Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni suala gumu sana kuamini me nimenyoosha mikono kuhusu huyu jamaa.. Anafanyaga utumbo waziwazi ila Jiwe hamgusiiYaani mimi sielewi,huyu mhuni mshamba anakuwaje RC wa dsm??
Hapa inabidi tutumie hadi sayansi kungamua hili
Baba Askofu alimwita madhabahuni ili ampatanishe na Mboe,kibwana mdogo kikawa kinagoma kujongea mbeleIlikuwaje Mkuu!??
Bora iwr Jeans ya Heshima yani Jeans ina vitobo vitobo[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48] Mlke wake nae akaona hiyo ndp Nguo mumewe avae msibani alafu linasema linamuenzi Mengi[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] Makondo mbwa sanaaSijawahi kulifikiri hili maishani aisee... How!??
THIS IS. TOO MUCH
Saaa na hiyo Pedo yake anaendaje Mbel...??? na Kiburi chake cha madarakaaa.. Bashite senge sanaBaba Askofu alimwita madhabahuni ili ampatanishe na Mboe,kibwana mdogo kikawa kinagoma kujongea mbele
Jiwe"Bora anafanya kazi vizuri mimi siangalii mavazi yake" nawaza kwa sauti on behalf of whom?
Safi sana THE GREAT PAUL MAKONDALeo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.
Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?
Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?
Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Acheni wivuHakuna mkuu wa wilaya/mkoa yeyote amngeweza kuvaa vile achilia mbali hata mwananchi wa kawaida lazima ujitafakari lakini yeye katinga hivyo hivyo! Duuuh kweli akili ni Mali
Kwahiyo serikali inayoziruhusu ?Acheni ujinga huyu anawaonyesha utandawazi mkuuJeanz za kichoko
Ulitaka akamuwakilishe Mbowe?Bashite ni muwakilishi wa Rais na chcochote anachofanya anafanya kwa niaba ya rais.
Ushamba mzigo na kuchanganyikiwaWengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?
Ni WILSON KABWE na si Steven Kabwe....Na sijui kwanini huwa hakomi nikikumbuka msiba wa Steven Kabwe jinsi mwanae alivyomchunia
Ficha ujinga wako hapaKwani kanisani kunatakiwa kuvaliwa mavazi gani?
Ndo nakuuliza mkuu.Ficha ujinga wako hapa
Wewe unaona ile pedo ya Bashite yenye vitobo ni sahihi kabisa kuvaliwa Kanisani kwenye ibada ya Msiba???Ndo nakuuliza mkuu.
Hilo vazi ni lipi na ni maalum misibani tu siku za kawaida za ibada je?