VAT itaua makampuni mengi ya mikoani, TRA angalieni hili

VAT itaua makampuni mengi ya mikoani, TRA angalieni hili

Mkuu. Mfumo uko sawa. Tatizo hutaki kuajiri wataalam wakusaidie kwenye maswala ya uhasibu na kodi.
Tafuta
Finance Manager mwenye CPA
Pia uchumi unaruhusu ajiri mtu aliyesomea mambo ya Tax management.
Wataalam wako kibao ila ndio hampendi kuwatumia.
Sisi tumeajiri kampuni ya accountancy tena kubwa kabisa kushughulikia kampuni yetu. Wao ndio wametuambia kwa mfumo huu wa sasa hakuna ujanja.

Kama huna receipts za VAT huwezi kufanya lolote. Ni kama ujambazi vile. Solution ufanye mauzo bila VAT. Sisi biashara yetu kubwa ni mashirika lazima utoe Receipts.
 
Sisi tumeajiri kampuni ya accountancy tena kubwa kabisa kushughulikia kampuni yetu. Wao ndio wametuambia kwa mfumo huu wa sasa hakuna ujanja.

Kama huna receipts za VAT huwezi kufanya lolote. Ni kama ujambazi vile. Solution ufanye mauzo bila VAT. Sisi biashara yetu kubwa ni mashirika lazima utoe Receipts.
Mkuu, gharama zenu za mauzo(Cost of sales) tenda wape wenye VAT ili wakupe risiti uwe na claims la sivyo imekula kwenu.
In short kama wewe ni VAT kamwe usinunue mzigo kwa asiye na VAT. Ukifanya hivyo inamaana wewe ni mtumiaji wa mwisho na mtumiaji wa mwisho ndo mlipa VAT.
 
Shida ni wewe sio TRA kwa maelezo yako, kutokuwa na receipts tayari umeshakubali hasara ya kutokurudishiwa vat yako ya manunuzi.

Kuna madhaifu pia upande wa TRA kutokusajiliwa kulipa VAT aina maana wafanyabiashara wadogo wasiwe na vitabu kwa sababu bado wanatakiwa kulipa income tax. Vilevile vitabu vinasaidia kugundua kama wamevuka threshold ya kusajili VAT kwa lazima.

Kwengine duniani ukigundulika mauzo yako yanavuka threshold ya kutakiwa kusajili kwa hiari kulipa VAT na aujafanya ivyo kwa mziki wake sio mdogo

Aiwezekani mtu anae supply bidhaa au kutoa services kwa biashara kubwa inayolipa VAT halafu yeye awe mfanyabiashara mdogo ambae atozi VAT it doesn’t make sense, labda awe ni self employed contractor wa kukata majani au kusafisha ofisi .

Ideal mfanyabiashara mdogo ni kiduka cha mtaani, saloon ndogo ndogo, fundi seremela na unaweza fumbia macho vibanda vya chips kavu.

Lakini mtu anaeuza kwa biashara huyo sasa sio retailer mdogo. Nimeshangaa kuona watu wana malori eti na wenyewe ni wafanyabiashara wadogo.
 
Mkuu, gharama zenu za mauzo(Cost of sales) tenda wape wenye VAT ili wakupe risiti uwe na claims la sivyo imekula kwenu.
In short kama wewe ni VAT kamwe usinunue mzigo kwa asiye na VAT. Ukifanya hivyo inamaana wewe ni mtumiaji wa mwisho na mtumiaji wa mwisho ndo mlipa VAT.
Labda hujasoma andiko vizuri. Bishara ya hoteli huko wilayani hizo receipts zenye VAT utazitoa wapi? Utaenda Dar kununua nyama? Kununua mchele? Kununua mboga? Kununua mafuta?

Hiyo kwasasa ni issue kubwa sana kwa wafanyabiashara wakubwa walioko huko wilayani kwa mfano Ngara.

