Vanessa Mdee katika skendo kubwa ya kutumia madawa ya kulevya (Heroin)

kuvuta watavuta sana kubeba ni ngumu mana maisha ya mapunda huwa mazuri....cz nw bei ya trip itakua imepanda maradufu cku hizi wengi wamehamia kupeleka methadone sauzi hongkon n macau kuingia n mzigo ni ngumu

Haha nimekuvulia kofia mkuu ,una info nyingi sana za ishu tofauti tofauti
 
Huyu dada nilikuwa namuona anajielewa sana..I wish hii taarifa iwe ya uongo

Mkuu hii inaweza kuwa siyo kweli, ila nilivyoona ameanza kujihusisha na Jux niliona kama anapotea!
 
Hii taarifa ni ya uongo. Vanesa anajielewa kupita watu wanavyojua

Huyo dada anabwia siku hizi. akizubaa hata endorsed deal zake zitakufa maana reputable company itafanya kazi na teja.
 


We umezipata wap Hizi Habari
Tupe Chanzo
 
Kama amefikia hiyo hatua nampa pole sana.
 
Naomba tu iwe ndoto ya mchana kweupe,VeeMoney - We Love U
 
Hii habari inaonekana imemuuma sana v.money,maana kaona apost instagram hii thread!hivi kumbe hawa macelebrities huwaga wanatembeleaga hapa jf ee,cpati picha wanavojickiaga,maana vichambo vya humu si haba,vimeshiba haswaa na kuna wataalamu walobobea katika kutiatia chumvi na kukazia newz...mmmh,c mchezo!
 
kwani hana akili????? kwani n mtoto mdogo???????? atajibeba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…