Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Editing ya kijinga sana ,chunguza mikono ndio utajua mleta post ni gay
[/QUOTE Mkuu ungeangalia wakati anaendamadhabahuni kupata masmaha usinewahi na hii comment ni kwamaba ndivyo alivyovaa hakuna editing kadri muda unavyoenda utaona hiyo video niishie hapo
Kamsema?Hana adabu alidhani anaenda kwenye fashion Bashiru kammaliza
Usijumuishe wasiohusika.Madaraka kapewa na mmoja tuu.Mnawapa madaraka wa.huni
Kila sehemu ina utaratibu wake, kwenye ofisi za umma wanaita dressing code hivyo hivyo kanisani zipo pia hata kwa wazungu zipo pamoja na utalii unaofanyika kwa mfano St Peters square Vatican ukija uwe mwafrika au mzungu umevalia kihuni kihuni unachagua moja aidha urudie mlangoni au upewe mkanzu uuvae uingie. Kila sehemu ina taratibu na heahima zakedress the way you want to be addressed
This deserves follow-up. Bashite ni muuaji.Akili zangu zinanituma yupo kikazi huko, kiutekaji au hata kupiga mtu risasi. Bashite anajipa chuki kubwa kwa CHADEMA, ili kumfuruhisha Magufuli.
Mh, Mbowe na Viongozi wote wa CHADEMA kuweni macho na nyendo za Bashite huko. Mungu ibariki Tanganyika.
I hope umeelewa nilichomaanishaKila sehemu ina utaratibu wake, kwenye ofisi za umma wanaita dressing code hivyo hivyo kanisani zipo pia hata kwa wazungu zipo pamoja na utalii unaofanyika kwa mfano St Peters square Vatican ukija uwe mwafrika au mzungu umevalia kihuni kihuni unachagua moja aidha urudie mlangoni au upewe mkanzu uuvae uingie. Kila sehemu ina taratibu na heahima zake
Sijui kiburi hicho mbele ya viongozi wake (Waziri mkuu, Spika wa bunge na katibu mkuu wa ccm) anapewa na nani!!!????Yani libashite lilitaka kugoma kuenda mbele
Hakuna mkuu wa wilaya/mkoa yeyote amngeweza kuvaa vile achilia mbali hata mwananchi wa kawaida lazima ujitafakari lakini yeye katinga hivyo hivyo! Duuuh kweli akili ni Mali
Marehemu Shabaan Robert aliwahi kuandika ktk riwaya zake hivi, "Mwenyezi Mungu akitaka kumwangamiza mchwa humwotesha mabawa na kumfanya kumbikumbi" mwisho wa kunukuu.Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.
Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?
Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?
Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Elimu,elimu, elimu......Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.
Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?
Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?
Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613