VAR kutumika kwenye mchezo wa CAFCC kati ya Simba SC dhidi ya Orlando Pirates Uwanja wa Benjamin Mkapa

VAR kutumika kwenye mchezo wa CAFCC kati ya Simba SC dhidi ya Orlando Pirates Uwanja wa Benjamin Mkapa

Haya ndo mambo tunayataka kutoka CAF.

Asante Simba SC kwa kuwa Klabu ya Kwanza Tanzania kucheza huku mfumo wa VAR ukitumika.

Tukisema Next Level tunamaanisha hivyo yaani.
Nakazia📌📌📌
 
CAF wameona kwa hapa Bongo kwenye mechi za kimataifa VAR waanze na Simba alafu wengine watajijua.
Siyo kuanza na Simba bali mechi zote za CAFCL na CAFCC kuanzia robo fainali hii VAR itatumika.

Mbona andiko linasomeka vizuri Sana? Ila si kosa lako wewe Ni utopolo, na Hakuna utopolo mwenye Akili.
 
Siyo kuanza na Simba bali mechi zote za CAFCL na CAFCC kuanzia robo fainali hii VAR itatumika.

Mbona andiko linasomeka vizuri Sana? Ila si kosa lako wewe Ni utopolo, na Hakuna utopolo mwenye Akili.
Hujaelewa nini na wewe! Huyo ni Msimbazi na kasema kwa hapa Bongo wanaanza na Simba..
 
Safi sana,

Sisi mashabiki wa Msimbazi tunawaomba CAF waiache hiyo mashine hadi game yetu na mzee wa kuandaliwa ubingwa wa Mchongo kwa maelekezo kutoka TFF upite kwanza ili tumpate mbabe wa kweli.

Naamini Simba tutaiandikia CAF barua kuomba kibali cha kuitumia hiyo mashine siku ya mechi yetu.
 
Kuelekea kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAFCC) kati ya Simba SC dhidi ya Orlando Pirates ambao unatarajiwa kupigwa April 17, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, waamuzi watatumia msaada wa video (Video Assistant Referee-VAR) ili kuhakikisha maamuzi yanafanyika kwa usahihi.

Tayari orodha ya waamuzi wa mchezo huo imeshajulikana sambamba na wale watakao ongoza VAR.

1. Referee: Hythem Guirat (Tunisia)
2. Assistant Referee 1: Khalil Hassan (Tunisia)
3. Assistant Referee 2: Samuel Pwatudakam (Nigeria)
4. Fourth Official: Sadom Selmi (Tunisia)
5. Video Assistant Referee VAR 1: Ahmed Elghandaur (Misri) 2: Youssef Wahid Youssef ( Misri)

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), tayari limetoa taarifa kwa kila ambaye anahusika na mchezo huo ikiwa pamoja na vilabu juu ya uwepo wa matumizi ya VAR kwenye mchezo huo.

VAR itatumika kwenye mechi zote za timu zilizofuzu hatua ya Robo Fainali ya michuano ya CAF.
View attachment 2180121
Wamchunge Mzee wa Kitochi aka Mwina Kaduguda asije akaiiba.
 
simba na VAR mmhhhh, sasa mambo hadharani wakapambane na hali yao
 
Soma hapa
IMG_20220408_134428.jpg
 
Kuelekea kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAFCC) kati ya Simba SC dhidi ya Orlando Pirates ambao unatarajiwa kupigwa April 17, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, waamuzi watatumia msaada wa video (Video Assistant Referee-VAR) ili kuhakikisha maamuzi yanafanyika kwa usahihi.

Tayari orodha ya waamuzi wa mchezo huo imeshajulikana sambamba na wale watakao ongoza VAR.

1. Referee: Hythem Guirat (Tunisia)
2. Assistant Referee 1: Khalil Hassan (Tunisia)
3. Assistant Referee 2: Samuel Pwatudakam (Nigeria)
4. Fourth Official: Sadom Selmi (Tunisia)
5. Video Assistant Referee VAR 1: Ahmed Elghandaur (Misri) 2: Youssef Wahid Youssef ( Misri)

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), tayari limetoa taarifa kwa kila ambaye anahusika na mchezo huo ikiwa pamoja na vilabu juu ya uwepo wa matumizi ya VAR kwenye mchezo huo.

VAR itatumika kwenye mechi zote za timu zilizofuzu hatua ya Robo Fainali ya michuano ya CAF.
View attachment 2180121

Mkuu Ghazwat Salam. Unaweza kuweka Source ya hii habari tafadhali? Je kazi ya kuandaa miundombinu kwa ajili ya VAR itagharimiwa na nani?

Ahsante
 
Mazingira yote simba atashinda, walikuwa wanasema ikija VAR Simba hawezi shinda

Sasa wajionee pamoja na hiyo VAR mnyama anamchapa mtu goli 3 note my words
 
Back
Top Bottom