Hahahaaa,,, naamini kikao kijacho suala la mawigi kuwa mzigo kwa wanaume litaongelewa pia maana litatuumiza sana
Khanga hazitoshi navaa vitenge ila vazi langu haswa nikiwa home ni maderaunavaaga nn home? ila mie napenda mtandio zaidi..kuna mitandio ya mtumba mizuri mikubwa..mie khanga hazifung vzr hapa front..ila navaa hvyhvy..vitenge mie spend kbs...vikubwa mnoo
Dera au kitengeUnavaaga nini?
Yeah au ile mitandio ya kisomali hiyo ndio yatosha vizuriMie kanga hainikai vizuri labda kulazimisha tu dk ngapi basi kuna mutandio ile kama kikoi
Circumference ni meta ngapi mkuu mpaka kanga haifungi?unavaaga nn home? ila mie napenda mtandio zaidi..kuna mitandio ya mtumba mizuri mikubwa..mie khanga hazifung vzr hapa front..ila navaa hvyhvy..vitenge mie spend kbs...vikubwa mnoo
Kumbe ndiyo maana khanga haifungi!!![emoji134] [emoji134]Nikimkosea mume mara moja sana navua nguo navaa khanga...anaishia kusema usirudie tena..mie haya[emoji16][emoji16]
Kumbe ndiyo maana khanga haifungi!!![emoji134] [emoji134]
Circumference ni meta ngapi mkuu mpaka kanga haifungi?
Bila picha ni sawa na mboga bila chumvi.
Khanga hazitoshi navaa vitenge ila vazi langu haswa nikiwa home ni madera
Najiona nakua comfortable sana hata nikiwa nazurura
Nime paliwa na futari hapa!!hahahaa hip area mie nakimbiza nw 47
Mbona haushangai huu sio muda wa kufungulia? πππkhaaa 3umefunga?
Simchezo mtoto wa kitangaDera au kitenge
unaposema front hapafungi inamaanisha nini?unavaaga nn home? ila mie napenda mtandio zaidi..kuna mitandio ya mtumba mizuri mikubwa..mie khanga hazifung vzr hapa front..ila navaa hvyhvy..vitenge mie spend kbs...vikubwa mnoo
[emoji23][emoji23] ahsante ..nice[emoji28][emoji28]!.mie dera jamani ni msibani tu...nilishayashindwa...hongera
Haha sio wa Tanga mieSimchezo mtoto wa kitanga