This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Katika mechi zote za kimataifa msimu huu , simba alipata penati ngapi?.Zile penalty anazopataga kwa kujidondosha kwenye box ndio basi tena! Sakho na Morrison wana tabia hiyo VAR itawaumbua kwa kweli!
Nakazia📌📌📌Haya ndo mambo tunayataka kutoka CAF.
Asante Simba SC kwa kuwa Klabu ya Kwanza Tanzania kucheza huku mfumo wa VAR ukitumika.
Tukisema Next Level tunamaanisha hivyo yaani.
CAF wameona kwa hapa Bongo kwenye mechi za kimataifa VAR waanze na Simba alafu wengine watajijua.
Siyo kuanza na Simba bali mechi zote za CAFCL na CAFCC kuanzia robo fainali hii VAR itatumika.CAF wameona kwa hapa Bongo kwenye mechi za kimataifa VAR waanze na Simba alafu wengine watajijua.
Hujaelewa nini na wewe! Huyo ni Msimbazi na kasema kwa hapa Bongo wanaanza na Simba..Siyo kuanza na Simba bali mechi zote za CAFCL na CAFCC kuanzia robo fainali hii VAR itatumika.
Mbona andiko linasomeka vizuri Sana? Ila si kosa lako wewe Ni utopolo, na Hakuna utopolo mwenye Akili.
Kwani Azam ndiye official broadcasting wa Caf champions league na confederation cup?
Wamchunge Mzee wa Kitochi aka Mwina Kaduguda asije akaiiba.Kuelekea kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAFCC) kati ya Simba SC dhidi ya Orlando Pirates ambao unatarajiwa kupigwa April 17, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, waamuzi watatumia msaada wa video (Video Assistant Referee-VAR) ili kuhakikisha maamuzi yanafanyika kwa usahihi.
Tayari orodha ya waamuzi wa mchezo huo imeshajulikana sambamba na wale watakao ongoza VAR.
1. Referee: Hythem Guirat (Tunisia)
2. Assistant Referee 1: Khalil Hassan (Tunisia)
3. Assistant Referee 2: Samuel Pwatudakam (Nigeria)
4. Fourth Official: Sadom Selmi (Tunisia)
5. Video Assistant Referee VAR 1: Ahmed Elghandaur (Misri) 2: Youssef Wahid Youssef ( Misri)
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), tayari limetoa taarifa kwa kila ambaye anahusika na mchezo huo ikiwa pamoja na vilabu juu ya uwepo wa matumizi ya VAR kwenye mchezo huo.
VAR itatumika kwenye mechi zote za timu zilizofuzu hatua ya Robo Fainali ya michuano ya CAF.
View attachment 2180121
Soma hapa
Kuelekea kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAFCC) kati ya Simba SC dhidi ya Orlando Pirates ambao unatarajiwa kupigwa April 17, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, waamuzi watatumia msaada wa video (Video Assistant Referee-VAR) ili kuhakikisha maamuzi yanafanyika kwa usahihi.
Tayari orodha ya waamuzi wa mchezo huo imeshajulikana sambamba na wale watakao ongoza VAR.
1. Referee: Hythem Guirat (Tunisia)
2. Assistant Referee 1: Khalil Hassan (Tunisia)
3. Assistant Referee 2: Samuel Pwatudakam (Nigeria)
4. Fourth Official: Sadom Selmi (Tunisia)
5. Video Assistant Referee VAR 1: Ahmed Elghandaur (Misri) 2: Youssef Wahid Youssef ( Misri)
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), tayari limetoa taarifa kwa kila ambaye anahusika na mchezo huo ikiwa pamoja na vilabu juu ya uwepo wa matumizi ya VAR kwenye mchezo huo.
VAR itatumika kwenye mechi zote za timu zilizofuzu hatua ya Robo Fainali ya michuano ya CAF.
View attachment 2180121
Sio Tz tu bali East na Central AfrikaHaya ndo mambo tunayataka kutoka CAF.
Asante Simba SC kwa kuwa Klabu ya Kwanza Tanzania kucheza huku mfumo wa VAR ukitumika.
Tukisema Next Level tunamaanisha hivyo yaani.
Yanga hawana akiliKwani Azam ndiye official broadcasting wa Caf champions league na confederation cup?
Ngoja hiyo siku ifike! Badala ya kucheza mpira ili mpate matokeo, mtakuwa mnaishangaa tu ndani ya dk zote 90.Hivi kweli Yanga wanajua var ni nini