Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ichi kitabu kirefu page 519 ngoja nikazane
Nimefanya kitu inaitwa proof reading nimemaliza ila naona kinajifunga baadhi ya vitu hawa conspiracy theorist baadhi ya mambo wameetumia too ĉommon sence na sio reality mfano wanamtaja mtu na ameshakufa ....Soma taratibu. Kiko complicated kidogo. Ila uliyoandika kwenye uzi wako yote yamo. Achana na wajinga wanao comment matusi bila ushahidi.
Unakaa unawaza Upumbavu Bandit kabisa
Bull shit
Inaonekana umekosa support ya mzaz mmoja ama hujanyonya kabisa.Inaonekana umekosa malezi ya pande mbili au umekosa ziwa la mama yako kwa mda stahiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana umekosa support ya mzaz mmoja ama hujanyonya kabisa.
mwanangu wa canned milk upo.
bullshit kabisa
Ili utoboe kimaisha lazima usome vitabu mno, kwa ulegevu wa kumezeshwa mambo ya huu ulimwengu "WENGI WATAPOTEA"Ukweli ndo huo mwenye macho na aone na mwenye maskio na askie
uongo wako wa kichanga mno