Vatican: Papa Francisco yupo katika Hali mahututi


Mtu yeyote anaye promote ushoga Kanisan, na anapokuwa ni mtu anayeangaliwa na jamii, nashindwa mtofautisha na mbwa
 
Wewe ni kichaa
 
Anapaswa kufa haraka sana ili kuliokoa kanisa bila hivyo hali ya kanisa itazidi kuwa mbaya sana chini yake.
Ni sera ya kanisa na sio papa. Bado maaskofu wa huku wataanza kusifia MAVI waziwazi kanisani
 
ndio wachungaji wako waliopotea wanavokufundisha? weka mstari unaosema adi tuingie mbinguni ndio tumeokoka. najua wewe ni msabato.
Hapana mm sio msabato

Navyojua hakuna mwema chini ya jua hili hata Yesu alisema alipoulizwa yeye ni mwema!

Kuokoka sijaona mahala Yesu kasema kuokoka sana sana alisisitiza tubuni na kuiamini injili ufalme wa Mungu umekaribia
 
Hapana mm sio msabato

Navyojua hakuna mwema chini ya jua hili hata Yesu alisema alipoulizwa yeye ni mwema!

Kuokoka sijaona mahala Yesu kasema kuokoka sana sana alisisitiza tubuni na kuiamini injili ufalme wa Mungu umekaribia
huwa unaenda church? huwa unahubiriwa? nipate kwanza background yako kabla ya kukufundisha.
 
Namuomba Mungu atuondoshee huyo mzee wa kubariki ushoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…