Vanessa Mdee alistahili tuzo ya mwanamziki bora wa kike

Yeah hawaruhusiwi.... ndio maana hata blog sammisago haikuwahi kureport fiesta.. it's oligopoly market na ndivyo inavyofanya kazi.
 
Kura zimetenda haki ila kwa kweli Vee pesa yuko vyema kwa sasa !jide kabebwa na loyal fans tu sio kwa kuwa yuko bora dhidi ya Vee!
 
Hapo sasa naakuelewa.. Kumbee ni ujinga ule ule wa timu..
 
Nitamwambia kura hazikutosha hivyo akubaliane na matokeo. Tatizo la sisi watz ni wagumu kukubali matokeo. Badala yake tunaanza kubeza na kuponda. Wenzetu humpongeza mshindi na kumwambia aliyeshindwa akazane ili tuzo zijazo aweze kishinda
Unahisi kura zinatosha kuamua mshindi
 
Hawa nao ni wanafki ,clouds fm B
 
Vanessa hana hadhi ya kupata tuzo mbele ya jd
 
Miaka michache ijayo Vannessa Mdee atakuwa ndio msanii bora wa kike Afrika mashariki na kati kwa zaidi ya miaka mi5 mpaka 10 mfululizo.
-Atapata tunzo nyingi sana list sawa na waimbaji bora wa kike Africa nzima.
 
Vipi ulimpigia kura?
 
Ze ndi ndi ndi ilikua anthem nchi nzima nyie mnaomtete cash madame mtuambie ni wimbo wake gani uliotamba nchini mwaka Jana ukaimbwa kuanzia watoto hadi wazee?
V ni talented ila kwa jide bado sana hata yeye anajua hilo!
 
Ze ndi ndi ndi ilikua anthem nchi nzima nyie mnaomtete cash madame mtuambie ni wimbo wake gani uliotamba nchini mwaka Jana ukaimbwa kuanzia watoto hadi wazee?
V ni talented ila kwa hide bado sana hata yeye anajua hilo!
Alishasema jide ni role modal wake.
 
Miaka michache ijayo Vannessa Mdee atakuwa ndio msanii bora wa kike Afrika mashariki na kati kwa zaidi ya miaka mi5 mpaka 10 mfululizo.
-Atapata tunzo nyingi sana list sawa na waimbaji bora wa kike Africa nzima.
Africa? Haupo serious unamjua tiwa savage? Achana na yemi alade , kuna jembe linakuja anaitwa simi simplify
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…