Vazi lenye nasaba na dini kuvaliwa na Askari kanzu katika Ukamataji linatupa tafsiri mbaya kimataifa kama nchi

Vazi lenye nasaba na dini kuvaliwa na Askari kanzu katika Ukamataji linatupa tafsiri mbaya kimataifa kama nchi

Tembea ujionee.
Hilo vazi/kilemba nchi za uarabuni ni vazi la kawaida sana, hata wahalifu wanavaa. Bahati mbaya huku kwetu tunahusisha mavazi ya asili ya uarabuni na dini, kitu ambacho sio sahihi.
Kila kitu kwa kiasi.
 
Moja ya Askari aliyeshiriki Ukamataji Kisutu amefunga kitambaa ambacho uvaliwa na waumini wa dini flani hasa kipindi Cha mfungo na sikukuu kuashiria vazi lenye star na linaloitambulisha dini hiyo kwa watu wengine.

Inapotokea Askari akavaa vazi Hilo na kufanya Ukamataji Tena unaodhaniwa kwenda kinyume kabisa na utu wa mwanadamu hasa pale wanapomkanyaga mtuhumiwa ndani ya gari si Jambo jema. Tunaona vazi hili likitumiwa vibaya na makundi ya kihalifu na ufanya unyama Kama huu na mara zote wenye dini hii wamekuwa wakikemea dini yao kuhusishwa na masuala yakikatili. Askari kanzu aliyevalia vazi ili pale kasitu may be hakua anajua madhara yakutumia vazi ili kwenye kazi zake, may be aliamini ni vazi Kama mavazi mengine na Sasa ameibua mjadala na mjadala huu utakuwa mkubwa Dunia kadri picha hizi zinavyosambaa.

Wito wangu kwa vyombo vya ulinzi na usalama, tujitahidi kuona madhara kabla hayajatokea na kukemea. Askari wetu kuendelea kupita mitaani na vazi hili wakiwa na silaha nikuhusianisha kazi zao na kinachofanyika Somalia na Nigeria ambapo binadamu katili uvaa vazi hili kwenda kufanya ukatili.

Ipo siku watauliza kwanini awavai mavazi ya kiaskofu au kichungaji kwenye magari yao? Pls fanyieni kazi hii siyi sign nzuri vinginevyo mseme mpo kwenye mkakati wakuuchafua utawala uliopo ambao unaongozwa bila itikadi za kidini
Kila vazi atakalovaa askari mkamataji lazima liguse jamii fulani ama itikadi ya watu fulani,hivyo nadhani kuepuka hilo wakamate uchi.

Huko arabuni watu wanapigwa mawe na mavazi yao ya dini,wala hawavishwi majinsi ama vimini kwamba eti kuepuka kudhalilisha dini.

Dini ni imani sio mavazi.

Atakayelaumu dini fulani eti kwa sababu vazi la dini hiyo limetumika vibaya atakuwa na shida mwenyewe na wala siondini hiyo.

Sasa solution ni wao wabadilishe namna ya ukamataji na sio wabadilishe mavazi alafu ukamataji uwe ni ule ule.
 
Vipi kuhusu manesi, walimu na wafanyakazi wengine wa mstari wa mbele serikali wanaovaa mikufu yenye vidani vya msalaba.

Waislamu nao waanze kulalamika?

Polisi wapo kazini na wamevaa kiraia kama mmoja vasi lake limekukera hiyo ni personal issue, ambapo inabidi ujifunze kuwa tolerable kwenye nchi mchanganyiko.
 
Moja ya Askari aliyeshiriki Ukamataji Kisutu amefunga kitambaa ambacho uvaliwa na waumini wa dini flani hasa kipindi Cha mfungo na sikukuu kuashiria vazi lenye star na linaloitambulisha dini hiyo kwa watu wengine.

