Vanessa Mdee alistahili tuzo ya mwanamziki bora wa kike

Vanessa Mdee alistahili tuzo ya mwanamziki bora wa kike

Africa? Haupo serious unamjua tiwa savage? Achana na yemi alade , kuna jembe linakuja anaitwa simi simplify
Video za nyimbo za Vanessa mdee kwa sasa ni nzuri zaidi. Na pia uwezo wake wa kupafom jukwaani umekuwa mkubwa na unavutia.
-Yemi alade akipata msanii bora Africa(KE)
-Tiwa savage akipata Africa magharib
-Vanessa Mdee atapata Africa Mashariki
 
Vanesa Ganja sana yuko kama anapepea haeleweki....Jay Dee ametulia mno kwenye kuimba ni performer mzuri
 
Woote hamkupiga kura halafu mnakuja hapa kulalamika. Watanzania watu wa ajabu sana hapa duniani tunapenda sana kilalamika bila kuchukua hatua. Eatv kila siku wanasisitiza watu wapige kura maana wao wameacha maamuzi kwetu! Hakika dunia isingepungukiwa kitu kwa kutokuwepo Waafrika.
 
Vanessa sawa anaiwakilisha nchi kwa sasa ila kwa mashabiki hamfikii Jd na hawezi jaza ukumbi kwa kiingilio cha laki au elf 50 lakini kwa Jd mpaka tiketi zinaisha kingine ni kuwa Jd na EATV wamefamya mambo mengi Pamoja hivyo hawawezi kumuona anashindwa na mtoto wa jana ukitaka kupima mashabiki wa mtu mwambie aitishe show alafu asimame yeye kama yeye hiki ndio kipimo sahihi

Vanessa alisema wakamroge na wameroga kweli watu hawataki ujinga
 
Woote hamkupiga kura halafu mnakuja hapa kulalamika. Watanzania watu wa ajabu sana hapa duniani tunapenda sana kilalamika bila kuchukua hatua. Eatv kila siku wanasisitiza watu wapige kura maana wao wameacha maamuzi kwetu! Hakika dunia isingepungukiwa kitu kwa kutokuwepo Waafrika.
Unahisi upigaji kura tu ni njia bora ya kupata mshindi maana kama ndo ivo basi mwaka huu MTV mama tuzo zote zingekuja bongo maana hakuna nchi iliyo na mwamko wa upigaji kura kama tz
 
Vanessa sawa anaiwakilisha nchi kwa sasa ila kwa mashabiki hamfikii Jd na hawezi jaza ukumbi kwa kiingilio cha laki au elf 50 lakini kwa Jd mpaka tiketi zinaisha kingine ni kuwa Jd na EATV wamefamya mambo mengi Pamoja hivyo hawawezi kumuona anashindwa na mtoto wa jana ukitaka kupima mashabiki wa mtu mwambie aitishe show alafu asimame yeye kama yeye hiki ndio kipimo sahihi
Uwezo huwo Vanessa anao kabisa
 
Tanzania kwelii mavilaza ni. Mengi mpige kura wenyewe bado mlalamike.

Uyoo v money anaumaarufu gani east Africa? Asilimia kubwa ya watanzania ambao hawajaenda darasani hawamfahamu. Hujui wapiga kura wengi wako vijijini
 
Wabongo buana ni bongo lala kweli. Wengi wanaopiga vigelegele humu hawakupiga hata kura kuchagua nani awe bora kuliko mwenzie. Ndo tunaelekea kwenge Tz ya viwanda hivyo.
 
Ntatoa comment yangu waandaaji wakituletea vigezo vilivyotumika kumpata mshindi, kinyume n hapo n comment basing on personal emotions.....
 
Vanessa sawa anaiwakilisha nchi kwa sasa ila kwa mashabiki hamfikii Jd na hawezi jaza ukumbi kwa kiingilio cha laki au elf 50 lakini kwa Jd mpaka tiketi zinaisha kingine ni kuwa Jd na EATV wamefamya mambo mengi Pamoja hivyo hawawezi kumuona anashindwa na mtoto wa jana ukitaka kupima mashabiki wa mtu mwambie aitishe show alafu asimame yeye kama yeye hiki ndio kipimo sahihi

Vanessa alisema wakamroge na wameroga kweli watu hawataki ujinga
Sijawahi ona Jide amesimama yeye kama yeye, kuna ile show alikuwa na beef kali na kina Ruge, huku upande wa kina Ruge alisimama 'Mwanafatuma', huku kwa Jide alialika magwiji kina Sugu, Nature wampe tafu. Pia hii show ya juzi Mlimani City alikuwa na kina Kiba
 
Tanzania kwelii mavilaza ni. Mengi mpige kura wenyewe bado mlalamike.

Uyoo v money anaumaarufu gani east Africa? Asilimia kubwa ya watanzania ambao hawajaenda darasani hawamfahamu. Hujui wapiga kura wengi wako vijijini
Ww kweli ndo kilaza kabisa tuzo zenyewe ata hapa mbagara hazijulikani labda cjui unamanisha kijiji gani
 
Kitendo cha moyo mashine kukosa tuzo kimenifanya niamini wapenzi wa muziki wapo kama wanachama wa vyama vya siasa..hata kikisimamisha mgombea wa hovyo wao watampa kura tu na kumuacha mtu bora zaidi!
 
Naona tuzo za sikuhizi zina matatizo sana watu wanapiga kura lakini mshindi anatangazwa mwingine..
 
Back
Top Bottom