Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
ile sauti inatia mashakaYule msanii nyota anayejitahidi kujimarket kimataifa, Vanessa Mdee amedaiwa kujitumbukiza katika matumizi ya madawa ya kulevya aina ya Heroin.
Vanessa anadaiwa kuanza kusniff baada ya kujiingiza katika mahusiano ya kimapenzi na msanii mwenzake (jina kapuni) anayedaiwa kujihusisha na kuuza madawa hayo nchini China.
Hili wimbi la wasanii kujitumbukiza katika kujidunga madawa ya kulevya linaonekana kushika kasi sana nchini Tanzania huku sababu haswa ikikosekana.
OMG !! Ndg. umenishtua na kunipa hofu kubwa ..Very Sad !! TZ imefikia hapo !! Turudi kwa Mungu "fear God"Hali ya maisha mitaani katika mikoa mingi Tanzania ni mbaya sana!! Maadili yanashuka kwa kasi ya ajabu, wimbi la vijana mashoga sasa ni kama kimbunga, jamii inateketea mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 5 sasa anamjua mwanaume!! Binadamu now wanakula Unga kama nyoka tena hadharani mno (ndani ya club flani Dar nimeshuhudia watu wananusa meza) bila uwoga!Tunakoenda ni kubaya mno nadhani hata kuzimu ni pazuri!
Hawa wasanii ndio "ma-role model" wa mabinti zetu na vijana wetu hivyo kwa kiasi kikubwa ni lazima watacopy mengi tu (hata kama sio yote). Na siku hizi watu wazima wengi nao wanajifanya watoto wanaume kwa wanawake!! Inaogopesha mno!
Hahaha kabindizi upo.Candle in the wind.... Ataondoka angali kinda
Kwa ile statement yake ya instagram ni wazi huyo betina ni nyoka,atakuwa kaingizwa mkenge na msomi asiyegraduate huko china.nimesikiliza interview yake jana na millard, naona hata sauti imeanza kuharibika, jambo hili laweza kuwa na ukweli fulani
achana na misemo ya kwenye makaratasi,umemuona msanii gani akiwa role model?Hali ya maisha mitaani katika mikoa mingi Tanzania ni mbaya sana!! Maadili yanashuka kwa kasi ya ajabu, wimbi la vijana mashoga sasa ni kama kimbunga, jamii inateketea mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 5 sasa anamjua mwanaume!! Binadamu now wanakula Unga kama nyoka tena hadharani mno (ndani ya club flani Dar nimeshuhudia watu wananusa meza) bila uwoga!Tunakoenda ni kubaya mno nadhani hata kuzimu ni pazuri!
Hawa wasanii ndio "ma-role model" wa mabinti zetu na vijana wetu hivyo kwa kiasi kikubwa ni lazima watacopy mengi tu (hata kama sio yote). Na siku hizi watu wazima wengi nao wanajifanya watoto wanaume kwa wanawake!! Inaogopesha mno!
Kwani kidingi nawe unatumia??Hakuna kitu kama hicho, Vanessa hatumii...
Mkuu cjakuelewa hapoJux mbons hata nikki mbishi alishabaga
Sijui kaandika nini huyu? mweeeJux mbons hata nikki mbishi alishabaga
freemanson kazini?Yule msanii nyota anayejitahidi kujimarket kimataifa, Vanessa Mdee amedaiwa kujitumbukiza katika matumizi ya madawa ya kulevya aina ya Heroin.
Vanessa anadaiwa kuanza kusniff baada ya kujiingiza katika mahusiano ya kimapenzi na msanii mwenzake (jina kapuni) anayedaiwa kujihusisha na kuuza madawa hayo nchini China.
Hili wimbi la wasanii kujitumbukiza katika kujidunga madawa ya kulevya linaonekana kushika kasi sana nchini Tanzania huku sababu haswa ikikosekana.
Tupieni na kapicha basi wakuuDuuu hadi huyu mwimba kwaya wa zamani pale st pater na Demu wa zamani wa hashim thabeet???
achana na misemo ya kwenye makaratasi,umemuona msanii gani akiwa role model?
OMG !! Ndg. umenishtua na kunipa hofu kubwa ..Very Sad !! TZ imefikia hapo !! Turudi kwa Mungu "fear God"
Haa si yule mwenye style za luckydube? Mi nilijua ganja tuu!Daah hili n tatzo la kitaifa aisee kuna na yule mwanamuzk Wa gospel naye nackia anabwia nae