Inapotokea Askari akavaa vazi Hilo na kufanya Ukamataji Tena unaodhaniwa kwenda kinyume kabisa na utu wa mwanadamu hasa pale wanapomkanyaga mtuhumiwa ndani ya gari si Jambo jema. Tunaona vazi hili likitumiwa vibaya na makundi ya kihalifu na ufanya unyama Kama huu na mara zote wenye dini hii wamekuwa wakikemea dini yao kuhusishwa na masuala yakikatili. Askari kanzu aliyevalia vazi ili pale kasitu may be hakua anajua madhara yakutumia vazi ili kwenye kazi zake, may be aliamini ni vazi Kama mavazi mengine na Sasa ameibua mjadala na mjadala huu utakuwa mkubwa Dunia kadri picha hizi zinavyosambaa.

Wito wangu kwa vyombo vya ulinzi na usalama, tujitahidi kuona madhara kabla hayajatokea na kukemea. Askari wetu kuendelea kupita mitaani na vazi hili wakiwa na silaha nikuhusianisha kazi zao na kinachofanyika Somalia na Nigeria ambapo binadamu katili uvaa vazi hili kwenda kufanya ukatili.

Ipo siku watauliza kwanini awavai mavazi ya kiaskofu au kichungaji kwenye magari yao? Pls fanyieni kazi hii siyi sign nzuri vinginevyo mseme mpo kwenye mkakati wakuuchafua utawala uliopo ambao unaongozwa bila itikadi za kidini
Yule shetani kuu wa bongo anavaaje?
 
Vipi kuhusu manesi, walimu na wafanyakazi wengine wa mstari wa mbele serikali wanaovaa mikufu yenye vidani vya msalaba.

Waislamu nao waanze kulalamika?

Polisi wapo kazini na wamevaa kiraia kama mmoja vasi lake limekukera hiyo ni personal issue, ambapo inabidi ujifunze kuwa tolerable kwenye nchi mchanganyiko.

..nadhani siyo busara polisi kuvaa kiraia, kubeba silaha, na kuanza kukamata raia.

..napendekeza utaratibu wa polisi kuvaa sare zao wanapokamata uzingatiwe.

..hawa wanaovalia kiraia na kubeba silaha wanaleta taswira mbaya kana kwamba ni wahuni au majambazi wanaokamata raia.

..kingine kilichonisikitisha ni Polisi kutumia MBWA kwenda kutawanya kongamano la katiba la Chadema
 
Moja ya Askari aliyeshiriki Ukamataji Kisutu amefunga kitambaa ambacho uvaliwa na waumini wa dini flani hasa kipindi Cha mfungo na sikukuu kuashiria vazi lenye star na linaloitambulisha dini hiyo kwa watu wengine.

Inapotokea Askari akavaa vazi Hilo na kufanya Ukamataji Tena unaodhaniwa kwenda kinyume kabisa na utu wa mwanadamu hasa pale wanapomkanyaga mtuhumiwa ndani ya gari si Jambo jema. Tunaona vazi hili likitumiwa vibaya na makundi ya kihalifu na ufanya unyama Kama huu na mara zote wenye dini hii wamekuwa wakikemea dini yao kuhusishwa na masuala yakikatili. Askari kanzu aliyevalia vazi ili pale kasitu may be hakua anajua madhara yakutumia vazi ili kwenye kazi zake, may be aliamini ni vazi Kama mavazi mengine na Sasa ameibua mjadala na mjadala huu utakuwa mkubwa Dunia kadri picha hizi zinavyosambaa.

Wito wangu kwa vyombo vya ulinzi na usalama, tujitahidi kuona madhara kabla hayajatokea na kukemea. Askari wetu kuendelea kupita mitaani na vazi hili wakiwa na silaha nikuhusianisha kazi zao na kinachofanyika Somalia na Nigeria ambapo binadamu katili uvaa vazi hili kwenda kufanya ukatili.

Ipo siku watauliza kwanini awavai mavazi ya kiaskofu au kichungaji kwenye magari yao? Pls fanyieni kazi hii siyi sign nzuri vinginevyo mseme mpo kwenye mkakati wakuuchafua utawala uliopo ambao unaongozwa bila itikadi za kidini
Hilo ni vazi tu....

Askari kanzu anaweza kuvaa vazi lolote lile.....

Kwani wakristu huwa hawavai kanzu?!!!

