Vanessa Mdee alistahili tuzo ya mwanamziki bora wa kike

Vipi kuhusu MOYO MASHINE vs AJE? Upi unastahili kuwa wimbo bora wa mwaka?
 
Hata aje haikufaa mbele ya moyo mashine
 
Walifikiri kuwa zitakuwa na utofauti na ktma kumbe mambo ndo yale yale, sizan kama mwakani atakuwa na icho kihelehele tena.....wamekomeshwa kabisa
Mkosaji huwa hakosi la kusema... hizo mnaleta stori za sungura na mbivu zilizomzidi uwezo... komando jide jeshi la mtu m1 akipewa support na fans wake.. you can't fight her better join her
 
This time Vanessa kazidiwa hata na Akothee from KENYA. Apunguze U Beyonce
Akothee yule dada yupo vizuri namkubali sana Asee... anajituma sana ukizingatia tayari alikuwa ana pesa kabla hata ya kuanza kuimba anaipenda sanaa si kwa ajili ya kujipatia pesa tu
 
Huna tofauti na wanaosema Magu hakustahili wakati tupo wengine tulimpigia kura kiroho safii kabisa. Mnahisi kura mlizopiaga nyie ndio kila mtu kavote hivyo.
Japo wampenda Vee, ndindindi ya komandoo ndio wimbo bora kwangu kwa mwaku huu, yaani nalipenda sana jisong, hasa pale anapomkabidhi mtu box lake la CD/ DVD ili asepe zake.
 
We upo sawa na mimi
 
nna wasiwasi humu wengine wanatumia ID za ME lakini ni KE
 
Et Vannesa..... Labda wampigie kura hao hao huko Masaki na Obey ambao walaaaa hata tuzo hawakuangalia. Komandoooooooo kanyaga twende!
 
pia Aje ya Alikiba - video bora HAPANA!!!!!!!
haina uzuri wowote!!!
hivi kwanini hawajifunzi kuwa 50% kura 50& majaji?
Tuzo za mchangani za ajabu sana
Hivi ni wewe kweli au kuna mtu kashika simu yako
 
Umenena mkuu huyu jamaa kwa Diamond haambiliki au ni Diamond mwenyewe
sio huyu tu, kuna na wenzake pia wamo humu, hawa wapo katika payroll, yani wao ni kama kitengo cha propaganda cha lumumba kilivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…