Watu wanakesha na simu mikononi wakipiga kura chezea utimu ww.....kuna watu asa iv ni watumwa bila kujitakia, kukomoanaNaona tuzo za sikuhizi zina matatizo sana watu wanapiga kura lakini mshindi anatangazwa mwingine..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanakesha na simu mikononi wakipiga kura chezea utimu ww.....kuna watu asa iv ni watumwa bila kujitakia, kukomoanaNaona tuzo za sikuhizi zina matatizo sana watu wanapiga kura lakini mshindi anatangazwa mwingine..
people vote based on personal emotions ndiomaana mnaona kama kuna mtu ameonewa but what happened is reality... ikifika time ya kuchagua watu wanakuchinjia baharini unaishia kulalamaNtatoa comment yangu waandaaji wakituletea vigezo vilivyotumika kumpata mshindi, kinyume n hapo n comment basing on personal emotions.....
Ww kweli ndo kilaza kabisa tuzo zenyewe ata hapa mbagara hazijulikani labda cjui unamanisha kijiji gani
Hata Vanessa mwenyewe anajua kashindwa pasipo figisu, ngoma ilikuwa kubwa mpaka ex mume povu likamlipuka jukwaani.Ze ndi ndi ndi
ilikua nyimbo ya taifa humu jamvini ilijadiliwa miezi mitatu
vanessa kwa nyimbo ipi ?
Wenyewe ni wakina nani hao? Tudokeze kidogo mkuuNa yeye alienda kuchukua form wakat tuzo zina wanyewe, atajua mwenywe
Labda watuambie ni nyimbo gani ya Vanessa iliyokuwa kubwa kuliko ya Jide iliyomoa tuzo? Na wasisahau vigezo vilikuwa wimbo uliotoka kati july 2015- july 2016Hivi vannesaa katoa wimbo hani mkubwa kwa mwaka huu,niroge au?
Ndi ndi ndi ilkuwa wimbo wa taifa unaoimbwa na watu wa umri,hali na mahali tofauti.
Ndi ndi ndi haikwenda kimataifa sana ila kwa ndani ya nnchi ni kati ya nyimbo tatu bora za mwaka na kwakuwa hizi tuzo ni za ndani na wananchi ndio wanaopiga kura ni haki ya jide kushinda
Jide She deserve that Award, hakuna ubishiJapo ni tuzo za Tz.... ilikuwa haina baja ya kusemea hili maana tulilitegemea lakini ukweli lazima uwekwe wazi! Lady Jay De hakustahili kuchukua Tuzo aliyo chukua Jana! Labda jana ilikuwa ni kwa Ajiri ya Wakongwe Tuuu lakini nafikiri hata tukifuatilia upigaji kuraa utaona Vanessa Mdee alikuwa anakura nyingi Tuuu!!!!
Tukiachana na kura Kwa sasa na kwa miaka 2 nyuma wakati lady Jay De alikuwa Nje ya nchi vanessa Mdee ndo amekuwa mtu anae iwakilisha vyema Tanzania Nje ya nchi kwa upande wa Kike hadi kuwa nominated Mara mbili Tuzo za Mtv! Ameshajijengea Mashabaki ndani na Nje ya nchi lakini mwisho wa siku anakosa Tuzo kisa Figisu Figisu!!
Tunaweza kugues why Vanessa Mdee kakosa tuzo lakini sio mahara pake hapa Japo waliotoa Tuzo wanajua ukwelii!! walio ona mchakato wa hizi tuzo waliamua kukaa Mbali!
Lakini kiukweliii Vanessa Mdee Alistahili hii tuzo bila ubishiiiiii.......Hata iwe kwa mchakato wa kuraaa Bado vanessa Ana Fan Base kubwaaa kuliko huyo!!!!
