PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Jux naye miaka zaidi ya mitatu yuko naye kashindwa kumfanya huyu bint ateme teme mate.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha kawaida yao hao. Mwanamke controlling ukiachana nae lazma akuchafue tu. Same old shit...just a different day 🤣🤣🤣bado hajamwambia ana kibamia
Sio kila mbunye ya kuipa chalii tuJux naye miaka zaidi ya mitatu yuko naye kashindwa kumfanya huyu bint ateme teme mate.
V pesa alijua jamaa yupo real nae sana na akatumia hio power kumfanya kituko flani hivi, and she thought it was fun kumliza jamaa miezi 8 kumbe ndio amempa strength ya kuishi bila yeye.Roho inamuuma kuona Jux kamove on na kifaa Cha Kithailand..kawa unfollow Hadi familia ya Jux na marafiki zake...
Mpambano wa Gadner na Lady Jay Dee!Mpumbavu anatoaje Siri za ndani, Jux akirudisha si ni mtafutano kitaa.
Halafu ndio ilivyogi, ukiona demu anakuponda baada ya kuachana ujue aliku abuse japo you were the best version to her. Ni kama haamini kama umeondoka kwenye circle yake ya maisha.🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ananikumbusha Jay dee na Gardner.
Jay dee alikua anaongea shit sana hatimae Gardner akachoka akatoa moja tu[emoji3][emoji3]
Kumkojolesha, Jaydee akakimbilia kushtaki kwamba kadhalilishwa
Hook(edited)Dedication... Kuachwa Kuachwa ni shughuli pevu
Hahahah acha tu ila haikuzuii kumtolea mtu povu hasa kwa msanii.Tatizo wanawake wa siku hizi sheria inawalinda sn,wanatetewa sn. Vp nae Jux akitunga story kuwa papuchi yake yai vi...nza....vp hapo!! V-money atulie na aendelee na busara yake tuliyomzoea
Sina la kuongeza POINT .....Kweli huyu dada kaishiwa SERA!!
Ila sio yeye, tatizo ni nature ya kabila lake....always ipo wazi, "wanawake wa KIPARE, wana matatizo....".
NIlikuwa napokea nguo zao wakiwa wanataka mechi bila kusahau nilikuwa na shika mguu wa vulikuwaga unawashikia chupi wakiwa wanabinjuana mkuu?
Kesho tukutane taifaYetu macho tukisubiria wavujishe video zao za chumbani kama wanazo ili kukomoana zaidi.
Sababu ndio michezo yao hiyo siku hizi.
Halafu hakuna mtoto wala ndoaDuh kumbe 6 mkuu???
Wakawaidaaa sanaa japo Ve money kazinguaHook(edited)
Mbaya zaidi kwa yule uliempendaaaa...
Wewe uko singleee, yeye ana demuu..
Pini sanaa...Pini sanaa 🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahahaaa umenikumbusha kitu nilicho kisoma siku 3 zilizopitaKwa hiyo sisi ambao hatuna vifua ndo inasadikika hatupo vizuri
Angekuja kwangu nimpe staili ya idondokee dirishani aipate fresh yake
Uongoooohhhhhh nakataa napingana na vanesa sio kweli jux fundi sanaaAkihojiwa EATV vanessa mdee amedai licha ya kuwa na kifua kikubwa bwana Jux kitandani alikua kama gogo.
Uzi tayari.
jux kafanya jambo zuri snaV pesa alijua jamaa yupo real nae sana na akatumia hio power kumfanya kituko flani hivi, and she thought it was fun kumliza jamaa miezi 8 kumbe ndio amempa strength ya kuishi bila yeye.
Awamu ya pili kazingua yeye sasa akapewa chai ati anaiona yamoto kweli 🤣🤣🤣 na atalia sana ***** kutoka bongo mpaka Thailand!!! Kazi nzuri sana baharia Jux