Shauri yako..Ngoja nikujibu Humbly kabisa...
Kila Jibu nalotoa linatokana na akili na Swali la Muulizaji..
Na naomba nikuulize na wewe hicho kipimo cha akili za watu Ulikisomea wapi? Na Unatumia njia gani?
Gen-z Na millenial mnamatatizo sana π π
Ulibweteka mahala...Ya nn ss hapa mkuuπ€£
Haina haja
Ht hayajatusaidua kutoboa,wenye c za kuungaunga na pass chuo ,wanatoboa tuπ€£
π€£π€£π€£π€£2003 Yuko form 4,wakati mm naesabu vijijiti a,e,I,o,u.Ila utashangaa kwa sasa anamiaka 25
Inawezekana kabisa.Ana miaka 35, alizaliwa June 7 1988
Alimaliza form 4 akiwa na miaka 15
Alimaliza la 7 akiwa na miaka 11
Alianza la kwanza akiwa na miaka 5
Kwakuwa alipata elimu ya awali nje, tumpe a benefit of doubt.
Ilikuaje akaenda Loyola HGL? jamani leteni matokeo halisi ya Jocate.Jokate Mwegelo ni I.11 pale St Anthony Mbagala. Jitahidi uwe unafurahia mafanikio ya wengine.
CIV-B HIS-B GEO-C KIS-B ENG-A FRE-B PHY-B CHE-A BIO-A BAS-D
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee MlongoKumbe Mimi nilikuwa kishoka!kama dv11.19 alikuwa kipanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]2003 Yuko form 4,wakati mm naesabu vijijiti a,e,I,o,u.Ila utashangaa kwa sasa anamiaka 25
Hayo ndo matokeo halisi. Labda alikuwa na wito mkubwa kwenye mambo ya sanaa.. pia hizi familia za kishua huwa sio kama zetu kwamba unaenda tu chuo kisa umefaulu. Huwa wana mahesabu yao..Ilikuaje akaenda Loyola HGL? jamani leteni matokeo halisi ya Jocate.
Mi ni kichwa mlongo!maisha tu yametuvalia boxer tumekuwa wehuwehu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Mlongo
Mmmh hadi nione vyeti halisi vya jocate ndo nitaamini.Hayo ndo matokeo halisi. Labda alikuwa na wito mkubwa kwenye mambo ya sanaa.. pia hizi familia za kishua huwa sio kama zetu kwamba unaenda tu chuo kisa umefaulu. Huwa wana mahesabu yao..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Mi ni kichwa mlongo!maisha tu yametuvalia boxer tumekuwa wehuwehu
Sio lazima uamini. Baki hivyo unavyoona ni sahihi.Mmmh hadi nione vyeti halisi vya jocate ndo nitaamini.
Huyu ccnp alikuwa mtu wa masifa,walipotelea wapi?Hii inanikumbusha battle kati ya CCNP Engineer na Humble African watu walipost mpaka vyeti kuonyesha ukipanga wao. I miss those days.
Vyovyote ilivyo DIvision 2 ya Point 19 ni ufaulu wa kawaida sana. Katika kipimo cha masomo 7. Hapo amejaza B na C tu.JF na Twitter (X) ni mitandao ya watu much know... kama division 2 ni kawaida kila mtu angepata.
Atakuwa na ID nyingine. Ni ngumu sana kuachana na JF moja kwa moja.Huyu ccnp alikuwa mtu wa masifa,walipotelea wapi?
Jf ilikuwa Tamu Sana nyakati hizo.
Ila sio ya kusema kipanga jamani,duh!JF na Twitter (X) ni mitandao ya watu much know... kama division 2 ni kawaida kila mtu angepata.
π€π€π€Vyovyote ilivyo DIvision 2 ya Point 19 ni ufaulu wa kawaida sana. Katika kipimo cha masomo 7. Hapo amejaza B na C tu.
Kila mtu kutokupata haifanyi division 2 kuwa sio ya kawaida.