Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Muwakilishi wa wanaume wa Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amevaa jeans iliyochanika kwa niaba ya rais. Kilangila.Bashite ni muwakilishi wa Rais na chcochote anachofanya anafanya kwa niaba ya rais.
labda kanisa lenu lakini sio makanisa ya Mungu kama vile Roman na LutheranAcheni ujinga.
Makonda yupo sawa, kutupia hio jeans.
Kanisani hakuna vazi rasmi.
Askofu Dr shoo angewaunganisha hao wahuni na washamba Kwa pamoja awatubishee Kwa nguvu wakigomaa awafukuzee kanisani kwake na msibani Kwa ujumla! Shenzyyyyyyy Sana hivi vijana!Halafu na Muro alikuwa anamtia kiburi asiende mbele
Ndivo alivyovaa. Tukio lilikuwa liveMawazo yangu yananiambia kuwa hii picha sio ya leo kwenye mazishi bali ilipigwa kwenye night club mahali fulani.
Kabisaaa... Tatzo jiwer ndo anambebaa sijui anamlaa[emoji57][emoji57][emoji57]Kama tungekuwa tupo serious kama nchi huyu jamaa ingebidi awe kwake kolomije akilima pamba,sio kuwa RC
Ni mtu sengee tuu fwakeni kabisaaWachaga huyu jamaa mmemkoseA nini...
Hizi dharau ni very deep.
Hiki kijamaa kina kiburi sana..kinataka hadi kumgomea baba Askofu makini ShooNi dharau za dhahiri kabisa ameonyesha huyu jamaa.
Mkuu hiyo dawa sio mchezo..Muhuni .kiongozi wa serikali tena RC anavaa masuruali yaliyochanika.hiyo dawa aliyomnywesha magufuli kiboko
Jesus christ..what an empty brain!!!????Nimegundua ile vita ya madawa ya kulevya kuna Watu wanateseka juu ya jasiri MAKONDA
Makonda sio wakusidiwa ni wakusaidia!Huyu kijana ni wakuombewa kwakweli. Mungu amsaidie sana
Ilikuwaje Mkuu!??Hiki kijamaa kina kiburi sana..kinataka hadi kumgomea baba Askofu makini Shoo
Yani balaa mzeee...!!Mkuu hiyo dawa sio mchezo..
Ila sisi kama nchi kuna maeneo ya kawaida tu hatupo serious..How on earth this bustard is Governmental official??
Yaani mimi sielewi,huyu mhuni mshamba anakuwaje RC wa dsm??Kabisaaa... Tatzo jiwer ndo anambebaa sijui anamlaa[emoji57][emoji57][emoji57]