Utalazimika tu kununua vitu kwa wasio na receipts za VAT. Ukiwa mikoani au Dar unaweza kununua at least nusu ya matumizi kwenye maduka yenye receipts lakini sio huko wilayani.
 
Shida ni wewe sio TRA kwa maelezo yako, kutokuwa na receipts tayari umeshakubali hasara ya kutokurudishiwa vat yako ya manunuzi.

Kuna madhaifu pia upande wa TRA kutokusajiliwa kulipa VAT aina maana wafanyabiashara wadogo wasiwe na vitabu kwa sababu bado wanatakiwa kulipa income tax. Vilevile vitabu vinasaidia kugundua kama wamevuka threshold ya kusajili VAT kwa lazima.

Kwengine duniani ukigundulika mauzo yako yanavuka threshold ya kutakuwa kusajili na aujafanya ivyo kwa hiari mziki wake sio mdogo

Aiwezekani mtu anae supply bidhaa au kutoa services kwa biashara kubwa inayolipa VAT halafu yeye awe mfanyabiashara mdogo ambae atozi VAT it doesn’t make sense, labda awe ni self employed contractor wa kukata majani au kusafisha ofisi .

Ideal mfanyabiashara mdogo ni kiduka cha mtaani, saloon ndogo ndogo, fundi seremela na unaweza fumbia macho vibanda vya chips kavu.

Lakini mtu anaeuza kwa biashara huyo sasa sio retailer mdogo. Nimeshangaa kuona watu wana malori eti na wenyewe ni wafanyabiashara wadogo.
Hiyo receipts unmayotaka niwe nayo nitaitoa wapi? Huko wilayani wauzaji wa huduma zaidi ya asilimia 90 sio VAT registered. Hivi kweli utafunga safari ya masaa 24 kwenda kununua nyama, mchele, mboga, mafuta nk mjini?

Ndio maana mimi naona nimeshindwa kwasasa ni biashara yas hasara boras kufunga tu.

Kumbuka mimi nanunua kwa watu ambao ni walipas kodi na wana EFD machine lakini sio vat registered.
 
Mapitio ya VAT lazima yafanyike na kuboreshwa ikiwezekana ibakie single digit, haiwezekani dunia ya ushindani VAT iwe two digit tena kwenye nchi ambayo bado biashara nyingi watu wanajikongoja taratibu kukua lakini serikali hiyo hiyo inawarudisha nyuma
VAT ilikuja 1997, tukapiga kelele wee Ila ipo na siku zinaenda, Kodi hamtaki, tozo hamtaki, kukopa hamtaki, pesa za miradi na kuendesha nchi zitatoka wapi enyi mbuzi!?
 
Hiyo receipts unmayotaka niwe nayo nitaitoa wapi? Huko wilayani wauzaji wa huduma zaidi ya asilimia 90 sio VAT registered. Hivi kweli utafunga safari ya masaa 24 kwenda kununua nyama, mchele, mboga, mafuta nk mjini?

Ndio maana mimi naona nimeshindwa kwasasa ni biashara yas hasara boras kufunga tu.

Kumbuka mimi nanunua kwa watu ambao ni walipas kodi na wana EFD machine lakini sio vat registered.
Naweza kuona msingi wa hoja ila mchele, nyama, vitunguu ata ukiwekewa VAT uwezi ku claim back kama wewe unatumia kutengeneza chakula kingine (hizo ni material costs). Ambazo zinaingia kwenye cost of sales zote unazitoa after revenue kwenda kwenye gross profit.

Still unahitaji receipts (with or without VAT) ili ku justify TRA wakitaka kuona ushahidi wa hayo manunuzi ya cost of sales.

VAT ni kwa sababu ya bidhaa ambayo unanunua na kuiza kama ilivyo. Na Restaurant sidhani kama unaweza claim VAT zaidi ya bidhaa kama soda, bia na vinginevyo ambavyo unanunua na kuuza kama zilivyo.

Vinginevyo unapouza chakula ulichotengeneza wewe VAT inaanzia kwako kwenye kuikusanya.
 
