Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii dharau kubwa sana. Hivi anaweza kuvaa hivi kwenye msiba unaomhusu Jiwe?Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.
Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?
Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?
Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Uzi huu umejaa akina field argent"JACK BAUER" hatari.
Nope!!!!!Mungu ni 1 ila mapokeo ya muongozo wa maisha ndio tofauti na kupelekea kuunda Uislamu na Ukristo.
Baba Askofu anazeeka vibaya
Ampatanishe na Mbowe kwani Mbowe ndio Chifu wa Wachagga?
Hebu toa hiyo la kwenye neno lako weka ngeMsela
Mkuu hii nayo wasema ni editing, hukumwona alivyovaa leo pale kanisanEditing ya kijinga sana ,chunguza mikono ndio utajua mleta post ni gay
Tatizo liko hivi.
1. Hana makuzi mazuri hata kidogo. Ingemsaidia kujengeka kiasaikolojia na kujua mambo kulingana na nyakati zake.
wp2. Hakubahatika kufanya mambo mengi wakati wa ukuaji wake,anachokifanya sasa ni kulazimisha kushindana na vijana ambao wengi sasa hata umri anawapita. Anasahau wajibu wake ktk jamii.
Ukichanganya na namba moja hapo juulazima mambo yawe shaghala baghala
....halafu niliona kama vile alikuwa naye anataka kujibu mapigo pale pale kanisani alipoombewa Msamaha na Mkuu wake wa Chama Chao Mapinduzi....Lakini Askofu akamtolea Nje kwa kumuambia pale ni Madhabahuni...!Ana bahati mbaya sana huyu jamaa maana kaenda kisela amekutana Askofu shoo amempa za uso, naona alikuwa anaonesha alichobarikiwa na Mungu hipsi na tako.