Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
zinatolewa bureWachaga bwana lazima Kila kitu wakigeuze fursa
Hapo unakuta Dili la kuuza tisheti kapewa honey yake Fulani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zinatolewa bureWachaga bwana lazima Kila kitu wakigeuze fursa
Hapo unakuta Dili la kuuza tisheti kapewa honey yake Fulani.
Jiwe kilichomshinda kufanya hivyo ni nini? Matokeo kafa kabla ya muda wake! Angepungukiwa nini angechapa kazi kimya kimya na kuwaacha wapinzani wake waongee na kukosoa?Uzuri Samia amewaacha mpige kelele mtakavyo kama ilivyokuwa kwa JK huku mambo yakiendelea
Kabla ya muda wake wewe ndio mungu?Jiwe kilichomshinda kufanya hivyo ni nini? Matokeo kafa kabla ya muda wake! Angepungukiwa nini angechapa kazi kimya kimya na kuwaacha wapinzani wake waongee na kukosoa?
Siku ya sheria Tanzania ndo rangi yao.Itakuwa kama Simba Day!
Alikuwa mungu wenu.Kuna ng'ombe mwenzio aliwahi kuandika eti.."kila goti litapigwa kwa Magufuli"...!Nikamueleza afute hiyo sentence na aombe radhi ni kufuru.Akabisha.Ameyaona.😝😝😝😝😝Kabla ya muda wake wewe ndio mungu?
Ni kwa vile tu una mtazamo wa kitaahiraAlikuwa mungu wenu.Kuna ng'ombe mwenzio aliwahi kuandika eti.."kila goti litapigwa kwa Magufuli"...!Nikamueleza afute hiyo sentence na aombe radhi ni kufuru.Akabisha.Ameyaona.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
JF nzima inajua weye ni taahira halafu kikojozi sugu.Unajiaibishaga sana.Upoupo tu kama zumbukuku.😝😝😝😝Ni kwa vile tu una mtazamo wa kitaahira
CCM wanakuja wanachungulia kwa mbali wanakimbia kimya kimya, kuna Wapuuzi wa CCM watasema ni Kama Simba Day
Na bila shaka Akaunti inayopokea malipo ya t shitrs ni ya Mbowe! Ahahahahah!!Katika jambo lolote kubwa na lenye Maslahi ya Kitaifa , huwa kunakuwa na Alama Maalum zinazoitambulisha siku hiyo Maalum pamoja na ukubwa wake .
Taarifa inaeleza kwamba Vazi rasmi lililoteuliwa ni TSHIRT NYEKUNDU na SURUALI NYEUSI , taarifa hiyo inaendelea kueleza kwamba tayari baadhi ya Wadau wameanza kupewa
View attachment 1832311
Ndio mimi ni kikojozi sugu yani ukizubaa tu lazima nikukojolee!JF nzima inajua weye ni taahira halafu kikojozi sugu.Unajiaibishaga sana.Upoupo tu kama zumbukuku.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Ona sasa ulivyo mpuuzi.Unawaza ukunguni muda wote.Haya sasa,jinyee ili tukuelewe zaidi ujinga wako.😝😝😝😝😝Ndio mimi ni kikojozi sugu yani ukizubaa tu lazima nikukojolee!
Hata wewe hapa naona ndio unachotafuta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inakuja kwa kuvaa mashati?
Ujinga kweli mzigo!
Kabla ya muda wake wewe ndio mungu?
Kwa nini rangi nyekundu,nyeusi na nyeupe?Rangi hizi huwa tunazikuta kwa agents wa Shetani kama waganga wa kienyeji.It is very suspicious.Naamini wale wanaojua the meaning of colours watakubaliana na mimi.Katika jambo lolote kubwa na lenye Maslahi ya Kitaifa , huwa kunakuwa na Alama Maalum zinazoitambulisha siku hiyo Maalum pamoja na ukubwa wake .
Taarifa inaeleza kwamba Vazi rasmi lililoteuliwa ni TSHIRT NYEKUNDU na SURUALI NYEUSI , taarifa hiyo inaendelea kueleza kwamba tayari baadhi ya Wadau wameanza kupewa
View attachment 1832311
🙄🙄🙄🙄🙄Eti CHADEMA hii taarifa inatembea kwenye magroup ni kweli? Mmepokea pesa kutoka shirika la ILGA ili uhalali wa homosexuals iwe kwenye hiyo katiba mpya?
Nitoeni tongo tongo jamani.View attachment 1832419
Tupewe tafsiri ya kila rangi kwenye hayo mavaziTaarifa inaeleza kwamba Vazi rasmi lililoteuliwa ni TSHIRT NYEKUNDU na SURUALI NYEUSI
Ule wa katiba ya CCM ulitupwa na CCM wenyewe.Kwani aliyeutupa ule mchakato ni nani?