Labda hujasoma andiko vizuri. Bishara ya hoteli huko wilayani hizo receipts zenye VAT utazitoa wapi? Utaenda Dar kununua nyama? Kununua mchele? Kununua mboga? Kununua mafuta?

Hiyo kwasasa ni issue kubwa sana kwa wafanyabiashara wakubwa walioko huko wilayani kwa mfano Ngara.

Utalazimika tu kununua vitu kwa wasio na receipts za VAT. Ukiwa mikoani au Dar unaweza kununua at least nusu ya matumizi kwenye maduka yenye receipts lakini sio huko wilayani.
Boss Nimesoma andiko vzr tu, na nimekujibu vzr tu. Hakuna njia tofauti na hayo majibu niliyokupa:
Nunua kwa mwenye VAT, haiwezekani toka VAT. Waambie TRA huwezi kufanya biashara ukatoa risiti yenye VAT wakati input zako ni non-VAT wakikuelewa wakutoe.

Tofauti na hapo utafanya biashara kichaa au wateja wako wakubali bei yenye VAT, mfumo uliopo hauruhusu watu wote kuwa VAT, labda ubadilishwe. Ila kwa sasa huna option zaidi ya hizo.
 
Haya ndio mambo yalio nifanya niseme sinto kaa niwe mfanya biashara nchi hii maana najua sina uwezo wa kukwepo kodi zao na mwisho wakija kunizingua naweza nikajikuta naingia kwenye matatizo bure.
Bora niendelee kua mfugaji na mkulima, huku nikiwakopesha watumishi pesa za mimba mdogo mdogo
Umeacha kazi za uchimbaji hapo Katente Namba moja??
 
Una mashine ya kutengeneza Chakula cha mifugo, ukiuza unatoa risiti yenye VAT.
Malighafi unanunua kwa wakulima ie uduvi, dagaa, soya, mahindi ila hayana risiti, je hapa unafanyaje TRA wasikuumize?
 
VAT ilikuja 1997,tukapiga kelele wee Ila ipo na siku zinaenda,Kodi hamtaki,tozo hamtaki,kukopa hamtaki,pesa za miradi na kuendesha nchi zitatoka wapi enyi mbuzi!?
Kuna mzungu mmoja alikuwa anaelezea kuhusu suala la TAX ila hitimisho akasema. Nchi za Afrika hususani Tanzania haiwezi kuendelea kiuchumi kwasababu mfumo wa TAX upo kiunyonyaji kwahiyo mashirika makubwa ya kimataifa hayawezi kuwekeza Tanzania.
Hata wafanyabiashara hawawezi kuendelea na nchi itabaki kuwa masikini kila siku.
 
Mbona solution tulishawapa

 
Mkuu. Mfumo uko sawa. Tatizo hutaki kuajiri wataalam wakusaidie kwenye maswala ya uhasibu na kodi.
Tafuta
Finance Manager mwenye CPA
Pia uchumi unaruhusu ajiri mtu aliyesomea mambo ya Tax management.
Wataalam wako kibao ila ndio hampendi kuwatumia.
Wewe unatumia akili za makalio, hapa tuko kuboresha mfumo na sio kulazimisha ulaji wakati mnaumiza watu.

 
Tatizo la TRA hawajawahi kufanya biashara. Wanachofikiria ni kukamua wafanyabiashara.

Wasipotafuta solution ya hii issue ya VAT wajiandae kutengeneza mizoga mingi na watu wengi kujifunza njia za kukwepa kodi.

Seriakali sasa wameona mjia ya kupata kodi ni kupitia VAT. Lengo la VAT halikuwa hivyo na kutakuwa na madhara makubwa sana.

Wacha wengine tufunge hizo hotels hata kwa muda kadhaa.. Stress za TRA zimezidi.
Solution nilishwapa zamani, kwanini napuuzwa kiasi hiki lakini.

