Vanessa Mdee katika skendo kubwa ya kutumia madawa ya kulevya (Heroin)

Je, unajua kama mpenzi wake ni dealer kwenye hiyo biashara?

Mkuu ukiwa unauza sigara kuna baadhi ya wateja watakwambia niwashie.

Labda anakuwaga kwenye kitengo cha kutest ubora!
Kwann hamumtaji hyo mnayesema ni rafiki yake wa kiume kama ni mtanzania atumbuliwe jipu kabla halijawa chungu kwa hyu binti?
 
Kwa wataalam huo mwili wa v.money jinsi ulivo anatumia powder kabisaaaa. Hakuna kificho hapo ... lakini naskia hata yule jamaa pale yanga naye pia.
 
Misemo imepitwa na wakati hiyo, "lisemwalo lipo"???? inamaana kukiwa na uzushi negative juu yako eg. ushoga hata kama in uongo, kwasababu tu "limesemwa" lipo???

Misemo au msemo....! Anyways hakuna msemo uliopitwa na wakati, au labda nikuabaliane na hoja yako halafu nikutwange swali. Je kabla haijapitwa na wakati hiyo misemo ilikuwa ukisemwa kuwa shoga unakuwa shoga hata kama sio kweli? Hope nitaeleweka.
 
From Adam to Jesus, Muhammad, hakuna Mtume wa Mungu amewahi kuimba muziki.
Hata wanawake wema akina Maria /Mariam etc.

Kuimba ni matendo ya kishetani, that's why it makes you HI, kama ngada tu.

Ndo maana ni addictive, kadri unavyopenda music ndivyo unavyochizika, unavyozidi kuwa HI na unavyozidi kuwa addictive na ndivyo unavyozidi kutekwa na shetani.

Ndivyo unavyozidi kukosa maana ya maisha, kupata depression na unahisi ujaribu kila kitu kutapatapa kufikia maana halisi ya maisha.

Asilimia zaidi ya 90 ya wanamuziki duniani wanatumia dawa kali za usingizi, za depression, vinywaji vikali sana au ngada na au majani ku keep the highness of music effects.

Wanawake ni watembea uchi, lesbians, wanaume mashoga etc hawastahiki kuwa role models wa jamii. Sio asili ya binadam kuonesha uchi mbele ya kadamnasi, ukifanya hivyo lazima utawehuka.

Kwangu mimi, music sio talent, ni upuuzi tu, ndo maana sasa hivi kila mjinga alokosa maarifa anafanya Lip syncing ya pre recorded sound tracks anaitwa mwanamuziki, na wehu wanajaa kushangilia.

Not coincidence kwamba majority ya musicians destine to a similar fate.
 
Kama in kwel naomba USTOP MARA MOJA,kwani nimeanza kukufatilia tangu huko kule radio had Sasa umekuwa mwanamuzik MKUBWA ,kama wanakupakazia mwachie Mungu jua ustar ndivyo ulivyo
 
Niko nae hapa. Anapinga vikali shutuma hizo
Ukweli au uongo wa JF huwa unajidhihirisha ikipita miaka kama miwili, kuna issues nyingi huwa zinaongewa JF zinachukuliwa kama udaku lakini mwisho wa siku ukweli unakuja kujulikana, Kina Ngwea, Langa, Mabovu ni mifano yao, thread zao zilikuwepo humu kabla hayajawakuta
 
hii issue niliambiwa na ex addict mmoja akaniambia kwamba huyu demu huwa anajitetea eti anatumia wakati akiwa analala..very sad
Jamani Jamani. Daaah! Inasikitisha sana kwakweli
 
Hivi kinachofanya mapouda yapendwe sana na hawa wasanii pamoja na kuona mifano ya wenzao waliopata majanga ni kipi hasa? Ni matamu sana ee? Ngoja namie nitest lol
 
nimesikiliza interview yake jana na millard, naona hata sauti imeanza kuharibika, jambo hili laweza kuwa na ukweli fulani
 
Kama hili ni kweli basi atapotea ndani ya muda mfupi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…