Vazi la Khanga kwa wadada wa Kitanzania linavutia

unavaaga nn home? ila mie napenda mtandio zaidi..kuna mitandio ya mtumba mizuri mikubwa..mie khanga hazifung vzr hapa front..ila navaa hvyhvy..vitenge mie spend kbs...vikubwa mnoo
Khanga hazitoshi navaa vitenge ila vazi langu haswa nikiwa home ni madera
Najiona nakua comfortable sana hata nikiwa nazurura
 
unavaaga nn home? ila mie napenda mtandio zaidi..kuna mitandio ya mtumba mizuri mikubwa..mie khanga hazifung vzr hapa front..ila navaa hvyhvy..vitenge mie spend kbs...vikubwa mnoo
Circumference ni meta ngapi mkuu mpaka kanga haifungi?
Bila picha ni sawa na mboga bila chumvi.
 
Mwanamke akiwa hana hilo umbo kwenye picha zako nae avae khanga?
Hii maada ya kibaguzi sana ukiingalia vzur
 
Hapo sasa ni weekend, kitu kimetulia hivi.....alaa unde wapi mwanaume tena......!! ha ha ha

 
unavaaga nn home? ila mie napenda mtandio zaidi..kuna mitandio ya mtumba mizuri mikubwa..mie khanga hazifung vzr hapa front..ila navaa hvyhvy..vitenge mie spend kbs...vikubwa mnoo
unaposema front hapafungi inamaanisha nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…