 
Boss Nimesoma andiko vzr tu, na nimekujibu vzr tu. Hakuna njia tofauti na hayo majibu niliyokupa:
Nunua kwa mwenye VAT, haiwezekani toka VAT. Waambie TRA huwezi kufanya biashara ukatoa risiti yenye VAT wakati input zako ni non-VAT wakikuelewa wakutoe.

Tofauti na hapo utafanya biashara kichaa au wateja wako wakubali bei yenye VAT, mfumo uliopo hauruhusu watu wote kuwa VAT, labda ubadilishwe. Ila kwa sasa huna option zaidi ya hizo.
TRA hawawezi kukuelewa. Na hii shida ipo kwa maelfu ya watu wenye biashara kubwa huko mawilayani. Hasa kama input kwenye mauzo yake ni local.

Lengo la VAT halikuwa hilo kwamba mzigo ubebwe na kampuni bali mlaji mmoja mmoja. Kibaya hata hiyo VAT sio kwamba umeongeza kwenye mauzo bali unatoa kwenye faida. Biashara yangu ningelikuwa Dar ingelikuwa ndogo na wala kusingelikuwa na attention kubwa lakini huko wilayani shida.

Mimi ningetegemea huko wilayani ndiko at least kungelikuwa na incentives za kusaidia makampuni. Hivi kila mtu akiwekeza Dar tu, nchi yetu itakuwa na hali gani?
 
C0F12606-853A-4C60-9898-398093C5B7D4.jpeg


Hakuna double taxation labda kuna traders awatunzi receipts so awawezi dai VAT za manunuzi, lakini wanaodai wanapata refund kama hizo takwimu za TRA zinavyokuonyesha.

Na kuna kuchanganya pia uwezi dai VAT ya manunuzi ata kama wewe ni biashara kwa bidhaa unazotumia kuzalishia products zako.

Umeuza kwa mkopo, jamaa ajakulipa na umeshalipa VAT, una credit invoice ya mauzo, hiyo hela hasara ni expense (bad debt), kama hujui wangapi awatalipa unaruhusiwa pia ku estimate (provision for bad debt) na amount of VAT ambazo umethibitisha kwa mauzo ya credit ambayo umekubali hasara unaruhusiwa kuidai.
 
Mkuu. Mfumo uko sawa. Tatizo hutaki kuajiri wataalam wakusaidie kwenye maswala ya uhasibu na kodi.
Tafuta
Finance Manager mwenye CPA
Pia uchumi unaruhusu ajiri mtu aliyesomea mambo ya Tax management.
Wataalam wako kibao ila ndio hampendi kuwatumia.
Mtaalam anasaidia nini kama sheria zenyewe ni mbovu
 
Mkuu. Mfumo uko sawa. Tatizo hutaki kuajiri wataalam wakusaidie kwenye maswala ya uhasibu na kodi.
Tafuta
Finance Manager mwenye CPA
Pia uchumi unaruhusu ajiri mtu aliyesomea mambo ya Tax management.
Wataalam wako kibao ila ndio hampendi kuwatumia.
Unakuta biashara haiwezi afford kumlipa mtaalamu kwa bei zao kubwa,
Wataalamu nao sio creative kwenye biashara, wanataka wawe wanalipwa mapesa meengi wakati wangekua Wana monthly charges say 250k then anakua na vikampuni vidogo dogo vingi..
Huko tuendako kutokana na ukuaji wa teknolojia Kodi itakua haikwepeki
 
Kuna mzungu mmoja alikuwa anaelezea kuhusu suala la TAX ila hitimisho akasema. Nchi za Afrika hususani Tanzania haiwezi kuendelea kiuchumi kwasababu mfumo wa TAX upo kiunyonyaji kwahiyo mashirika makubwa ya kimataifa hayawezi kuwekeza Tanzania.
Hata wafanyabiashara hawawezi kuendelea na nchi itabaki kuwa masikini kila siku.
Tangu huyo mzungu aseme Hadi Leo no kweli tz haijapiga hatua!?.. FDI ni Hasi au chanya!?..akiongea mzungu unaona la maana!!
 
Back
Top Bottom