Kwanza hongera kwa nyimbo yako mpya never ever ni nzuri, hata video yako ina quality nzuri ila nimepata ukakasi kidogo na mavazi vile vichupi mle ndani tena vimeloana na maji naona si sawa, hasa kwa watoto wadogo wanaotazama.
Labda kama ulilenga watu wazima pekee. Ingekuwa Kenya isingeruhusiwa kwenye Tv zake.
=============
Kwanini wanakopy majina ya nyimbo za mbele
Never Ever - Ciara
Oooh Na Na -- Treyz
Oo Nana - Diamond
Koma kuandika pumba by the way sio bwana mdogo mimi
Ni mtoto wa Hadija Kopa!
Marytina!!!!???
kiba lazima avune alichopanda subiri kill music awards ndio ujue alitukasirisha kumpigia debe magufuli
diamond ni ccm na hilo liko wazi ila kiba ambaye alionesha ni mtu wa watu, na watu ni ukawa mwishoe akaenda kwa magufuli....plz namchukia diamond ila kiba staki hat kumwona
ikianza kili music award nitamkosesha kiba zaidi ya kura mia sita...nitaishawishi jumuiya yangu kuachana na KIBA KWA USALITI WAKE
Mi ctaki hata kumwona watu ka kina domo mziki umewanufaisha sana sasa ni hela gani ambazo haendelei tena yeye wa kitambo. Ingekuwa wanapewa mamilion umaskini ungewaisha wasanii wote.
Kuna watu watasema kila mtu ana uamuzi wake na Uhuru ila this time consequences wataipata
Diva msamehe dada.
Nimemsamehe bure huyu gamba mana ana stress za uchaguzi
Babu wewe acha kunizeesha mie
haaah kibakuli hamna kitu n nakuapia haji pata tuzo yule chaliiWImbo huu ni mbovu hatari, uthungu mwingi, eti anatangaza Tanzania shame shame, heri hata snura au shilole, huyu wanambeba tu, mi jana nimepatwa na hasira eti kamebeba Afrimma,
Mwanamziki ni KingKiba tu. Na wimbo bora ni #Nagharamia tu
Vanessa ndo nani ???
Kama wazazi wake wangeoneshwa hiki anachofanya leo wasingemzaaa, maana kiukweli anawaaibisha na kumuaibisha yule aliemuumba
Kajiacha uchi mno kiukweli mbona ni mzuri hakukua na haja ya kukaa nusu uchi otherwise angeuweka ni age ipi waiangalie hyo video