Vannesa Mdee: Sipendi kupika

Vannesa Mdee: Sipendi kupika

Where are those harsh words coming from?, Excuse me Kido try to behave yourself, And Let me remind you, Vannesa she is a Tanzanian woman no matter what kind of life she used to live or whoever she is trying cope with.

Bro, You are soo yesterday and old fashioned like i have never thought, So if someone is living a Good Life, Travelling world wide and living in USA you are already whiteman/woman? What kind of silly thought?.

Dont let your Phucking life being manipulated by white people, we have our own way of life, Trying to live or act like Beyonce or chris brown is extremely non sense, and that Idiot vannesa of yours she is nothing but a looser.

Is vannessa a good example for you to compare with people who have enjoyed and still enjoying life to the fullest?

dictionary pleaaaaaaase...!
 
Kwani Vannesa Mdee ndo nani jamani??????
Au ni mdogo wake na Mheshimiwa Halima Mdee???????
Tuwekeeni picha tumuone huyo ambaye hajui kupika maana ushingae kesho akiviambia vyombo vya habari kwamba Haendagi Chooni maana duuuuuh.
 
Kwani Vannesa Mdee ndo nani jamani??????
Au ni mdogo wake na Mheshimiwa Halima Mdee???????
Tuwekeeni picha tumuone huyo ambaye hajui kupika maana ushingae kesho akiviambia vyombo vya habari kwamba Haendagi Chooni maana duuuuuh.

Yupo mluga mluga mmoja hivi kawaida thanaaaaaaa
 
Kwani Vannesa Mdee ndo nani jamani??????
Au ni mdogo wake na Mheshimiwa Halima Mdee???????
Tuwekeeni picha tumuone huyo ambaye hajui kupika maana ushingae kesho akiviambia vyombo vya habari kwamba Haendagi Chooni maana duuuuuh.

Nimekupenda buree binamu, vannesa ni cheusi dawa mmoja ivi tu hana shughuli apa mjini , siku izi nasikia mwanamizik,mara mtangazajazi mara MC ***** maisha yashampiga atahangaika sana mwak huu, nasikia ni jiran na akina Dinazarde kule mwanza
 
Last edited by a moderator:
Nimekupenda buree binamu, vannesa ni cheusi dawa mmoja ivi tu hana shughuli apa mjini , siku izi nasikia mwanamizik,mara mtangazajazi mara MC ***** maisha yashampiga atahangaika sana mwak huu, nasikia ni jiran na akina Dinazarde kule mwanza

Aanze tu kuigizaas mzikii haulipiiu kihivyoooo
 
Last edited by a moderator:
Milard ni mtoto wa ordinary people but he is catching up.. Anabadilika ana adabu kwa watu anachapa kazi sana na ni God fearing person. In fact he is gentleman.. Kwa hiyo issue ya vanessa kutokupenda kupika haliwezi kumnyima usingizi milard. Kama kuna mtu hatamuoa vanessa kisa hapendi kupika mamantilie wapo wengi asimng'ang'anize vee mtoto wa kishua.


Si ajabu kusikia akili hii imepita chuo kikuu na kichwa kinamiliki degree...

Nyie nyie ndo tunawasikia mkipiga siasa ati mwataka uongozi...

kwa akili hii na uchambuzi huu Kama ndo hazina ya TZ inasafari ndefu
 
Basi baada ya kujibu akaona ametoa mpya mwenyewe. . Amechemsha kwa kweli. Nampatia picha na zile kaptula zake za maskio
 
Back
Top Bottom