Vanessa Mdee alikuwa kipanga wa hatari shuleni. Ni kundi moja na Jokate

Vanessa Mdee alikuwa kipanga wa hatari shuleni. Ni kundi moja na Jokate

Hii dhima ya ukipanga wengi wenu huwa mnaichukulia kienyenyeji sana yaani.
Mtu usome st nani nani spoon feeder utoke na divII halafu uje ujilinganishe na aliyekula msoto st kayumba akaibuka na divII.

Kiuhalisia mtahiniwa aliepia one ya 7 toka st kayumba ndo pure kipanga na haitakiwi kumuweka zizi moja na hawa wa st francis.
Results za six huwaumbua sana hawa vijana walipiga one kali toka st kunani wakija govt schools.
 
Vipi nae zuchu alikuwa kipanga maana naye kwa sasa ni mfano wa kuigwa
Zuchu sijajua ila kuna uwezekano pia kuwa alikuwa kipanga. Lakini yule binti akili imo kwasababu mara kadhaa nilishawahi ona comments zake mtandaoni kwenye ishu nyeti tena kwa lugha ya kiingereza.
 
Hii dhima ya ukipanga wengi wenu huwa mnaichukulia kienyenyeji sana yaani.
Mtu usome st nani nani spoon feeder utoke na divII halafu uje ujilinganishe na aliyekula msoto st kayumba akaibuka na divII.

Kiuhalisia mtahiniwa aliepia one ya 7 toka st kayumba ndo pure kipanga na haitakiwi kumuweka zizi moja na hawa wa st francis.
Results za six huwaumbua sana hawa vijana walipiga one kali toka st kunani wakija govt schools.
Kipanga ni kipanga. Iwe St au Govt. Hakuna kisingizio.
 
Wakuu natumaini mko poa. Nawasalimu katika jina la CCM.

Mimi nikiwa kama mdau wa elimu nimefurahishwa sana na nilichokiona leo mtandaoni. Nimeona matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ya Mwanamuziki mkubwa nchini komredi Vanessa Mdee. Kahitimu mwaka 2003 ambao pia ni mwaka ambao Komredi Jokate Mwegelo alihitimua.

Hawa mabinti wadogo wawili walifanya vizuri sana kwenye mitihani yao. Inajulikana Jokate alipasua division one kali sana pale St Anthony Mbagala ila kwa Vanesa imekuwa haisemwi sana kuhusu elimu yake. Ukiangalia matokeo ya Vanesa form IV utaona alipiga Division II.19 (Tamka Two ya 19)
CIV-D HIS-C GEO-C KIS-C ENG-B FRE-C PHY-C CHE-C BIO-B BAS-D
huku akiwa pia kafanya vizuri masomo ya sayansi kama ilivyokuwa kwa Jokate.

Sijui zaidi kuhusu nini kiliendelea baada ya matokeo hayo ya form IV ila itoshe kusema kuwa Vanessa alikuwa kipanga shuleni. Hii nimeandika makusudi ili mabinti walio shuleni wajue shule ni muhimu kuliko kukimbilia umaarufu huku kichwani ukiwa mtupu. Vanessa na Jokate ni mifano hai ya kuigwa na wasichana wote Tanzania.
Jokate lihitimu mwaka 2004,mkuu ila alikuwa ni anaakili za wastani tuu ,nahisi alipsta div one ya 15
 
Jokate Mwegelo ni I.11 pale St Anthony Mbagala. Jitahidi uwe unafurahia mafanikio ya wengine.
CIV-B HIS-B GEO-C KIS-B ENG-A FRE-B PHY-B CHE-A BIO-A BAS-D
Mtu anashindwa kufikisha alama 41 kwenye hisabati za o level mnamuita kipanga????

Jokate sawa alikua na ufaulu mzuri na amekua na mafanikio ila neno kipanga liheshimiwe
 
Wakuu natumaini mko poa. Nawasalimu katika jina la CCM.

Mimi nikiwa kama mdau wa elimu nimefurahishwa sana na nilichokiona leo mtandaoni. Nimeona matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ya Mwanamuziki mkubwa nchini komredi Vanessa Mdee. Kahitimu mwaka 2003 ambao pia ni mwaka ambao Komredi Jokate Mwegelo alihitimua.

Hawa mabinti wadogo wawili walifanya vizuri sana kwenye mitihani yao. Inajulikana Jokate alipasua division one kali sana pale St Anthony Mbagala ila kwa Vanesa imekuwa haisemwi sana kuhusu elimu yake. Ukiangalia matokeo ya Vanesa form IV utaona alipiga Division II.19 (Tamka Two ya 19)
CIV-D HIS-C GEO-C KIS-C ENG-B FRE-C PHY-C CHE-C BIO-B BAS-D
huku akiwa pia kafanya vizuri masomo ya sayansi kama ilivyokuwa kwa Jokate.

Sijui zaidi kuhusu nini kiliendelea baada ya matokeo hayo ya form IV ila itoshe kusema kuwa Vanessa alikuwa kipanga shuleni. Hii nimeandika makusudi ili mabinti walio shuleni wajue shule ni muhimu kuliko kukimbilia umaarufu huku kichwani ukiwa mtupu. Vanessa na Jokate ni mifano hai ya kuigwa na wasichana wote Tanzania.
div 2 kipanga? acha utani
 
Wakuu natumaini mko poa. Nawasalimu katika jina la CCM.

Mimi nikiwa kama mdau wa elimu nimefurahishwa sana na nilichokiona leo mtandaoni. Nimeona matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ya Mwanamuziki mkubwa nchini komredi Vanessa Mdee. Kahitimu mwaka 2003 ambao pia ni mwaka ambao Komredi Jokate Mwegelo alihitimua.

Hawa mabinti wadogo wawili walifanya vizuri sana kwenye mitihani yao. Inajulikana Jokate alipasua division one kali sana pale St Anthony Mbagala ila kwa Vanesa imekuwa haisemwi sana kuhusu elimu yake. Ukiangalia matokeo ya Vanesa form IV utaona alipiga Division II.19 (Tamka Two ya 19)
CIV-D HIS-C GEO-C KIS-C ENG-B FRE-C PHY-C CHE-C BIO-B BAS-D
huku akiwa pia kafanya vizuri masomo ya sayansi kama ilivyokuwa kwa Jokate.

Sijui zaidi kuhusu nini kiliendelea baada ya matokeo hayo ya form IV ila itoshe kusema kuwa Vanessa alikuwa kipanga shuleni. Hii nimeandika makusudi ili mabinti walio shuleni wajue shule ni muhimu kuliko kukimbilia umaarufu huku kichwani ukiwa mtupu. Vanessa na Jokate ni mifano hai ya kuigwa na wasichana wote Tanzania.
Div 2 nayo ni ukipanga? We kweli fala na unakandikwa matacore
 
Mtu anashindwa kufikisha alama 41 kwenye hisabati za o level mnamuita kipanga????

Jokate sawa alikua na ufaulu mzuri na amekua na mafanikio ila neno kipanga liheshimiwe
Hiyo A ya chemistry na Biology unazichukuliaje?
 
Back
Top Bottom