Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

Editing ya kijinga sana ,chunguza mikono ndio utajua mleta post ni gay
[/QUOTE Mkuu ungeangalia wakati anaendamadhabahuni kupata masmaha usinewahi na hii comment ni kwamaba ndivyo alivyovaa hakuna editing kadri muda unavyoenda utaona hiyo video niishie hapo
 
mbona fresh tu!
20190508_215210.jpeg
 
dress the way you want to be addressed
Kila sehemu ina utaratibu wake, kwenye ofisi za umma wanaita dressing code hivyo hivyo kanisani zipo pia hata kwa wazungu zipo pamoja na utalii unaofanyika kwa mfano St Peters square Vatican ukija uwe mwafrika au mzungu umevalia kihuni kihuni unachagua moja aidha urudie mlangoni au upewe mkanzu uuvae uingie. Kila sehemu ina taratibu na heahima zake
 
Akili zangu zinanituma yupo kikazi huko, kiutekaji au hata kupiga mtu risasi. Bashite anajipa chuki kubwa kwa CHADEMA, ili kumfuruhisha Magufuli.
Mh, Mbowe na Viongozi wote wa CHADEMA kuweni macho na nyendo za Bashite huko. Mungu ibariki Tanganyika.
This deserves follow-up. Bashite ni muuaji.
 
Kila sehemu ina utaratibu wake, kwenye ofisi za umma wanaita dressing code hivyo hivyo kanisani zipo pia hata kwa wazungu zipo pamoja na utalii unaofanyika kwa mfano St Peters square Vatican ukija uwe mwafrika au mzungu umevalia kihuni kihuni unachagua moja aidha urudie mlangoni au upewe mkanzu uuvae uingie. Kila sehemu ina taratibu na heahima zake
I hope umeelewa nilichomaanisha
 
Mapigo ya hivyo alikuaga anayaskia jamani...ni zamu yake muacheni
 
Tena afadhali angevaa hivo juzi kule karimjee. Vazi alilovaa pichani si vazi la heshima kanisani!
Hakuna mkuu wa wilaya/mkoa yeyote amngeweza kuvaa vile achilia mbali hata mwananchi wa kawaida lazima ujitafakari lakini yeye katinga hivyo hivyo! Duuuh kweli akili ni Mali
 
Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.

Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?

Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?

Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Marehemu Shabaan Robert aliwahi kuandika ktk riwaya zake hivi, "Mwenyezi Mungu akitaka kumwangamiza mchwa humwotesha mabawa na kumfanya kumbikumbi" mwisho wa kunukuu.
 
Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.

Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?

Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?

Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Elimu,elimu, elimu......
 
Back
Top Bottom