Wala hakuna mjadala juu ya hilo....hayo ni yako na "pang'ang'a zako za udini" tulizozizoea humu ndani......

#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#KaziInaendelea
 
..nadhani siyo busara polisi kuvaa kiraia, kubeba silaha, na kuanza kukamata raia.

..napendekeza utaratibu wa polisi kuvaa sare zao wanapokamata uzingatiwe.

..hawa wanaovalia kiraia na kubeba silaha wanaleta taswira mbaya kana kwamba ni wahuni au majambazi wanaokamata raia.
Askari kanzu anaweza kufuga hata "rasta".....
 
Unaweza ukahisi ni vazi rasmi la magaidi, maana wengi kama huyu askari wanavaa vivyo
 
Askari kanzu anaweza kufuga hata "rasta".....

..YES.

..anafanya hivyo ili asijulikane.

..sasa hawa wanaovaa kiraia na kubeba silaha waziwazi, na kupiga na kukamata raia, wanakiuka dhana nzima ya uaskari kanzu.
 
Unaweza ukahisi ni vazi rasmi la magaidi, maana wengi kama huyu askari wanavaa vivyo
Hisia zako hizo....

Askari kanzu huweza kuvaa vazi lolote lile....

Mbona hamuulizi kwanini baadhi ya Askari wa MAREKANI wanavaa mavazi hayo wakiwepo Iraq ,Afghanistan na kwengineko?!!!
 
Moja ya Askari aliyeshiriki Ukamataji Kisutu amefunga kitambaa ambacho uvaliwa na waumini wa dini flani hasa kipindi Cha mfungo na sikukuu kuashiria vazi lenye star na linaloitambulisha dini hiyo kwa watu wengine.

Inapotokea Askari akavaa vazi Hilo na kufanya Ukamataji Tena unaodhaniwa kwenda kinyume kabisa na utu wa mwanadamu hasa pale wanapomkanyaga mtuhumiwa ndani ya gari si Jambo jema. Tunaona vazi hili likitumiwa vibaya na makundi ya kihalifu na ufanya unyama Kama huu na mara zote wenye dini hii wamekuwa wakikemea dini yao kuhusishwa na masuala yakikatili. Askari kanzu aliyevalia vazi ili pale kasitu may be hakua anajua madhara yakutumia vazi ili kwenye kazi zake, may be aliamini ni vazi Kama mavazi mengine na Sasa ameibua mjadala na mjadala huu utakuwa mkubwa Dunia kadri picha hizi zinavyosambaa.

Wito wangu kwa vyombo vya ulinzi na usalama, tujitahidi kuona madhara kabla hayajatokea na kukemea. Askari wetu kuendelea kupita mitaani na vazi hili wakiwa na silaha nikuhusianisha kazi zao na kinachofanyika Somalia na Nigeria ambapo binadamu katili uvaa vazi hili kwenda kufanya ukatili.

Ipo siku watauliza kwanini awavai mavazi ya kiaskofu au kichungaji kwenye magari yao? Pls fanyieni kazi hii siyi sign nzuri vinginevyo mseme mpo kwenye mkakati wakuuchafua utawala uliopo ambao unaongozwa bila itikadi za kidini
Kulalama tuuuuu

kutwa kucha
 
..YES.

..anafanya hivyo ili asijulikane.

..sasa hawa wanaovaa kiraia na kubeba silaha waziwazi, na kupiga na kukamata raia, wanakiuka dhana nzima ya uaskari kanzu.
Mbona "anti robbery wanaokaa katika magari yao" husemei mavazi yao tofauti ?!!!
 
Hisia zako hizo....

Askari kanzu huweza kuvaa vazi lolote lile....

Mbona hamuulizi kwanini baadhi ya Askari wa MAREKANI wanavaa mavazi hayo wakiwepo Iraq ,Afghanistan na kwengineko?!!!
Mkuu mi nimeenda sawa na maudhui ya Uzi nimekosea wapi??
Huyu askari huoni anavyoaibisha hili vazi??
haya hawa wamevaaje??

UCScreenshot20210813154203.png
 
Back
Top Bottom