Vannesa Mdee: Sipendi kupika

Vannesa Mdee: Sipendi kupika

Kwaio ni ishu ya ujiko yeye kujifanya afagilii mambo ya jikoni?? ndio ukishua huo?

Najaribu kusoma comments za wanajamvi nmegundua tunamjudge vanessa kwa kutumia framework za maisha yetu...wengi wetu tumezaliwa kwenye vijiji vya ujamaa huko nyamisati tunamponda vanesa ambae kazaliwa njiro akasoma kiwanja akarudi akaenda kuish south... In short alichosema vanessa hata mabinti wengi ulaya huwa wanakisema.. The gel is just blak bt ni mzungu. Hebu tukubali vanessa hata st kayumba hajui ni nini.
 
unamanisha nn mkuu..mtoto wa watu au.....

Milard ni mtoto wa ordinary people but he is catching up.. Anabadilika ana adabu kwa watu anachapa kazi sana na ni God fearing person. In fact he is gentleman.. Kwa hiyo issue ya vanessa kutokupenda kupika haliwezi kumnyima usingizi milard. Kama kuna mtu hatamuoa vanessa kisa hapendi kupika mamantilie wapo wengi asimng'ang'anize vee mtoto wa kishua.
 
Najaribu kusoma comments za wanajamvi nmegundua tunamjudge vanessa kwa kutumia framework za maisha yetu...wengi wetu tumezaliwa kwenye vijiji vya ujamaa huko nyamisati tunamponda vanesa ambae kazaliwa njiro akasoma kiwanja akarudi akaenda kuish south... In short alichosema vanessa hata mabinti wengi ulaya huwa wanakisema.. The gel is just blak bt ni mzungu. Hebu tukubali vanessa hata st kayumba hajui ni nini.

kumbe na wewe kichwani bure kabisa, shake well before use.

what is special ukiishi ulaya? unawaona wale wacheza soka wa ulaya wakirudi afrika wanakuwa na hayo mashauzi? wale wanapokea zaidi ya millioni 200 kwa wiki sembuse huyu ushuzi?
 
kumbe na wewe kichwani bure kabisa, shake well before use.

what is special ukiishi ulaya? unawaona wale wacheza soka wa ulaya wakirudi afrika wanakuwa na hayo mashauzi? wale wanapokea zaidi ya millioni 200 kwa wiki sembuse huyu ushuzi?

Nitajie mchezaji ambae akirud kutoka ulaya anakuja kupika.. Acha upuuzi wewe..
 
Mwanamke wajisifu hupendi kupika!!!? Nahisi hata kuiosha ni hivyo hivyo kiuvivu!

Yo a hook girl!
 
kumbe na wewe kichwani bure kabisa, shake well before use.

what is special ukiishi ulaya? unawaona wale wacheza soka wa ulaya wakirudi afrika wanakuwa na hayo mashauzi? wale wanapokea zaidi ya millioni 200 kwa wiki sembuse huyu ushuzi?

Ha ha ha ha ha.....


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Nakula pia naona hajui ndio maana figure 1 Oprah millionea anapika kwa kuwa mwanamke
 
Nakula pia naona hajui ndio maana figure 1 Oprah millionea anapika kwa kuwa mwanamke

ImageUploadedByJamiiForums1404771876.976566.jpg
 
kumbe na wewe kichwani bure kabisa, shake well before use.

what is special ukiishi ulaya? unawaona wale wacheza soka wa ulaya wakirudi afrika wanakuwa na hayo mashauzi? wale wanapokea zaidi ya millioni 200 kwa wiki sembuse huyu ushuzi?


asanteeeee
 
Akiwa anahojiwa na jarida moja la huko
nchini Kenya Vanessa Mdee, afunguka mengi
ambayo
hajawahi kuyasema sehemu nyingine yeyote ile,
na kwa wengi wanaomfahamu mkali huyu wa
anayezidi
ku make headlines na single yake ya
“hawajui”, watabaki midomo wazi kwa vile
ambavyo walikuwa
hawavijui kabisa kuhusu mwanamuziki huyu
kutoka Tzee. Moja ya mambo ambayo vanessa
huwa hafanyi kabisa mbali na kuwa
mwanamuziki, mtangazaji na mwanaharakati ni
kupika, Vanessa alifunguka na
kusema hata akiwa nyumbani kwake ishu nzima
ya kupika haimjii akili kabisa. Tofauti na
wanawake
wengi wa afrika, hii ishu ni moja kati ya
vitu vilivyotokea kuwashangaza wapenzi wengi
na wadau wanao mzimia Vanessa. Siku alipotoa
hit single yake ya “hawajui”, Hii ni moja ya
single aliyoitoa kwa watu ambao
walikuwa hawamkubali hasa baada ya maneno
yao kuzidi kusema kuwa Vanessa hakustahili
tuzo ya
Kilimanjaro Music Awards aliyoipokea na
wengine kusema hakuwa tayari kupokea tuzo
hiyo, jambo hili
lilimhuzunisha sana Vanessa, hii
ilimsukuma vanessa kuandika kuhusu watu wale
ambao walikuwa awamkubali(Haters), na kutoa
kitu hiki kinachozidi ku-make headlines kila
siku. Vanessa
alifunguka na kusema kuwa umaarufu kama
wake unakuja na faida zake mbali na kuwa
na vikwazo vingi katika kazi, moja ya faida zake
ni kuwa huwa mara nyingi hapangi foleni
anapoenda mahali, alizidi kufunguka na kusema
siku moja aliwahi kushikwa na polisi barabarani
kwa kutofunga mkanda akiwa anaendesha, polisi
alivyofika pale Vanessa aka-smile tu na
kumuomba msamaha na officer yule akabidi
amuachie tu. mbali na kufunguka kote huko
Vanessa anasisitiza
kuwa ni vizuri kwa mtu wa kutokata tamaa katika
ndoto zako.


kupika chakula hawezi ila kupika majungu nambari moko...
 
mpuuzi mkubwa ni wewe visenti vya zitto kabwe huvipati tena sasa umegeuka kuwadi wa manyani, kwa akili hizi wazungu wakiwapa ndizi msiwe mnashangaa, Queen Elizabeth herself anapika huyu sembuse huyu gorilla?

Weweee stop bringing the problems of 90's to 2 thou. Hebi nitajie ni lini ulimuona malkia elizabeth akipika... Hizi stori za vijiweni mnatuletea...acha mawazo mgando wewe hata ukienda hapo misri tu.. Wanawake huwa sio kazi yao kupika. Mnakariri
 
Back
Top Bottom