Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

kama wewe una above 25 na unavaa misuruali kama hii jitafakari sasa huyu anaikimbiza 40 bado anavaa mashudu kama haya
 
Watanzania kwa kuongelea vitu vidogo vidogo ambavyo havina athari yoyote katika jamii wako vizuri. Uvaaji wa makonda uneathili nini shughuli nzima ya mazishi ?Mbona watu makanisani wanavaa kama alivyo vaa makonda na hawaulizwi?
 
Watanzania kwa kuongelea vitu vidogo vidogo ambavyo havina athari yoyote katika jamii wako vizuri. Uvaaji wa makonda uneathili nini shughuli nzima ya mazishi ?Mbona watu makanisani wanavaa kama alivyo vaa makonda na hawaulizwi?
Ni wivu tu
 
Aliemteua anapata Tabu sana!Bashite ivi,Bashite Vile..Mara Dr Bashiru amuonye kule,Mara amuonye uku lakini aya yote ni Mbuzi anapigiwa gitaaa tu kazi ya ..........Hajaimaliza maana wabishi bado wapo na wanaongezeka daily
 
Msikitini kuingia hivyo sio dhambi kwakuwa uchi wa mwanaume unaishia kwenye magoti....labda angeweka tako nje ndio ingekuwa ishu.
Ok sawa sawa basi ile post yako pale juu inakosa mashiko kwa maneno mengine haukupaswa kuiweka hapa ungesubiri siku ije inayozungumzia hili jambo kwa upande wa Islam....

Then usifananishe Msikitini na Kanisani maana hivyo ni vitu viwili tofauti na kote huko tunaabudu Mungu tofauti.
 
Huyu kijana ni mpuuzi sijawakupata kuona RC wa hovyo hivi yaani habebeki ptuuuu.
 
Washauri Wa mh. Rais hawajarudi kutoka likizo ya pasaka? Kama bado, vipi ile kamati ya maadili ya viongozi wa umma nao wapo likizo? Kama wote wapo likizoni, mkulu mwenyewe haangalii luninga akaona jinsi huyu mpendwa wake anavyomvunjia heshima na adabu?
Najua mkulu hushauriki na Tabia za MTU siyo kigezo cha uteuzi Bali uchapakazi wake ndio anaouhitaji kitu ambacho hakina uhalisia kwani unadhifu Wa MTU humtambulisha alivyo smart ubongoni! Najua ukiuapply ualimu wako kuna kitu tunaita personality au haiba ya mwalimu ambayo huanzia mavazi! Basi itumie hiyo haiba ya mwanao kumrejesha kwenye kumbi za disco akawe baunsa angalau na kuyavaa mavazi hayo aliyoyavaa Leo msibani!
Hebu hekima, busara na adabu iwe nuru na taa kwa aina hii ya viongozi kabla ya kutumia mabavu yao! Mvue hayo mavazi na madaraka yake ili angalau uitunze heshima ya uongozi wako na kuziondoa hizi sintofahamu kwa wananchi! Ana nini cha mno katika uongozi hadi umng'ang'anie hivyo?
 
Baba Askofu alimwita madhabahuni ili ampatanishe na Mboe,kibwana mdogo kikawa kinagoma kujongea mbele


Baba Askofu anazeeka vibaya

Ampatanishe na Mbowe kwani Mbowe ndio Chifu wa Wachagga?
 
ab26c0a3-08c7-472f-bc80-59b149498ef2.jpg


Hii stage ya sasa hakupita yaani kifupi alianza kuzeeka kwanza ndo ujana unakuja kwa mbali tumsamehe tu
 
Ok sawa sawa basi ile post yako pale juu inakosa mashiko kwa maneno mengine haukupaswa kuiweka hapa ungesubiri siku ije inayozungumzia hili jambo kwa upande wa Islam....

Then usifananishe Msikitini na Kanisani maana hivyo ni vitu viwili tofauti na kote huko tunaabudu Mungu tofauti.
Mungu ni 1 ila mapokeo ya muongozo wa maisha ndio tofauti na kupelekea kuunda Uislamu na Ukristo.
 
Mbona hatuoni yakikemewa katika siku za kawaida?

Kwanini ikemewe msibani alafu siku za kawaida isikemewe?

Au Mungu yupo msibani na siku za kawaida kanisani hayupo?
una evidence/ushaihidi wa hicho unachokisema?
 
Back
Top Bottom