Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
hapana mkuu Bashite amuwakilishe Rais ndiyo aliyemtuma kufanya hayo afanyayo.Ulitaka akamuwakilishe Mbowe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana mkuu Bashite amuwakilishe Rais ndiyo aliyemtuma kufanya hayo afanyayo.Ulitaka akamuwakilishe Mbowe?
Hakuna mkuu wa wilaya/mkoa yeyote amngeweza kuvaa vile achilia mbali hata mwananchi wa kawaida lazima ujitafakari lakini yeye katinga hivyo hivyo! Duuuh kweli akili ni Mali
Achana na huyo fala mshamba anaweza kwenda hata na chupiWewe unaona ile pedo ya Bashite yenye vitobo ni sahihi kabisa kuvaliwa Kanisani kwenye ibada ya Msiba???
Wewe unaona ile pedo ya Bashite yenye vitobo ni sahihi kabisa kuvaliwa Kanisani kwenye ibada ya Msiba???
Huwezi kumpa madaraka mhuni kama wewe siyo mhuni piaMnawapa madaraka wa.huni
Mnawapa madaraka wa.huni
"Anasingiziwa!! au ni WIVU TU!!!Hahahahahaaa, hivi huyu naye ni Mkuu wa Mkoa!!! Dah!!!, jeans ya wahuni inavaliwa na RC kwenye msiba!!!!! Kweli Dar kuna RC - kiongozi wa wanyonge na maskini!!! Hana nguo ya kuvaa isipokuwa jeans liliposuka magotini!!!!
Yule sharobaro Mike SonkoBila shaka anamuiga yule jamaa mkenya......jina limenitoka kidogo
Mkuu kumbe we ni mhuni? Basi mkanye mhuni mwenzako awe anaangalia na mazingira ya kufanyia uhuni wakeDah mwenyewe nikiwa niko kitaani kuvaa jeans damaged huwa naona aibu pamoja na uhuni wangu wote! [emoji16]
Achana na huyo fala mshamba anaweza kwenda hata na chupi
jamani hivi Rais haoni haya Maadili ya viongozi yako wapi? hivi hawakupewa semina? Magu unaona hasara ya kutowapa vijana wako semina maana hata cha kuvaa hwana habari!Hahahahahaaa, hivi huyu naye ni Mkuu wa Mkoa!!! Dah!!!, jeans ya wahuni inavaliwa na RC kwenye msiba!!!!! Kweli Dar kuna RC - kiongozi wa wanyonge na maskini!!! Hana nguo ya kuvaa isipokuwa jeans liliposuka magotini!!!!
...........Siijui imani yako ila nikuulize Msikitini muumini anaweza kuingia kavaa jeans iliyotoboka toboka?Kwani kanisani kunatakiwa kuvaliwa mavazi gani?
[emoji16] yani namaanisha kwangu hata nikiwa mtaani nikivaa damaged jeans haina madhara lakini huwa naona aibu. Sasa sembuse mkuu wa mkoa tena akiwa anajua kabisa anenda kanisani?Mkuu kumbe we ni mhuni? Basi mkanye mhuni mwenzako awe anaangalia na mazingira ya kufanyia uhuni wake
Ile ilikuwa TEF ya akina Theofil Makunga, MOAT iko chini ya marehemu Mengi huko asingweza kufika na utoto utoto wakeUmeona eh?alidhani pale ni Kikao Cha MOAT alivyogoma kuomba radhi!Foolish kabisa.
Ni mwanaume yule?!Mwanaume WA dar huyo.
Huwezi kuficha aibu yako kwa muda?Kwani kanisani kunatakiwa kuvaliwa mavazi gani?
Umeona eh?alidhani pale ni Kikao Cha MOAT alivyogoma kuomba radhi!Foolish kabisa.
Mkuu lakini kuna mambo mtu unatakiwa kuangalia pia...Acheni ujinga.
Makonda yupo sawa, kutupia hio jeans.
Kanisani hakuna vazi rasmi.