Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
Mhhhhhhh!!!Hamisa 23, Vera 21 (wao ndo husema hivo)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhhhhhh!!!Hamisa 23, Vera 21 (wao ndo husema hivo)
Hahahhahahahhahaha mbali mbinguni si kwa king'ora kileee 😀😀😀😀😀😀😀😀Mziki kuna kuimba lakini unaimba kitu gani pia. Ningewaona wa maana mngemshauri Hamisa akapata mwalimu wa muziki akamrekebisha kidogo sauti. Yaani nyiye mnataka tu wakle wnye kukurupuka na kuimba Nyegezi , akifanya practice atazidi kuimprove. Unanikumbusha dada mmoja nilipomwambia mimi naandika kitabu eti dah , BAKITA watakufungia nikasema Whaat! Nikaandika sasa hivi nakula tu royalty yangu. Ukiwafuata watanzania utabaki hapo hapo ulipo. Hamisa is a fighter na atafika mbali!
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiii nimecheke kisukumabado sauti inakataa
Sauti kama amekabwa na jini shumileta
Huu ushauri wakiufanyia kazi utawasaidia sana.Wadogo zangu Vera na Hamisa (wote wana miaka 20 ni wadogo zangu), hongereni kwa kujaribu kuimba, sio kwa ubaya ila hamjui kuimba dears, mziki mnaupenda ila wenyewe hauwapendi. Sauti zenu nyembambaa haziburudishi labda mkaimbe nyimbo za injili.
Kipaji cha kuimba hamna, mashairi mabovu yanayotokana na hisia tu Vera baada ya kuchoka kiben ten chake kaibuka na wimbo, Hamisa nae kuzaa huku na kule bila uelekeo na bado hawamuelewi kaibuka na wimbo. Vi nyimbo havina mbele wala nyuma
Sio lazma kila mtu aimbe wengine tubaki mashabiki, tuburudishwe na wenye vipaji vyao. Ni hayo tu.
Ishu siyo mashairi ishu sauti mbovuuuuLabda watungiwe nyimbo,hawajui kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angekua nao ingekua tabu sana
Hivi alikiba Na sauti yake Kali wabongo wangapi huwa wananunua kazi zake eti? Bora hamisa analipwa zake Na you tube na kumake headline kutengeneza pesa.Nyie mnawasema hawajui kuimba we zenu wanaingiza pesa kwa youtube. Wanajuwa kutumia umaarufu wao kwa kutengeneza pesa haijali Wanajuwa au hawajuwi. Hao wenye kujuwa hamu show support kwao. Hii Dunia bila ya unafiki haikwendi
Chefuuuuuu usimfananishe missa wangu na uchafu wa madale
Uoshaji mzuri wa vyomboMsanii Hamisa Mobetto
Manager Mange Kimambi
Unategemea Nini hapa
Cc dudubaya
Nyimbo ni mbovu balaaa sijui hao maproducers walikubali vipi kuachia ngoma mbovu kama hiyoTangu kuzaliwa kwangu sijawahi kusikia wimbo mbaya zaidi ya wimbo mpya wa Hamisa Mobeto. Uuuuuwiiii ukisikiliza unaweza kuchukia muziki jumla.
Hahahaha ndo maana nmemcc dudubayaHuyo hana marinda yote kuanzia mwanzo wa kinyeo mpka kwenye utumbo
Acha dhambi bna .ila misa anaokoteza mihela kweli ndo maana nampendaNimeusikia wimbo wa Misa daah unaweza kumdedicetia baby akakwambia "Baby tangu lini me nikasikiliza katuni bhana"
Maana ile sauti ni kama wale wakina Chimpmunks.