Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

Halafu na Muro alikuwa anamtia kiburi asiende mbele
Askofu Dr shoo angewaunganisha hao wahuni na washamba Kwa pamoja awatubishee Kwa nguvu wakigomaa awafukuzee kanisani kwake na msibani Kwa ujumla! Shenzyyyyyyy Sana hivi vijana!
 
Wachaga huyu jamaa mmemkoseA nini...

Hizi dharau ni very deep.
 
Kiongozi anaye hangout na wasanii muda wote ... huku think tank wake akiwa ni Lemutuz ... Nyinyi mlitaka awaje !?
 
Mkuu hiyo dawa sio mchezo..

Ila sisi kama nchi kuna maeneo ya kawaida tu hatupo serious..How on earth this bustard is Governmental official??
Yani balaa mzeee...!!
 
Kabisaaa... Tatzo jiwer ndo anambebaa sijui anamlaa[emoji57][emoji57][emoji57]
Yaani mimi sielewi,huyu mhuni mshamba anakuwaje RC wa dsm??

Hapa inabidi tutumie hadi sayansi kungamua hili
 
Back
Top Bottom