Vanessa Mdee huku ni kutuweka majaribuni sasa

Ndio maana mkawa wa ajabu..
Ni kweli ila haswaa Mungu wa ajabu na uumbaji wake hauelezeki na katufanya tuwe wa ajabu, binadamu anatushangaa ila yeye anajua kwanini sisi ni waajabu kupenda kisichopendezwa na wengine.
 
Jf bana kila kitu watu wana nextlevel version yake ,
Ukitaja Harrier mtu anasema huo mkebe...
IST mwingine bora harrier... Vannesa mwingine anasema huyo mbaya mimi bora mars... ungeletwa uzi wa mimi mars mwingine utaskia bora shilole

Jf kituko sana hebu wekeni humu sura za wake zenu na usafiri mnaotumia muone watu watavyokula kona kwenda kuchekea chit chat [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo nalitambua ndio maana nilipingana na mdau hapo juu aliposema hata akilala nae hamgusi
Iko hivyo .. but ina depends kwa baadhi ya watu sometimes ukiwa na manzi mzuri ni rahisi sana kuwaona wale wasio kuwa na mvuto kuwa sio kitu sio lolote .. but ikitokea mka breakup " so ndio huwenda ukajikuta una lala na mwanamke ambaye hakuvutii kutokana na msukumo wa genye tu "

Hii ni kama simba kula majani akosapo nyama

Ila kuna wanaume wengine wao hata akiwa na mwanamke mzuri kiasi gani hilo halimzuii kulala na mwanamke asiye mvutia yeye anachotaka ni ku cum tu basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…