mbona alipotoa salam za mkoa ukumbi wa kalimjee hamkusifia lile vazi?Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.
Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?
Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?
Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Exposure!! Exposure!! Exposure! Ndiyo hilo yeye anafikiri Nguo yoyote unavaa popote tu.Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.
Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?
Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?
Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Le Mutuz MTU kubwa uko wapi ona mdogo wako anadhalilika.Exposure!! Exposure!! Exposure! Ndiyo hilo yeye anafikiri Nguo yoyote unavaa popote tu.
[emoji23][emoji23]Editing ya kijinga sana ,chunguza mikono ndio utajua mleta post ni gay
huyu ndiye gavana wa "wanaume wa Dar".Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.
Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?
Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?
Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Umeona eh?alidhani pale ni Kikao Cha MOAT alivyogoma kuomba radhi!Foolish kabisa.Yani libashite lilitaka kugoma kuenda mbele
Jeans ya kuchanika kwa mbali mkuu 😨Hahahahahaaa, hivi huyu naye ni Mkuu wa Mkoa!!! Dah!!!, jeans ya wahuni inavaliwa na RC kwenye msiba!!!!! Kweli Dar kuna RC - kiongozi wa wanyonge na maskini!!! Hana nguo ya kuvaa isipokuwa jeans liliposuka magotini!!!!
😅Mawazo yangu yananiambia kuwa hii picha sio ya leo kwenye mazishi bali ilipigwa kwenye night club mahali fulani.