Ushakushuru mpishi kuwawekea sumu mwafwa wala hamtoboiHaya ndo mambo tunayataka kutoka CAF.
Asante Simba SC kwa kuwa Klabu ya Kwanza Tanzania kucheza huku mfumo wa VAR ukitumika.
Tukisema Next Level tunamaanisha hivyo yaani.
imesikika mara nyingi simba wanabebwa japo wakishinda kihalali na sasa watapeta kilahaliSielewi kinachoshangiliwa humu yaani kutumika kwa VAR iweje iwe advantage kwa Simba?
OKYes, hata Uzi umesema kwenye michuano ya CAF, yaani CAFCC Kombe la Shirikisho Barani Afrika na CAFCL Klabu Bingwa Afrika.
Mkuu Mzalendo_Mkweli usisumbuke soma hii taarifa kutoka Shirikisho la Soka Tanzania TFFMkuu Ghazwat Salam. Unaweza kuweka Source ya hii habari tafadhali? Je kazi ya kuandaa miundombinu kwa ajili ya VAR itagharimiwa na nani?
Ahsante
Msisahau kwenda airport kuwapokea wageni maana huo ndio ujanja.
Hata mimi nashangaa, ushabiki wa mpira wa bongo unashangaza sana mkuu,...Sielewi kinachoshangiliwa humu yaani kutumika kwa VAR iweje iwe advantage kwa Simba?
Hata waamuzi hawatoki nchi zilizo jirani na Tanzania kama ilivyozoeleka.Haya sasa janja-janja ya makolo kwisha.
Unadhani Rage alikuwa amelewa?Sielewi kinachoshangiliwa humu yaani kutumika kwa VAR iweje iwe advantage kwa Simba?
Tunamshukuru Rais Magufuli (Jemedari wa Afrika) kwa kutuletea VAR Tanzania. Iliiagiza CAF hii kabla hajaondoka sema ilichelewa tu kidogo.Tunaishukuru sana Simba kwa kutuletea VAR.
Nakumbuka Mwigulu aliposema serekali italeta VAR makolo na mlinzi wao TFF ndio walishinda mitandaoni wakipinga.Haya ndo mambo tunayataka kutoka CAF.
Asante Simba SC kwa kuwa Klabu ya Kwanza Tanzania kucheza huku mfumo wa VAR ukitumika.
Tukisema Next Level tunamaanisha hivyo yaani.
Sio kweli.Tunamshukuru Rais Magufuli (Jemedari wa Afrika) kwa kutuletea VAR Tanzania. Iliiagiza CAF hii kabla hajaondoka sema ilichelewa tu kidogo.
Wamekosea sana. VAR haikuhitajika. Walihitajika walinzi wakulinda marefa na vyumba vya kubadilishia. Vikaguliwe kabla wageni hawajaingia na walinde kolo yeyote asisogelee eneo hilo.CAF wameona kwa hapa Bongo kwenye mechi za kimataifa VAR waanze na Simba alafu wengine watajijua.