VAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana

wamepewa magoli mangap na var? na wapinzani wa liver wamenyimwa magoli mangap na var?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini pia mbona Mane alikataliwa goli lake na Watford kama sikosei.
 
Kama hawajakuelewa basi wana vichwa vigumu
 
VAR imekuwa ikifanya maamuzi ya kisenge tu, nadhani waamuzi wanao review wasingeshiriki kufanya maamuzi. Wamuache refa wa kati atazame mwenyewe na kuamua. Lengo sio hizi offside za vipimo vya maabara.

Bora hata spain wanajitahid kuitumia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wamepewa magoli mangap na var? na wapinzani wa liver wamenyimwa magoli mangap na var?

Sent using Jamii Forums mobile app
VAR sio kwa ajili ya kuruhusu magoli au kukataa magoli peke yake, VAR ni kwa ajili ya kusaidia referee kufanya maamuzi pale panapo onekana kuwa na utata katika tukio lolote kwenye mpira. Utata unapo kuja mfano game ya man city TAA alishika mpira ndan ya box na man city walionekana kuomba usaidizi kwa referee lakini referee hata kusimamisha mpira ili akajiridhishe na maamuzi yaliyo fanyika hataki na anakuambia kanyaga twende[emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…