Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

Yani umekwenda msibani halafu kanisani lakini unavaa kama unakwenda club au disko vile...

Shame
 
Makonda ameitwa madhabahuni ametubu na amejikubali kuwa ni mchafu, amepatanishwa na baba askofu na Mbowe, amaeumbuka atajifunza.
hajaomba msamaha amesema tatizo ni tafsiri hivi wote pale hawajamwelewa
 
Huwa ninajiuliza sana kwa nini Paskali huwa anampa hadhi ya mteule yaani 'Mpakwa mafuta'.
 
hajaomba msamaha amesema tatizo ni tafsiri hivi wote pale hawajamwelewa
Ameomba msamaha, na kusema ameeleweka vibaya, na akamshukuru na Bashiru kwa kuomba msamaha kwa niaba yake na akasema huo ni upendo wa kipekee....vipi wewe ulitaka apige goti?
 
Huwa ninajiuliza sana kwa nini Paskali huwa anampa hadhi ya mteule yaani 'Mpakwa mafuta'.
Teh
20190509_155116.jpeg
 
yan nataman mke wake angemshaur huyu bwana aachane na siasa afane shughuli nyingne maana unaweza kumtetea leo kesho ana haribu tena duh!
 
Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.

Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?

Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?

Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Mh, nabaki najiuliza....
1. Ilikuwaje akachaguliwa kuwa kiongozi?
2. Na huyo aliyemchagua alitumia kigezo gani?
3. Je haya yote anayofanya huyu jamaa, Mkubwa hayaoni au?
4. Kuna uhusiano gani uliojificha kati ya huyu jamaa na mkubwa?
 
Hakuna mkuu wa wilaya/mkoa yeyote amngeweza kuvaa vile achilia mbali hata mwananchi wa kawaida lazima ujitafakari lakini yeye katinga hivyo hivyo! Duuuh kweli akili ni Mali
Aliishajua mkuu wake wa kazi hatakuwepo na waliopo hakuna wa kumdhibiti!!
 
Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.

Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?

Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?

Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613

Hili libashite litakuwa linahusika kwa namna moja ama nyingine na msiba huu..
Kumbukeni kabla ya Mzee Dr. Mengi kufariki dunia alipitia misusuko suko kwenye biashara zake ambayo ilisababishwa na ukoo wa mabashite hawa hawa!
Anyway; duniani hatukai milele... Na yote yanapita!!
 
Bashite zero brain hakuna kitu Anaweza fanya kwa Usahihi kabisaa...!! Lazima aaribu kazii
 
Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.

Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?

Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?

Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Do not judge.
 
Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.

Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?

Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?

Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Utovu wa nidhamu na akili ya kitoto.
 
Usukuma kumuachia msukuma siyo rahisi kama ilivyo kwa rais.
 
Back
Top Bottom