Vatican inamiliki dunia

ndo hivyo lazima uwe free thinker
 
Upo umu jukwaani kudanganya watu mauongo kuhusu Roman utazani wamekuoa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe upo uku jukwaani ukidanganya watu kuhusu Islam ukizani wana ku..........
si kila uzi lazima ukoment acha ushamba
nime ku trace naona unapenda likes na ku comment upuuzi.
Andika uzi wako nami niuone nije challenge.
Acha umama

BULL SHIT KABISA
 
Umejaliwa uwezo wa kusoma ila ukanyimwa uwezo wa kuelewa unachosoma na kuandika!

Pole sana, hebu tulia usome kwa utulivu maana ya ulichoandika uone kama inawiana na hoja unayoimaanisha ndugu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aeleweki mtoto wa Mama Hellen.
Tunawaomba SDA wakachimbue kaburi atakuwa ajaoza labda ni Saint
 
Wewe ni wale ambao mnapinga Blood Transfussion????
 
Huyu si ndiye yule mama aliye tabiri tarehe ya mwisho wa dunia wakati Yesu alisema hata yeye haijui ila Baba. Kanisa likaanzishwa katika misingi ya uongo wa nsma huyu.
Nazani wakafukue kaburi labda hajaoza huyu ni Saint of All Saint
 
Lazima wangechomwa moto tu embu nenda ikulu kwa speed.bila invitation alafu ikipita dk 2 Utakutana na mama hellen na bill Graham.
ata kama huna silaha ww acha kukariri kuna vitu havipingiki
 
Nakuhurumia sana....ebu tubu kwa Mola wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe upo uku jukwaani ukidanganya watu kuhusu Islam ukizani wana ku..........
si kila uzi lazima ukoment acha ushamba
nime ku trace naona unapenda likes na ku comment upuuzi.
Andika uzi wako nami niuone nije challenge.
Acha umama

BULL SHIT KABISA
Nani kakwambia kua mm ni muislam?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…