Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.

Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?

Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?

Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
mbona alipotoa salam za mkoa ukumbi wa kalimjee hamkusifia lile vazi?
 
Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.

Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?

Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?

Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Exposure!! Exposure!! Exposure! Ndiyo hilo yeye anafikiri Nguo yoyote unavaa popote tu.
 
Akili zangu zinanituma yupo kikazi huko, kiutekaji au hata kupiga mtu risasi. Bashite anajipa chuki kubwa kwa CHADEMA, ili kumfuruhisha Magufuli.
Mh, Mbowe na Viongozi wote wa CHADEMA kuweni macho na nyendo za Bashite huko. Mungu ibariki Tanganyika.
 
"Bora anafanya kazi vizuri mimi siangalii mavazi yake" nawaza kwa sauti on behalf of whom?
 
Makonda ameitwa madhabahuni ametubu na amejikubali kuwa ni mchafu, amepatanishwa na baba askofu na Mbowe, amaeumbuka atajifunza.
 
Editing ya kijinga sana ,chunguza mikono ndio utajua mleta post ni gay
[emoji23][emoji23]
IMG-20190509-WA0017.jpeg
 
Nimeshangaa Sana alitaka kugoma upatanisho,ana muuliza askofu anapatanishwa kwa lipi?,hutu tu toto twaajabu sana.
Na jinsi yake ya kuchanwa,kajitabiria kuchanwa,Leo kuchanwa na Wakubwa mpk na Askofu mwenyewe kamuonya.
 
Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.

Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?

Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?

Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
huyu ndiye gavana wa "wanaume wa Dar".

afu eti ushindanishe walume wa mikoani vs wale wa Dar..... wapi na wapi!!
 
Hahahahahaaa, hivi huyu naye ni Mkuu wa Mkoa!!! Dah!!!, jeans ya wahuni inavaliwa na RC kwenye msiba!!!!! Kweli Dar kuna RC - kiongozi wa wanyonge na maskini!!! Hana nguo ya kuvaa isipokuwa jeans liliposuka magotini!!!!
Jeans ya kuchanika kwa mbali mkuu 😨
Nimeona picha yupo yeye, Jerry Murro, Majizzo (efm) na jamaa mwingine; wenzake wamevaa smart. Labda yeye kuna stage alivuka na sasa ndio anapitia
 
Jana niliona sehemu picha ya pamoja na mkuu wa wilaya ya Hai Jerry Muro, Japo akili zao zinafanana ila kimuonekano mmoja ni kiongozi wa serikali na mwingine ni kama mhuni tu.
 
Back
Top Bottom