya 19)
CIV-D HIS-C GEO-C KIS-C ENG-B FRE-C PHY-C CHE-C BIO-B BAS-D
huku akiwa pia kafanya vizuri masomo ya sayansi kama ilivyokuwa kwa Jokate.
Sijui zaidi kuhusu nini kiliendelea baada ya matokeo hayo ya form IV ila itoshe kusema kuwa Vanessa alikuwa kipanga shuleni. Hii nimeandika makusudi ili mabinti walio shuleni wajue shule ni muhimu kuliko kukimbilia umaarufu huku kichwani ukiwa mtupu. Vanessa na Jokate ni mifano hai ya kuigwa na wasichana wote Tanzania.
Div 2 nayo ni ukipanga? We kweli fala na unakandikwa matacoreWakuu natumaini mko poa. Nawasalimu katika jina la CCM.
Mimi nikiwa kama mdau wa elimu nimefurahishwa sana na nilichokiona leo mtandaoni. Nimeona matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ya Mwanamuziki mkubwa nchini komredi Vanessa Mdee. Kahitimu mwaka 2003 ambao pia ni mwaka ambao Komredi Jokate Mwegelo alihitimua.
Hawa mabinti wadogo wawili walifanya vizuri sana kwenye mitihani yao. Inajulikana Jokate alipasua division one kali sana pale St Anthony Mbagala ila kwa Vanesa imekuwa haisemwi sana kuhusu elimu yake. Ukiangalia matokeo ya Vanesa form IV utaona alipiga Division II.19 (Tamka Two ya 19)
CIV-D HIS-C GEO-C KIS-C ENG-B FRE-C PHY-C CHE-C BIO-B BAS-D
huku akiwa pia kafanya vizuri masomo ya sayansi kama ilivyokuwa kwa Jokate.
Sijui zaidi kuhusu nini kiliendelea baada ya matokeo hayo ya form IV ila itoshe kusema kuwa Vanessa alikuwa kipanga shuleni. Hii nimeandika makusudi ili mabinti walio shuleni wajue shule ni muhimu kuliko kukimbilia umaarufu huku kichwani ukiwa mtupu. Vanessa na Jokate ni mifano hai ya kuigwa na wasichana wote Tanzania.
Bora ukakaa kimya. Hakuna unalojuaJokate lihitimu mwaka 2004,mkuu ila alikuwa ni anaakili za wastani tuu ,nahisi alipsta div one ya 15
Wewe mvuta bangi ukikaa kimya ni busara piaDiv 2 nayo ni ukipanga? We kweli fala na unakandikwa matacore
Hiyo A ya chemistry na Biology unazichukuliaje?Mtu anashindwa kufikisha alama 41 kwenye hisabati za o level mnamuita kipanga????
Jokate sawa alikua na ufaulu mzuri na amekua na mafanikio ila neno kipanga liheshimiwe
Weka tokeo.😳 Serious?
Kumbe watu tulikuwa vipanga sema tulikuwa hatujulikani!
🤣🤣