Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

Na hilo ndo lengo la swali langu.

Sijui kwa sababu kafa Bwana mengi ndio maana isifae kuvaa jeans.

Ila siku za kawaida watu wanaenda kumuabudu Mungu kanisani na majeans yanavaliwa hayakatazwi.

Ina maana mengi ni Mkubwa kuliko Mungu wa siku za kawaida za ibada pale kanisani kiasi kwamba isifae kuvaa jeans kwenye msiba wake?
Unajua jeans aliyovaaa bashite leoo????? Eti weee bwegee...
 
Kumbe uelewa wako mdogo sanaa etii eehe..! ndo maana statement ya pili nimeondoa suala la Msiba labda utaelewaa.. slow learner[emoji22][emoji22][emoji22][emoji119][emoji119]
Hata hivyo bado ni udhaifu wa hoja tu kwa upande wako.

Kwani huyo Mungu anapatikana kanisani tu ambako ukienda na jeans anachukia alafu ukitoka hakuoni tena waweza vaa hata bikini huki nje?
 
Hata hivyo bado ni udhaifu wa hoja tu kwa upande wako.

Kwani huyo Mungu anapatikana kanisani tu ambako ukienda na jeans anachukia alafu ukitoka hakuoni tena waweza vaa hata bikini huki nje?
Wee jamaa hujielewii kabisaaa... Ni mpumbavuu! Kama hujui suala la mipaka ya mavazi rudi la saba b... shwain kabisaaa[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Ni kweli, kanisani mavazi yote ruksa, iwe jeans safi au iliyopasuka ni ruksa tu mwanangu, mavazi kitu gani bhana
Na hilo ndo lengo la swali langu.

Sijui kwa sababu kafa Bwana mengi ndio maana isifae kuvaa jeans.

Ila siku za kawaida watu wanaenda kumuabudu Mungu kanisani na majeans yanavaliwa hayakatazwi.

Ina maana mengi ni Mkubwa kuliko Mungu wa siku za kawaida za ibada pale kanisani kiasi kwamba isifae kuvaa jeans kwenye msiba wake?
 
Binadamu hawana dogo, ukijitenga nao ohhh analinga!! Ukiamua kujichaganya nao oohh hana nidhamu ila angekuwa mzungu wala usingesikia hizi lawama
 
Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.

Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?

Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?

Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Ushamba mzigo.
 
Kinachonishangaza vazi kama hilo likivaliwa na wale wazungu wanaofadhili haya makanisani , huwezi kuona mtu anapanua bakuri lake kupiga kelele.

Tuache dabo standard kama tunavyomtaka baba Jeska aache dabo standard.
 
Suala bado liko pale pale.

Kwa nini iwe haramu yeye kuvaa kanisani na nje ya kanisa iwe halali kuvaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani uko serious unauliza swali la kijinga hivii???? Wewe msikitini unaendaga na boksa kama unavyoshinda chumbani kwako???
 
Kinachonishangaza vazi kama hilo likivaliwa na wale wazungu wanaofadhili haya makanisani , huwezi kuona mtu anapanua bakuri lake kupiga kelele.

Tuache dabo standard kama tunavyomtaka baba Jeska aache dabo standard.
Kwahiyo wazungu ndo wa kuwekewa mfano??

Faken wallah
 
Hakuna mkuu wa wilaya/mkoa yeyote amngeweza kuvaa vile achilia mbali hata mwananchi wa kawaida lazima ujitafakari lakini yeye katinga hivyo hivyo! Duuuh kweli akili ni Mali
Kuweni na akiba ya maneno kule Kenya ku a Sonko wala hamsemi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani uko serious unauliza swali la kijinga hivii???? Wewe msikitini unaendaga na boksa kama unavyoshinda chumbani kwako???
Anaenda akiwa kavaa bikini aliyinunuliwa na basha wake
 
Mbona hatuoni yakikemewa katika siku za kawaida?

Kwanini ikemewe msibani alafu siku za kawaida isikemewe?

Au Mungu yupo msibani na siku za kawaida kanisani hayupo?
Aliyekwambia haikemewi siku za kawaida nani?wewe unasali Kanisani wewe ili uyasikie yakikemewa au kwa sababu umesikia leo kwenye vyombo vya habari ndo unakaza shingo hapa kung'ang'ana haikemewi siku za kawaida?

Na umehudhuria misiba mingapi ukasikia hili linakemewa zaidi ya kusikia leo?shida unatafuta opportunity ya kuonekana star wa mchezo wa imani mbele ya Mungu huku ukibishiniacho hukijui,naona uzi umejaa post zako ukijifanya kujua sana.

Take it easy,siyo imani yako kaa tafuta kahawa ilipo ujiburudishe uwe msomaji busara ni pamoja na kukaa kimya.
 
Back
Top Bottom