Haya ndo yanayo fanya watu kususia hizo Tuzo! ila Kwangu mimi kwa mwaka Huu Vanessa Mdee ndo the best
Walifikiri kuwa zitakuwa na utofauti na ktma kumbe mambo ndo yale yale, sizan kama mwakani atakuwa na icho kihelehele tena.....wamekomeshwa kabisaNa yeye alienda kuchukua form wakat tuzo zina wanyewe, atajua mwenywe
Kabla ya kulalamika ni Bora Ungejiuliza kwanini Vanessa alikosa tuzo Juzi Mbele ya Yemi Alade, Tatizo la Vanessa Muziki wake hauna uhalisia wa Kiafrica, amekalia kuwaiga wa marekani kila akitoa nyimbo. Ndo maana Yemi Alade atazidi kumshinda kila siku. Ukija kwa Lady Jayde nadhani Twakimu zako ni za kusadikika, yaani Leo Vanessa Amzidi Jide kwa fan base, Ebu kuwa serious kidogo, Jide ni mashine nyingine kabisa, nadhani hata Vanessa anajua hilo na ana Appreciate sana. Jide anapendwa sana aisee, Ukitaka kujua hilo ni Pale alipopiga show yake ya Kwanza mlimani City akiwa anarudi rasmi kwenye game, Tickets bei ilikua Laki 200,000 kwa 50,000/= Three days before ticket zilikua zimeisha, Ukumbi Ulijaa, na hakukua na siti watu walisimama. Kitu ambacho Vanessa Mdee hawezi kuweka kiingilio hicho hata akiweka Elfu 10 watu hawawezi kufika hata nusu ya Jide. Siku nyingine ukileta uzi Kama huu uache Mehemuko. Njoo na Data na Evidence.Japo ni tuzo za Tz.... ilikuwa haina baja ya kusemea hili maana tulilitegemea lakini ukweli lazima uwekwe wazi! Lady Jay De hakustahili kuchukua Tuzo aliyo chukua Jana! Labda jana ilikuwa ni kwa Ajiri ya Wakongwe Tuuu lakini nafikiri hata tukifuatilia upigaji kuraa utaona Vanessa Mdee alikuwa anakura nyingi Tuuu!!!!
Tukiachana na kura Kwa sasa na kwa miaka 2 nyuma wakati lady Jay De alikuwa Nje ya nchi vanessa Mdee ndo amekuwa mtu anae iwakilisha vyema Tanzania Nje ya nchi kwa upande wa Kike hadi kuwa nominated Mara mbili Tuzo za Mtv! Ameshajijengea Mashabaki ndani na Nje ya nchi lakini mwisho wa siku anakosa Tuzo kisa Figisu Figisu!!
Tunaweza kugues why Vanessa Mdee kakosa tuzo lakini sio mahara pake hapa Japo waliotoa Tuzo wanajua ukwelii!! walio ona mchakato wa hizi tuzo waliamua kukaa Mbali!
Lakini kiukweliii Vanessa Mdee Alistahili hii tuzo bila ubishiiiiii.......Hata iwe kwa mchakato wa kuraaa Bado vanessa Ana Fan Base kubwaaa kuliko huyo!!!!
Haya ndo yanayo fanya watu kususia hizo Tuzo! ila Kwangu mimi kwa mwaka Huu Vanessa Mdee ndo the best
Walio shindaWenyewe ni wakina nani hao? Tudokeze kidogo mkuu
Hivi vannesaa katoa wimbo hani mkubwa kwa mwaka huu,niroge au?
Ndi ndi ndi ilkuwa wimbo wa taifa unaoimbwa na watu wa umri,hali na mahali tofauti.
Ndi ndi ndi haikwenda kimataifa sana ila kwa ndani ya nnchi ni kati ya nyimbo tatu bora za mwaka na kwakuwa hizi tuzo ni za ndani na wananchi ndio wanaopiga kura ni haki ya jide kushinda
Vanessa unamlinganisha na Jaydee?kweli mja akipenda chongo huita kengezaJapo ni tuzo za Tz.... ilikuwa haina baja ya kusemea hili maana tulilitegemea lakini ukweli lazima uwekwe wazi! Lady Jay De hakustahili kuchukua Tuzo aliyo chukua Jana! Labda jana ilikuwa ni kwa Ajiri ya Wakongwe Tuuu lakini nafikiri hata tukifuatilia upigaji kuraa utaona Vanessa Mdee alikuwa anakura nyingi Tuuu!!!!
Tukiachana na kura Kwa sasa na kwa miaka 2 nyuma wakati lady Jay De alikuwa Nje ya nchi vanessa Mdee ndo amekuwa mtu anae iwakilisha vyema Tanzania Nje ya nchi kwa upande wa Kike hadi kuwa nominated Mara mbili Tuzo za Mtv! Ameshajijengea Mashabaki ndani na Nje ya nchi lakini mwisho wa siku anakosa Tuzo kisa Figisu Figisu!!
Tunaweza kugues why Vanessa Mdee kakosa tuzo lakini sio mahara pake hapa Japo waliotoa Tuzo wanajua ukwelii!! walio ona mchakato wa hizi tuzo waliamua kukaa Mbali!
Lakini kiukweliii Vanessa Mdee Alistahili hii tuzo bila ubishiiiiii.......Hata iwe kwa mchakato wa kuraaa Bado vanessa Ana Fan Base kubwaaa kuliko huyo!!!!
Haya ndo yanayo fanya watu kususia hizo Tuzo! ila Kwangu mimi kwa mwaka Huu Vanessa Mdee ndo the best